Ushindi wa Lema, aibu kwa Clouds FM

Ushindi wa Lema, aibu kwa Clouds FM

kiboko yao sugu waliye haha kumtafuta mpaka bungeni kuomba suluhu..

Sugu aliwaambia jeuri dawa yake ni kiburi! Hata msipopiga nyimbo zangu mimi nilianza enzi za AM!
 
Clouds mbona wanajulikana tangu siku nyingi! Fuatilia hata waandishi wao hawana taaluma ya uandishi wamekaa kihunihuni tuu!
Hii aibu ni ya funga mwaka lakini hicho kinajulikana kabisa wa2 kama gelard na boss wake kusaga lazima watakuwa kwenye payrol ya ccm iliwaendeleze ushambega, mfano kibonde is typical pro ccm to kulinda kitumbua chake.
 
That's chap chap media hawana weredi hata kidogo. They luck professionalism hawana contents kwenye habari zao. We sikiliza kuanzaia asubuhi mpaka usiku ndio utajua Clouds hawana contents ni full upuuzi ila jamii ya Kitanzania ndio inapenda kuambiwa upuuzi kama wa Clouds.

Ndio maana hawajatoa mwandishi au mtangazaji kwenda kwenye international media kama BBC au DW.

Mkubwa, tafadhali saana kwenye nyekundu hapo, mimi sipendi clouds na mimi ni mwanajamii wa TZ, sema baadhi ya watz.
 
ikishindwa Chadema Mahakamani, kila mtu humu JF anasema Mahakama/Serikali ipo bias, wameionea. Basi inaposhinda Chadema, tusiishie tu kumpongeza aliyeshinda ila pia kuisifia Serikali/Mahakama kwa kutenga HAKI.

Ni hayo tu!

Mkuu umenena kwani hata Lema mwenyewe alikuwa na wasiwasi na ikulu kumbe hata JKanamkubali Lema
 
Serilali ilikuwa haina jinsi zaidi ya kuachia haki ichukue mkondo wake. Mziki wa kubadilisha ungekuwa haupimiki, ila kwa kuwa mnapenda sifa hata pasipostahili, Hongera kwa serikali kwa kuamua kuwa wapole
 
Wate humu naona mna ushabiki mahaba tu na chadema,wambieni chadema waanzishe radio ili chadema isifiwe kuanzia asubuhi hadi jioni
 
Hata SUGU waliwahi mponda kuwa hawezi kushinda ubunge 2010 kisa bifu zao ile programme ya malaria walimponda sana SUGU mwishowe wakakaa kimya baada ya SUGU kuibuka kidedea.Wana ushabiki wala hawana weredi wa kuchambua habari
 
naomba kujua taaluma zao wafanyakazi wa clouds FM, hasa shemeji yangu Kibonde (small valley)
 
Nimewasikia sana hasa yule Gerald Hando amekandia sana habari iliyoandikwa Tz daima, hukumu ya kihistoria kusomwa leo,nataka na kesho niwasikie watasemaje.aibu yao magamba hao

Hivi Gerald hando si mkaskazini mwenzetu yule! kwanini hakiungi mkono chama chetu?
 
nyie magamba ya clouds fm mmekosa kabsa cha kuongea muwapatie watoto wenu ugali, acheni ushabk wa ccm wakati 2015 hakitakuwepo. lema rais wa arusha pb hata msipopenda nyie wakuda wa2pu hapo mjengoni, kwanza mmefulia hamna jipya. clouds enz hizo ss iv uchuru m2pu mwanukisha media inanuka.
 
Kabla Kibonde hajajionyesha kwenye matangazo ya TV nilidhani ana elimu, labda ujana unamfanya awe mtu wa mambo ya kijiweni.
Baada ya kumuona live nikagundua ni mtu mzima. Kwa utu uzima huo kinachomfanya azungumze ya kijiweni ni elimu ndogo. Hakuna aliye na elimu iliyojaa na mwenye umri huo, anayeweza kuwa ni msemaji wa mambo kama hayo.
 
Wate humu naona mna ushabiki mahaba tu na chadema,wambieni chadema waanzishe radio ili chadema isifiwe kuanzia asubuhi hadi jioni

Kenneth Nollo
Join Date : 20th December 2012
Posts : 15
Rep Power : 304
Likes Received 0
Likes Given 0

Imenibidi niangalie wasifu wako ili nikusaidie lakini kumbe ndo unajifunza kuzungumza! hebu vumilia kidogo hadi utakapoielewa JF.
 
Ruge Mutahaba anawaagizia gunia la bangi kutoka olikokola kwa ajili ya kuvuta mwezi mzima kabla ya kuingia kwenye vipindi vyao.
Juzi nimemudhibu mtoto wangu kwa kosa la kusikiliza redio hii ya wahuni wapinga maendeleo.
 
hiyo redio ya kupromoti mashoga bhana! nilishaacha kuisikiliza
 
Wana bahati sikuwasikia, ole wao ningewasikia, mbona wangekoma ubishi! Ningewasikia wangejuta kuzaliwa!
 
Hivi waandishi na watangazaji wa kituo hiki wana taaluma gani? Kwao ushambenga na maneno ya jikoni kwa kwenda mbele!
Ndo wale ambao jamaa yao wanayemsifia aliwaita makanjanja!!! Akijua kuvaa earphones tu anajiita mtangazaji!!!
 
Back
Top Bottom