USHUHUDA: Nilizaliwa na Virusi vya UKIMWI

USHUHUDA: Nilizaliwa na Virusi vya UKIMWI

Kisukari mbona huwa amkizungumzii wakati ndio kinachoua watu wengi pamoja na BP au sababu ukimwi kwa asilimia kubwa unatokana na raha...? Nimeshuhudia watu wengi sana wakifa kwa ajili ya Kisukari.
 
Pole kaka , mungu akupe nguvu kiathirika sio dhambi ni mpango ya Mungu kuna maradhi mengine kama malaria yanaongoza kwa kuua.
 
Kijana,kuishi ni kismati kutoka Kwa Mwenyezi .Unapaswa usikalili kuwa unaishi na virusi na maisha yanakwenda miaka inaondoka na kufa haufi hii haitakufanya uishi bila kufa,bali unapaswa kuutambua uzima huo kuwa unapewa na Mungu kusudi lake umtukuze na umwabudu.Fanya jambo muhimu nenda kwa kiongozi wako wa Kiroho umweleze hali yako na ushike maagizo ya madaktari
Hivi kuwa una Ukimwi inabidi uende kwa kiongozi wa kiroho?
 
Habari wakuu,natumaini mko poa na Christmas na hata kama uchumi hauko sawa yapaswa kushukuru MUNGU maana kikubwa ni uzima na afya tu
Dhumuni la uzi huu ni kuwapa moyo wale wote wanaoishi na Virusi vya ukimwi wajione kama watu wa kawaida na kuwa na virusi vya ukimwi sio mwisho wa maisha
Mimi ni kijana jinsia ya kiume,nilizaliwa na Virusi vya ukimwi miaka 24 iliyopita na mpaka leo niko mzima wa afya na ukiniangalia kwa macho hutofikiria kama naishi na Virusi,
Waathirika wote msikate tamaa na wala msihudhunike kila kitu kinatokea kwa sababu fulani
Natanguliza shukrani kwenu na muwe na Christmas njema,
Mwenye maswali au maoni nitamjibu hapa hapa
Mungu akusaidie katika hali uliyo nayo,biblia inasema hivi ktk wafilip 4:13"Nayaweza mambo yote katika yy anitiaye nguvu"

~Mtumaini Bwana katika njia zako zote,usimuambukize mtu kwa hila,wala kumkomoa,usilipize kisasi maana ni juu ya Bwana..

~Mungu akupe wastan wa maisha aliyosema kwa mwanadamu maana masemaji wa mwisho ni Mungu pekeyake
 
Hongera sana mkuu kwa ujasiri. Ila dawa ya kutibu kbs itapatikana soon mwaka ujao.. Ingawa hadi sasa ipo ya kienyeji lkn ni ya kubahatisha sana
 
Ongera kijana Mungu akupe maisha marefu tunahitaji vijana kama Wewe bila kujali Una utajiri kiasi gani?Elimu Kiwango gani?Kazi ya aina gani? Tupaze Sauti za kuvunja ukimya kuwa na VVU sio Mwisho wa maisha unaweza kuzitimiza ndito zako bila kujali una Maambukizi ya VVU, Mimi sasa nina 61 Miaka ,Nimebahatika kupata Watoto 5 Wakati nina Maambukizi ya VVU ,kulingana na vigezo na masharti kuyadhingatia Wanangu wote hakuna mwenye VVU najivunia kuwa mtanzania Nahitaji Watu wote tujue afya yetu hasa kupima VVU ili tuweze kujipanga kwa Maisha ya kimkakati Sio ya Matumaini ,Watanzania hakuna wakala na msemaji wa Mtu mwingine soma ujifunze usipoelewa utaniuliza ila Sio kuwa wakala wakutusemea kutusema sema wala kutusonda vidole kwani kesho yako huijui
 
Mungu akusaidie katika hali uliyo nayo,biblia inasema hivi ktk wafilip 4:13"Nayaweza mambo yote katika yy anitiaye nguvu"

~Mtumaini Bwana katika njia zako zote,usimuambukize mtu kwa hila,wala kumkomoa,usilipize kisasi maana ni juu ya Bwana..

~Mungu akupe wastan wa maisha aliyosema kwa mwanadamu maana masemaji wa mwisho ni Mungu pekeyake
Amen
 
Dhumuni nalijua ila kuna watu humu wana comment kama vile wanaona mtu kuwa muathirika ni dhambi, hakuna mtu aliyependa kuwa muathirika na kuna njia nyingi za kuupata ukimwi hivyo tusiwe wepesi wa kunyoosheana vidole.
Shukrani upo sahihi mkuu,kuna njia nyingi tu za kupata ukimwi
 
Ongera kijana Mungu akupe maisha marefu tunahitaji vijana kama Wewe bila kujali Una utajiri kiasi gani?Elimu Kiwango gani?Kazi ya aina gani? Tupaze Sauti za kuvunja ukimya kuwa na VVU sio Mwisho wa maisha unaweza kuzitimiza ndito zako bila kujali una Maambukizi ya VVU, Mimi sasa nina 61 Miaka ,Nimebahatika kupata Watoto 5 Wakati nina Maambukizi ya VVU ,kulingana na vigezo na masharti kuyadhingatia Wanangu wote hakuna mwenye VVU najivunia kuwa mtanzania Nahitaji Watu wote tujue afya yetu hasa kupima VVU ili tuweze kujipanga kwa Maisha ya kimkakati Sio ya Matumaini ,Watanzania hakuna wakala na msemaji wa Mtu mwingine soma ujifunze usipoelewa utaniuliza ila Sio kuwa wakala wakutusemea kutusema sema wala kutusonda vidole kwani kesho yako huijui
Shukrani mkuu ubarikiwe sana,ikiwezekana nipo tayari hata kuonana na wewe
 
Me siyo mtaalamu wa mitishamba. Lkn km nilivyokueleza ni ya kubahatisha. So unaeza zunguka kwa wataalamu wa mitishamba 100 ukabahatisha kwa mmoja tu ambaye ndo atakupa yenye kufanya kazi kweli.. Wengi ni wale wa porini kbs vijijini. Achana na hawa wa mijini
 
Me siyo mtaalamu wa mitishamba. Lkn km nilivyokueleza ni ya kubahatisha. So unaeza zunguka kwa wataalamu wa mitishamba 100 ukabahatisha kwa mmoja tu ambaye ndo atakupa yenye kufanya kazi kweli.. Wengi ni wale wa porini kbs vijijini. Achana na hawa wa mijini
Shukrani sana mkuu,ubarikiwe
 
Back
Top Bottom