Ushindi wa Lema, aibu kwa Clouds FM

Ushindi wa Lema, aibu kwa Clouds FM

Professional news men wana code of ethics na by standards wanatakiwa wawe objective...but hapa Bongo vyombo vya habari vinasajiliwa kiholela holela tuu..I doubt integrity ya TCRA..
 
Clouds fm ni tawi mama la CCM....sitakuja wala kuthubutu siku moja eti nisikilize radio hii.

Huu ni mwaka wa 3 sijatune kwenye radio hiyo ya wafu....pole kwa wale wote wanaoendelea

kusikiliza tawi la CCM aka clouds fm
 
Hivi nyinyi bado mwakisikiliza hiko kituo kinachotetea magamba ili kiendelee kupata deals zote kutoka serikali ya magamba? Ok, sio mbaya kujua opposite side wanafikiria nini ili nawe upate kujenga hoja. Ila huku pande zetu si clouds fm wala clouds tv yenye mashiko.
 
ikishindwa Chadema Mahakamani, kila mtu humu JF anasema Mahakama/Serikali ipo bias, wameionea. Basi inaposhinda Chadema, tusiishie tu kumpongeza aliyeshinda ila pia kuisifia Serikali/Mahakama kwa kutenga HAKI.

Ni hayo tu!
 
That's chap chap media hawana weredi hata kidogo. They luck professionalism hawana contents kwenye habari zao. We sikiliza kuanzaia asubuhi mpaka usiku ndio utajua Clouds hawana contents ni full upuuzi ila jamii ya Kitanzania ndio inapenda kuambiwa upuuzi kama wa Clouds.

Ndio maana hawajatoa mwandishi au mtangazaji kwenda kwenye international media kama BBC au DW.

Nasikia kuna mtangazaji wao mmoja wa michezo zamani alikuwa itv ndo yupo bbc swahili
 
Napenda kusema kuwa kwa ambao bado wanafuatilia na kusikiliza CLOUDS FM kuwa hawajatambua tuu kuwa kile n chombo cha kisanii na watangazaji wake ni watu wakuipamba CCM mfano KIBONDE et al..... na watangazaji wake wote wanajipendekeza na wananjaa za kutisha. sipendi wanapoacha shughuli zao na kuingilia mambo ambayo hayawahusu.

sasa LEMA amepeta wakitaka wakanywe sumu.
 
ikishindwa Chadema Mahakamani, kila mtu humu JF anasema Mahakama/Serikali ipo bias, wameionea. Basi inaposhinda Chadema, tusiishie tu kumpongeza aliyeshinda ila pia kuisifia Serikali/Mahakama kwa kutenga HAKI.

Ni hayo tu!

Point.
Hongera muhimili kwa mahakama
 
Leo asubuhi kwenye kipindi cha Power breakfast watangazaji wa Clouds FM wameongea mengi ya kumbeza Lema na kesi yake. Sijui sasa hivi wanajisikiaje baada ya hukumu kusoma.

Ombi langu kwa vyombo vya habari:
Msioneshe waziwazi kwamba mnaegemea upande fulani wa chama cha kisiasa kwani vyombo vyenu hivyo ni vya kibiashara. Jamii ikigundua kuwa mna mlengo flani itawasusa.

Mwana JF aliyesikiliza kipindi hicho anaweza akaongeza yale yalokuwa yakiongelewa..

Yah! Nikweli hawa Jamaa wa Clouds FM sijui wanatumia akili zipi bwana, binafsi niliwasikia wakihoji gazeti lililokua limeandika kuwa LEO(jana hiyo) NI HUKUMU YA KIHISTORIA,

walibeza sana kwamba LEMA ni nani na kwanini iwe hukumu ya kihistoria mpaka gazeti linafikia hatua ya kuripoti hivyo..nilikua sijawaelewa ila kwa UZU huu ndani ya JF nimewaelewa sasa na nimetambua wako upande gani na wanafanya kazi kwa minajiri ya nani.

Ombi langu kwao ni kwamba inabidi wabadilike, wengi wao bado ni Vijana, wasitegemee maendeleo ya Nchi yataletwa na polojo zao studioni; la hasha.
 
hawa clouds nionachowaonea huruma ni kwamba wanapambana na nguvu kubwa ya umma kwani kipindi cha kampeni 2010 walimtukana sana joseph mbilinyi"sugu" na kuapa hata shinda ndo kwanza akashinda kwa kisjhindo kikubwa sana ! Kwa kura mara mbili ya ailizopata mbunge wa ccm. The same to john mnyika ubungo walimponda sana tena kibonde akitoa ushuhuda kwamba anaishi jimbo la ubungo mnyika haana kitu cha kulisaidia jimbo hilo eti kisa nyumbani kwake kibonde kuna shimo barabarani so ailihitaji mnyika akazibe kwanza ndo agombee.bt sasa amemgeukia mwanaharakati na rais wa arusha ambaye huhitaji kuwa mwanasiasa kujua anamvuto mkubwa wa kisiasa jimboni kwake na kwa tz kwa ujumla kwa ufupi ana uhalali wa kukubalika. Hivyo wanapaswa kujua watapotea wakipambana na nguvu ya umma, ikibidi wakae kimya waendelee na maandalizi ya birthday ya mh, jk hapo mwakani.ama wasubir kupewa tenda nyingine ya sound systeam ktk mkutano mkuu wa ccm 2017 kama itakuwa hai,,,,, ndo mana powerbreakfast ya kipanya,fina mango haikudumu kwani ilikuwa inaongozwa na watu waliohuru kifikra ama mtu kama kepten g,habash ndani ya jahazi siku zote aliongozwa na mawazo huru na hakuwah kutumika may be ndo mana waliondoka zao shame!!!! On radio ya wafu.
 
Honestly...
It has been a long tym nw Iv been thinking of saying the same thing abt Clouds Fm... Iv always been wondering wht pple like abt ths station coz their broadcasters do not hav/hav very little professionalism on doing their jobs. They are openly being driven by their personal emotions and suprisingly most Tanzanians still intertain them.
Personally...I hate this station...anyways thats too harsh..I mean I dont like this station
 
Hawa clouds fm hawana tofauti na magazeti ya udaku, ni waxenge 2! especially hawa jamaa wa power break fast na kibonde.
 
Back
Top Bottom