Ushindi wa Lema, aibu kwa Clouds FM

Ushindi wa Lema, aibu kwa Clouds FM

hakuna kipindi nakichukia katika hiyo redio kama jahazi na kina kibonde, ni heri nisikilize times fm kipindi cha maskani cha GARDNER J HABASH akimsifia mkewe na kupiga nyimbo za mkewe {lady jay dee } nikasuuzika roho yangu kwa burudani zake kuliko uupuuzi wa kibonde.
 
Lema ni hasomi vitabu ajifunze kwa wenzake kama zito ,mnyika aache utoto
 
Watu wa chadema mara nyingi tunakosoa pale ambapo itunakuta hatuungwi mkono,kile kipindi kilieleza wazi,kesi ile kama watanzania makini haiwezi kutuachisha kufanya shughuli kwani kuna kesi ngapi za uchaguzi lakini kwa kuongezea lema hana sifa ya watz kuacha kazi zetu kumshabikia kwa watu wanaomwelewa ndiyo hivyo,lema ananunua vijana kwa shilingi miatano tano na viroba nani aiyejua ? Amerudi yanafahamika tu
 
Tuliambiwa kuwa Lema alipokwenda Uingereza kufungua matawi aliweza kuonana na Meya wa London na kupewa Chopa moja mpya, na wanachama wa Chadema Uingereza walitoa Ambulance mbili pamoja na magari matano aina ya Nissan, kwa ajili ya M4C.

Mpaka sasa hivi hakuna hata kimoja kilichofika Tanzania, habari kutoka Uingereza zinasema kuwa ilikuwa ni usanii wa Lema hakuna chochote.

600.jpg

26_27_ambulance_cutaway.jpg


lema-chopper.jpg

photo.jpg
 
Kwani si Kibonde wa Clouds FM aliyemsema vibaya sana Mbunge wa sasa wa jimbo la Mbeya mjini eti wapo wanaostahili kuwa wabunge lakini siyo Mh.Mbilinyi.Kwani si huyu huyu Kibonde kinara wa station hii hii aliyesema mikopo ya vyuo vikuu inawatosha wanafunzi huku hajawahi kunusa hata darasa la chuo kikuu?.Nafikiri kituo hiki kimepoteza siku nyingi sifa za kuitwa chombo cha habari cha sauti ya watu kama wao wanavyoita THE PEOPLES STATION.Lakini watapata wapi kula kama siyo kusema chochote hata kama ni upotoshaji ilimradi wale.Si unakumbuka ndio waliopewa tenda ya kunadi suala la sensa.
 
Watu wa chadema mara nyingi tunakosoa pale ambapo itunakuta hatuungwi mkono,kile kipindi kilieleza wazi,kesi ile kama watanzania makini haiwezi kutuachisha kufanya shughuli kwani kuna kesi ngapi za uchaguzi lakini kwa kuongezea lema hana sifa ya watz kuacha kazi zetu kumshabikia kwa watu wanaomwelewa ndiyo hivyo,lema ananunua vijana kwa shilingi miatano tano na viroba nani aiyejua ? Amerudi yanafahamika tu
Acha hasira ndugu yangu, twende taratibu tu.

Clauds Fm walikosea ndio maana wako mbioni kuomba radhi wasikilizaji wao.

Chuki zao binafsi wasiziingize kwenye kazi, nini kilikuwa kinawauma mpaka waropoke ujinga ule?

Radio ni nyingi sana kwa sasa hapa Tanzania, hivyo wasikilizaji wameshaanza kuikimbia Clouds Fm, ndio maana hata makampuni mengi yameshaanza kuikimbia Clauds Fm hawataki tena kupeleka matangazo yao.
 
Kibonde anaimaliza clouds kwa siasa yake ya mlengo wa kugandamiza watu wa cdm
 
Wanataka ukuu wa wilaya wa kuteuliwa lakin hawajui walioteuliwa walianza lin mambo ya CCM
wanadhani kila mtu akijipendekeza kwa kukisifia bas ataukata kumbe sio
Nashauri waandishi wa habari mkitaka kuwa wenye kuheshimika amua moja jiunge na gazet la chama husika ili ujenge kula yako vizuri maana jamii inaweza fikia hatua ya kukudharau lakini wewe unafikri machon mwa watu wanakupenda kumbe la!
Katiba imetoa uhuru kwanini wewe uwe mnafiki wa kujificha kama mbuni
Elimu yako ya uandishi wa habari ikusaidie kabla ya wewe kusaidia wengine
 
Lema Machiner hata wao wanajua ana ya tabia zao kwanini wasimchukie...
 
Wafanyakazi wa clouds wanapigania ugali wao wakiwa hawako upande wa ccm wanatafutiwa zengwe wanakosa ugali kwa familia.
 
That's chap chap media hawana weredi hata kidogo. They luck professionalism hawana contents kwenye habari zao. We sikiliza kuanzaia asubuhi mpaka usiku ndio utajua Clouds hawana contents ni full upuuzi ila jamii ya Kitanzania ndio inapenda kuambiwa upuuzi kama wa Clouds.

Ndio maana hawajatoa mwandishi au mtangazaji kwenda kwenye international media kama BBC au DW.

Weredi???? They luck???? Alaf kuna mtangazaji anaitwa Lazaro Matalange yupo DW. Jipange tena
 
Hata utoe povu kiasi gani, mmiliki wa clouds fm ni rafiki na mkubwa, kumbuka clouds walivyokuwa wakosoaji kipindi cha mkapa ndio maana masoud fina na wengine waliona hawapo tayari kula matapishi yao kama gerald hhando.
 
hamuwez kushika dola kwa kujenga chuki na makundi mbalimbali katka jamii zikiwemo media mi nadhan huko kote ni kujitapa tu clouds hawana tatzo lolote na siasa zenu chafu the same to tbc
 
Mnawaonea sana Clouds Duh! Hivi nani aikuambieni kuwa taaluma ya utangazaji ni kuwa na IQ kubwa, kujua kila kitu? Sio kweli, jaribuni kufanya assessment ya watangazaji wazuri kwenye vituo vyote mtagundua kwamba sio kusoma sana bali ni ujanja ujanja ndio unaomsaidia mtangazaji kuwa vizuri (kipaji).

BTW umewahi kujiuliza kama Div 1 nzuri za form six haziendi kusomea utangazaji wa habari? Hii ni kazi ya kijanja janja, unasomea kazini na uzoefu ndio unaokujenga. Watangazi wa Clouds hawana tofauti na watangazi wa radio zingine hapa TZ, hii clouds tunayoilalamikia ndio kila siku tunaisikiliza kwenye magari yetu ndio maana tunapata muda wa kuwaponda.

Huwezi kusema yule baba/mama anakoroma usiku akilala kama hulali naye, haya maswala yanatakiwa yawe kama maoni tu. Mnadhani ni asilimia ngapi wanavijua vipindi vya Kiss FM, Times FM, EA Radio, TBC FM, RFA, Magic FM, Radio Tumaini, Praise Power Radio, Radio Iman na Radio One zaidi ya wanavyovijua vya Clouds FM?
 
clouds wanajipendekeza kwa watawala ili wasilipe kodi, pambaf zao
 
Back
Top Bottom