Ushindi wa Lema, aibu kwa Clouds FM

Ushindi wa Lema, aibu kwa Clouds FM

Clouds ni radio ya wahuni,wenye taaluma ya uhandishi pale ni kama hakuna tu,wengi ni wale Vijana wajanja wajanja wa mjini wanaozijua story za vijiweni,kuvuta bangi na starehe!zaidi ya hapo ni uharo mtupu,hakuna mwenye uwezo wa kujenga au kuchambua hoja!
 
Kama vile gazeti la RAI lilivyokuja kupotea katika ramani ndivyo hivyo CLOUDS FM itakuja kupotea isipokuwa na "OPINIONS POLICY" kwa Watangazaji wao na hiyo imeshaanza kwa kipindi chao cha JAHAZI na sidhani kama kuna atakayenipinga POWER BREAKFAST ya Masoud Kipanya na FINA MANGO is 1000000 far better than hosts wa siku hizi huyu mdada anayejua kuchekacheka tu na hyu mwenzake "mzee kejeli".....................si ajabu Huyu mwenzenu wa East Africa Radio atawapoteza taratibu
 
Tujaribu kidogo kufikiria nje ya box,kuna siku clouds wanakandia ccm,na kuna sk chadema pia.Kwa leo sijaona kosa lao.Hando alikua tu anajaribu kupinga upotoshaji au ukuzaji habari usio na msingi.Saa nyengine magazeti yanakuza mambo bila msingi.That ws the point...mbona walimkomaliaga waziri maige wa ccm hadi akaondoka.
 
Jamani ina maana hamjui kuwa hii ni redio ya udaku kama yalivyo magazeti ya udaku? Kutwa kuongelea maisha ya mtu mmoja mmoja
hapa nadhani mnawachafua clauds bure,tafadhali mfanye tena utafiti wa kina kujua mnachokisema kama ni sawa
 
Siyo clouds fm tu hapa hapa jamvini wapo wakuu kibao walioaibika.
 
Leo asubuhi kwenye kipindi cha Power breakfast watangazaji wa Clouds FM wameongea mengi ya kumbeza Lema na kesi yake. Sijui sasa hivi wanajisikiaje baada ya hukumu kusoma.

Ombi langu kwa vyombo vya habari:
Msioneshe waziwazi kwamba mnaegemea upande fulani wa chama cha kisiasa kwani vyombo vyenu hivyo ni vya kibiashara. Jamii ikigundua kuwa mna mlengo flani itawasusa.

Mwana JF aliyesikiliza kipindi hicho anaweza akaongeza yale yalokuwa yakiongelewa..

Kanjanjas full house at clouds fm
 
tumia busara kutamka maneno kebehe na utani kwa jamii ya sasa havikubaliki kinachofuata utadharauliwa na redio yako kukosa mvuto kwa watu wenye akili
 
Clouds si redio ya kusikiliza kama una akiri timamu ni redio ya kijiweni, kwiyo msiwalaum bure thinking capicity yao inaishia hapo, kwenye kesi ya lema hata mtoto wa darasa la saba alijua kuwa atashinda ndiyo maana hata vyombo vya habari vinaojua kuandika habari walitambua ili people power...............................thanks Lema
 
Kuwa na upande sio tatizo na haiwezekani watu wasiwe na upande.Pia kutosomea taaluma husika sio tatizo.(Mbona Generali Ulimwengu) anafanya vizuri. Kinachowasumbua CLOUDS ni kutokuwa na UWEZO wa KUREASON. Kampuni yao ilenge ktk kumaximase shares wealth ili hata CCM wakitoka basi kampuni isife.
 
Huyo Gerald Hando hana taaluma ya utangazaji taaluma yake ni MCHORA KATUNI
kwenye utagazaji amevamia fani kwajili ya njaa, msikilize kwa makini utagundua
ni mropokaji si mwandishi wa habari
 
Tujaribu kidogo kufikiria nje ya box,kuna siku clouds wanakandia ccm,na kuna sk chadema pia.Kwa leo sijaona kosa lao.Hando alikua tu anajaribu kupinga upotoshaji au ukuzaji habari usio na msingi.Saa nyengine magazeti yanakuza mambo bila msingi.That ws the point...mbona walimkomaliaga waziri maige wa ccm hadi akaondoka.

IMG_7993.JPG

Njaa mbaya mkuu
 
Unajua watu ambao kazi yao ni kujipendekeza wapewe vyeo ni watu wa ovyo sana. Hawana msimamo kazi yao bendera kufuata upepo kwenye minofu wapate shibe.
 
Ki ukweli wale jamaa wanatakiwa watangaze mambo ya bongo flavour tu! lakini hawana kitu cha maana kichwani cha kuwa wachambuzi zaidi ya umbea na majungu! wamekaa kihuni huni sana!
 
Wewe Lekakui; Utajanisababishia ban bure! Shwain kabisa unaongea kama unatapika vile!


hapa nadhani mnawachafua clauds bure,tafadhali mfanye tena utafiti wa kina kujua mnachokisema kama ni sawa
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom