Ushindi wa Lema, aibu kwa Clouds FM

Ushindi wa Lema, aibu kwa Clouds FM

Kauli ya Mbowe "Tuna kila sababu ya kumshukuru Mungu, kwa maana tulianza nae na tutamaliza nae. Nichukue nafasi hii kumpa hongera Kamanda Lema kwa kushinda dhuruma, Pia nichukue nafasi kuwajulisha naianza safari ya kuelekea Karatu ambapo nitakuwa na mkutano wa hadhara na wananchi, peoples"
 
Clouds haina mpango kabisa mie nakumbuka uchunguzi wa 2010 Kibonde alikuwa anamkashifu sugu live kwenye kipindi chake,tatizo lazima wafuate msimamo wa tajiri yao ndio maana hata ukiwa huna elimu no bora tu unajua kuongea kiswahili basi unapata kazi clouds,angalia elimu ya wafanyakazi wa clouds utacheka ni ushonga,ushikaji basi unapata kazi clouds.
 
Hao ni wachambuzi wa magazeti,sio wachambuzi wa habari

litakaloandikwa la kipropaganda wanatiririka nalo,hawajitegemei kiakili,kiuelewa

They even dont to whom Tanzania Daima belong and what politics does this paper is siding. Sitegemai mwandishi makini asiye na uchambuzi makini na yakini asiyejua magazeti ya vyama kwa ajili ya propaganda.

What story would you expect Uhuru to appear on the front page if this judgement was giving CCM credit?

Wafu FM ni Wachumia tumbo...
 
mwenye cloudz si ni ccm damu na wafanyakazi wake nao wanafuata mkumbo kulinda kibarua
 
niliwasikiliza asubuhi,kwenye kipindi chao,ikabidi niende nikanunue gazeti la TZ DAIMA ili nipate nisome vizuri!.ki ukweli hao watangazaji hawakusoma contents ya habari kwa kina,sana sana kazi yao ilikuwa ni kubeza tu kile kichwa cha habari.Ushauri wangu kwao kabla ya kurusha hewani,wajitahidi wasome vizuri habari zilizoandikwa na wazielewe vizuri,sana sana watabaki watu wa propaganda tu kila siku.USHAURI WANGU MWINGINE KWA WATANGAZAJI WA CLOUDS wajiendeleze kielimu zaidi manake nimeshuhudia watangazaji wao wengi wale wote wa asubuhi ni kama elimu zao ni za chini mno tunawasikiliza jinsi wanavyojenga hoja zao.
 
Mkuu umenichekesha sana yaani umejiunga mwaka 2009 lakini leo ndiyo kwanza una post 3 hivyo kwa wastani ni kila mwaka ni 0.75...hahahah jitahidi basi uwe unapost hata mara moja kwa mwaka...
Jamani ina maana hamjui kuwa hii ni redio ya udaku kama yalivyo magazeti ya udaku? Kutwa kuongelea maisha ya mtu mmoja mmoja
 
Mkuu umenichekesha sana yaani umejiunga mwaka 2009 lakini leo ndiyo kwanza una post 3 hivyo kwa wastani ni kila mwaka ni 0.75...hahahah jitahidi basi uwe unapost hata mara moja kwa mwaka...

Huyu huwa anakuwa kama Guest leo katoka mafichoni chezea ushindi wa kamanda Lema wewe, sikukuu mi nitalia Kishumundu Yesu na Maria
 
Binafsi nimesikiliza kipindi cha PB asubuhi ya leo nikielekea kazini kwa masikitiko makubwa. Kuanzia leo sisikilizi kipindi hiki tena kwani sikubaliani na itikadi ya redio hii kwa sasa. Hii ni redio ya watu inatakiwa kuwa neutral kabisa! Hakuna ubishi, hii redio sasa imechagua waziwazi kuwa upande wa watawala na kushabikia kila linaloangukiwa upande huo.
Leo asubuhi kwenye kipindi cha Power breakfast watangazaji wa Clouds FM wameongea mengi ya kumbeza Lema na kesi yake. Sijui sasa hivi wanajisikiaje baada ya hukumu kusoma.

Ombi langu kwa vyombo vya habari:
Msioneshe waziwazi kwamba mnaegemea upande fulani wa chama cha kisiasa kwani vyombo vyenu hivyo ni vya kibiashara. Jamii ikigundua kuwa mna mlengo flani itawasusa.

Mwana JF aliyesikiliza kipindi hicho anaweza akaongeza yale yalokuwa yakiongelewa..
 
labda ulibaki wewe tu, wengine tumeisusa kitamboooooo, baada ya kibonde kujifanya anajua kila kitu tanzania hiiii

Leo asubuhi kwenye kipindi cha Power breakfast watangazaji wa Clouds FM wameongea mengi ya kumbeza Lema na kesi yake. Sijui sasa hivi wanajisikiaje baada ya hukumu kusoma.

Ombi langu kwa vyombo vya habari:
Msioneshe waziwazi kwamba mnaegemea upande fulani wa chama cha kisiasa kwani vyombo vyenu hivyo ni vya kibiashara. Jamii ikigundua kuwa mna mlengo flani itawasusa.

Mwana JF aliyesikiliza kipindi hicho anaweza akaongeza yale yalokuwa yakiongelewa..
 
Binafsi nimesikiliza kipindi cha PB asubuhi ya leo nikielekea kazini kwa masikitiko makubwa. Kuanzia leo sisikilizi kipindi hiki tena kwani sikubaliani na itikadi ya redio hii kwa sasa. Hii ni redio ya watu inatakiwa kuwa neutral kabisa! Hakuna ubishi, hii redio sasa imechagua waziwazi kuwa upande wa watawala na kushabikia kila linaloangukiwa upande huo.

Hamia magic FM 92.9 akina Orest Kawau, Mary Edward, Salum Mkambala na Kibwana Dachi utapenda hawa hawana unazi
 
Ki ukweli wale jamaa wanatakiwa watangaze mambo ya bongo flavour tu! lakini hawana kitu cha maana kichwani cha kuwa wachambuzi zaidi ya umbea na majungu! wamekaa kihuni huni sana!

Mwenye e-mail ya Zimbwera wa East Africa radio aniwekee hapa ili nimrushie hii link aone jamii ilivyokereka na washindani wenzake.
 
Hicho kidole cha kidevuni atakuwa alikuwa anakielekezea huko huko Clouds
560614_295667083888053_1004186643_n.jpg


CC Bitungwa
 
Last edited by a moderator:

Usiwaite waandishi maana tutakuomba ututajie vyuo walivyosoma (kuna madj na wasema chochote tu pale though wachache sana ndio wanataaluma hizo)
, kuna kipindi watu waliokuwa wana deal na mambo ya procurement walikuwa na chombo chao kilichokuwa kinafuatilia kuhusu makampuni na taasisi mbalimbali kuajiri watu wenye utaalamu na hiyo kazi baada ya kuonekana kuna watu wengi wanafanya kazi bila kuwa na utaalamu wa procurement, hivi kwenye issue kama radio na tv hakuna mamlaka za kufuatilia maana ni rahisi kwa chombo kupotosha watu kama kitakuwa hakina watu makini na ndio maana vyombo vingi vina watu ambao wamebobea kwenye fani though vinajiri watu wasio na weledi sana but supervision inakuwa kali.

Mfano mzuri hii issue ya yule jamaa mwizi wa vifaa vya magari, kuna mtangazi akawa anasema huyu jamaa amevuka level ya mwizi tumwite Haramia au Jangili wakati hapo kila neno lina maana yake maana ukifanya uhalifu wa majini kwa either kupora au kuiba huo ni uharamia na kama nyara za serikali huo ni Ujangili. (hapo watakuwa wamepotosha wangapi sasa kama mtu anaropoka tu maana kama wangekuwa wanaandika yale wanayoongea na kupitiwa ingekuwa poa.
Kuna nchi nyingine bila kuwa na degree ya chuo kikuu hupewi kadi ya uandishi wa Habari na kuna chombo maalum cha kusimamia taaluma hiyo kama vile baraza la habari au Maelezo.Uganda wao wanahitaji angalau Diploma, naamini kwenye sheria ya vyombo vya habari ambayo MOAT,MCT na wadau wengine wanadai kutoka serikalini lazima uweke standards za weledi katika tasnia ya habari ili kuepuka MAKANJANJA KAMA HAWA WA CLOUDS.
 
Mwenye e-mail ya Zimbwera wa East Africa radio aniwekee hapa ili nimrushie hii link aone jamii ilivyokereka na washindani wenzake.

Zembwela namsikiliza hapa yupo na Irene Tillya wanakamua vizuri kipindi chao
 
Back
Top Bottom