mwanachama hana haki ya kufungua kesi kwa niaba ya mbunge wa chama chake kama hili huyo jaji alikuwa halijui sitashangaa sana maana hata The Great Hon. Tundu Lisu aliwahi kusema bungeni kuwa kuna baadhi ya majaji ni vihiyo. maamuzi haya ya court of appeal yanaweka precedent ambayo itasaidia sana kama reference in the future. hongera sana majaji wa mahakama ya rufaa kwa kuusimamia ukweli na kuhakikisha kuwa haki inatendeka. maamuzi haya yananifanya niwakumbuke marehemu justice mwalusanya, justice lugakingira, kwa kutaja wachache, walisimamia haki kwa umakini na kutoa maamuzi ya kihistoria.