k-bee
JF-Expert Member
- Aug 30, 2017
- 997
- 1,145
Kwenu wanajamvi!
Dunia inamambo mengi na binadamu tunapitia furaha na changamoto kadha wa kadha hapa unaweza kuweka/ kutuambia ni jambo gani ambalo Mungu alikupitisha ili kukupa nguvu ya imani na hata akakuokoa/ kukutenga na mambo mabaya ambapo bila yeye (Mungu) pengine watu wangezungumza mengine kwa sasa juu yako..!
Karibuni wana jamvi tukuzane imani kwa matendo makuu ya Mungu aliyotenda kwetu
Dunia inamambo mengi na binadamu tunapitia furaha na changamoto kadha wa kadha hapa unaweza kuweka/ kutuambia ni jambo gani ambalo Mungu alikupitisha ili kukupa nguvu ya imani na hata akakuokoa/ kukutenga na mambo mabaya ambapo bila yeye (Mungu) pengine watu wangezungumza mengine kwa sasa juu yako..!
Karibuni wana jamvi tukuzane imani kwa matendo makuu ya Mungu aliyotenda kwetu