Ushindi wa Lema, aibu kwa Clouds FM

Ushindi wa Lema, aibu kwa Clouds FM

Mnaipenda ndo maana mnasikiliza ungekua husikilizi wala usingi sikia wanachosem! We endeleea tu ku tune clouds!
 
Mnyonge mnyongeni wakuu, lakini mbona hamuongelei kuhusu Matamasha na Matangazo? wakati mnajazana hadi packing za magari zinakuwa lulu...

Tunahitaji ukombozi wa kisiasa, kijamii, kiuchumi na kiutamaduni. Matamasha ni hiyo ni biashara zao tu; kufanya entertainment maana yake wamelenga kukusanya fedha toka kwenye product / service fulani.

Tunapokuja kwenye uchambuzi wa mambo ya maana - hapo ndo wanaboa kishenzi.
 
Cloud Bado wanafikra za zamani ama wanakitu wanakwepa sijui katika matamasha wanayoanda kama wanalipa kodi ndio maana wanaifagilia sana CCM ya MAFISADI,,Nakumbuka Wassira aliwahi kusema ili biashara ziende lazima ujitolee zaidi kwa serikali ya CCM bila kujali unafanya biashara halali ama si halali.
 
Mnaipenda ndo maana mnasikiliza ungekua husikilizi wala usingi sikia wanachosem! We endeleea tu ku tune clouds!

Si wote tunaisikiliza wengine tunasikia upuuzi wao kutoka kwa watu kwa hiyo msione tunamimina hivi kama mvua kuwatukana mkadhani uwa tunawasikiliza LA HASHA mtu mzima akijinyea sokoni kariakoo ata sisi wa KISARAWE habari zitatufikia.
 
mie mwenyewe sidhani kama watangazaji wa Clouds wana elimu ya utangazaji kwanza utumia kiswahili ambacho sio fasaha,pili ujipendekeza sana kwa viongozi/serilkali sijui wanatafuta nini,elimu yenyewe mashati.
Clouds fm fanyeni kazi ki professional zaidi.hachana na ushabiki na kuongelea mambo msio yajua.
 
Hawa ni CCM kwani hamkusikia walimuandalia Rais Kikwete birthday. Pia wao kila siku uwa hawataki kuzungumzia habari zozote za CHADEMA ukiachilia mbali kushabikia kwamba Dr. Slaa ana kadi ya CCM mara zote wanaposoma magazeti habari zozote za CHADEMA utsikia wanasema hapo kasome mwenyewe. Ipo siku watu wataumbuka nchi hii wewe subiri
 
Hakika kama kunachombo makini cha habari tz basi na vya IPP NA STAR MEDIA pengine na vingine lakini hakiwezi kuwa CLouSe fM( uandishi huu haujakosewa ni kuonesha mpangilio wa akili zao) . Jamaa ni wavivu wa kufikiri na huwa hawana hoja wanayolanga kuzungumza wanachofanya ni kukurupuka kuongea upuuzi ambao hawajafanyia tafiti. Na hii si kwa sababu hawapendi ila hawana waandishi wenye uwezo huo,wengi wao ni kula kulala ambao wamewekwa pale si kwa taaluma zao hapana,fikilia mtu anapata kazi kisha ndiyo asomee uandishi kwa wafanyakazi wa namna hii husije kutegemea habari yoyote ya maana toka vinywani mwao. Wameongea mengi ya kipuuzi waji.....a hawa. Tunawajua ni njaa zao na bosi wao na ndizo zinawapeleka hapo tunawajua upande wao hawatuumizi kichwa. Wamepewa studio kusimamia wameifanya yao kisa katoa swahiba wao kikwete. Nendeni zenu (cldz) siku hizi tunasikiliza na kupima,ukiongea upuuzi na ujinga wenu tunajua.

sema nasikiliza....najua, badala ya tunasikiliza...tunapima. Mimi simo kwenye huo wingi uliotumia!!
 
hii yote ni kukosa shule na maadilili ya kazi yao. nadhani wakiaanza kushitakiwa ndio watakuwa na adabu , bustard
 
hawa watoto wa cloudz fm,kwanza most of them ni form 4 failures,walioungaunga 2....so waache waongee upuuz mi ciicklzag kabsa na miaka miwil
 
Wachumia tumbo hao,kujikomba ndio kawaida yao wala siwashangai hata kidogo
 
Mnaipenda ndo maana mnasikiliza ungekua husikilizi wala usingi sikia wanachosem! We endeleea tu ku tune clouds!

Unajua Wiselady sikiliza,
Wengine tuna watoto wakubwa ambao kuwalazimisha kusikiliza uchambuzi makini katika redio makini - utaonekana baba mkoloni. Tunashtukia imeishakuwa tuned na sio kwamba tunaipenda.
 
Tatizo watangazaji wa kipindi cha power breakfast wanaishi kwa mlungula.ni watu wa kutegemea kupewa kitu kidogo ili wawasifie watu flani.Wale washapewa kamohogo chao ndio maana walikuwa hawajui walitendalo.Sio redio ya kusikiliza kwa zama hizi.shame on them.
 
Back
Top Bottom