Naomba kuhabarishwa! Lema kashinda??? MUNGU MKUBWA LOL!!
Leo asubuhi kwenye kipindi cha Power breakfast watangazaji wa Clouds FM wameongea mengi ya kumbeza Lema na kesi yake. Sijui sasa hivi wanajisikiaje baada ya hukumu kusoma.
Ombi langu kwa vyombo vya habari:
Msioneshe waziwazi kwamba mnaegemea upande fulani wa chama cha kisiasa kwani vyombo vyenu hivyo ni vya kibiashara. Jamii ikigundua kuwa mna mlengo flani itawasusa. Mwana JF aliyesikiliza kipindi hicho anaweza akaongeza yale yalokuwa yakiongelewa..
Hapo kwenye red, kunakuhusu wewe na vilaza wenzako wa clouds, mleta mada hajakurupuka, ila wewe na wenzako clouds ndo mnakurupuka, hata mtu akisoma hii post yako ataelewa tu uwezo wako wa kufikiri ni mdogo kama wa kiroboto.