Ushindi wa Lema, aibu kwa Clouds FM

Ushindi wa Lema, aibu kwa Clouds FM

hapa nadhani mnawachafua clauds bure,tafadhali mfanye tena utafiti wa kina kujua mnachokisema kama ni sawa
Hawana lolote wale watangazaji wote ni vilaza mwanzo mwisho na hawana taaluma eg. Dida na wenzake wengi.
 
Achaneni na redio za wajingawajinga!...Wakati wa kipindi kesho wataaga mmojammoja kuwa wanaumwa!
 
Niliwashangaa sana watangazaji hawa kuonyesha wazi chuki zao dhidi ya Lema na Chadema. Huwezi ukaiita Clouds FM 'the people's station' halafu ukawa na watangazaji bogus wa aina ya Hando.

Kimaadili wao hawapaswi ku-take sides wanaporipoti kwenye chombo kama radio. Wanapaswa kuficha ushabiki wao wa kiasiasa kwa kuepuka kutoa comment za kuegemea upande mmoja. Waliniudhi sana walipokuwa wanawaponda wana-Arusha waliosafiri kwenda Dar kusikiliza hukumu ya kesi ya mbunge wao Lema.

Pambaf sana watangazaji feki. Go back to school.
 
Jikombe ukombolewe style,,, wanaombea hata mkuu wa wilaya mmoja afariki watu wanaweza kukumbukwa...

Nashangaa sana PJ na degree yake anafanya kazi ya kusoma magazeti ambayo hata mtangazaji mwenye elimu ya kidato cha nne anaweza kuifanya. Kweli hili tatizo la ajira kwa vijana limeishika nchi pabaya sana
 
Clouds mbona wanajulikana tangu siku nyingi! Fuatilia hata waandishi wao hawana taaluma ya uandishi wamekaa kihunihuni tuu!

Wao wasubiri matamasha yao ya Fiester - kichocheo cha uzinzi tu; siasa wawaachie watu wenye kukaa na kufikiri mstakabari wa taifa lao.
 
Nami pia nimewasikia,ukweli walinichefua haya sasa sijui wanasemaje ila usishangae kusikia Hando ni mkuu wa wilaya.
 
Nimewasikia sana hasa yule gerald hando amekandia sana habari iliyoandikwa Tz daima, hukumu ya kihistoria kusomwa leo,nataka na kesho niwasikie watasemaje.aibu yao magamba hao

Huyu jamaa nina wasiwasi naye; labda anajikomba ili JK amfikirie kumpa ukuu wa wilaya.
 
Clouds miaka yote ni chama kinachomiliki kadi ya CCM,na ndio maana huwa wanaandaa Birthday part za mheshimiwa, ila ipo siku yao watanyooka.Waaandishi waliopo pale hawana weledi wa aina yoyote zaidi ya kubwabwaja tu maneno yasiyokuwa na mpangilio.
 
Jamaa hawa hawako serious na walitakiwa wapewe mikoa michache ya kurusha matangazo, vipindi ambavyo watu wanaonekana serious na kazi ni vile vya michezo kama Sports bar na kile cha Kambi popote vingine ni balaa.

Angalau hata yule dogo Milard Ayo anaonekana amejipanga tofauti na hao watu wazima
 
hawana elimu yoyote ya uandishi wa habari ni mapresenter
 
Njaa inawaumiza wengi sana hapa tz wakiwemo hao watangazaji wa clouds fm wanaojifanya wamesoma.shame on him.
 
radio ya umbea watu wamekaa kinafik wanajifanya maanabii hewa wa radio achen unafk na umbea eny wana clouz fm
 
Clouds haina tofauti na Tbccm dawa ni kuisusia tu,kuna media nyingi za maana za kusikiliza lakini sio clouds,watangazaji wake hawajafundishwa maadili ya utangazaji,fuateni mfano wangu mimi nilishaacha kitambo kusikiliza upuuzi wa hii media!
 
Hivi hiki kituo kumbe bado kipo? Kati ya vituo nilivosahau uwepo wake ni TBC zote na Clouds zote.
 
Back
Top Bottom