Lord Lofa
JF-Expert Member
- Dec 26, 2011
- 2,513
- 2,753
ninawaunga mkono clouds tena mumuogope hata mungu kwa mnacho wasingizia sijasikia hata mwandishi yeyote aliyembeza au kumponda mbunge mheshimiwa Lema walichokizungumzia ni kichwa cha gazeti la Tanzania Daima ya kwamba kesi ya kihistoria .walichosema ni kweli kwani ni watu wangapi wamefutiwa ubunge sio juzijuzi ambapo mnyika alishinda si juzi tu halima mdee alishinda kama wangekuwa na nia mbaya na chadema wangeponda hata hizo kesi tuwe tunasikiliza vizuri nimefurahishwa sana na ushindi wa lema kwasababu nchi yetu imeanza kukua kidemokrasia lakini tusiwe tunazungumza kwa ushabiki