Kenenisa
JF-Expert Member
- Feb 13, 2021
- 564
- 1,100
Uhali gani mwanaJF,
Rejea kichwa cha habari hapo juu.
Kuanzia shule ya msingi mpaka a-level nilikuwa mtakatifu (Clean student) nikifaulu kwa juhudi zangu.
Hali ilibadilika baada ya kuingia chuo kikuu. Nikaanza kuwa muhuni na kuwa top cheater nikitumia mbinu zufuatazo
I) Kuandika mkononi au kwenye shati formula mbalimbali.
2) Kuweka daftari la kozi husika toilet na katikati ya mtihani naomba ruhusa ya kwenda toilet kumbe naenda kuangalia majibu ya maswali yaliyonishinda
Je, wewe ushawahi kutumia umafia gani kufaulu kwenye elimu yako?
Rejea kichwa cha habari hapo juu.
Kuanzia shule ya msingi mpaka a-level nilikuwa mtakatifu (Clean student) nikifaulu kwa juhudi zangu.
Hali ilibadilika baada ya kuingia chuo kikuu. Nikaanza kuwa muhuni na kuwa top cheater nikitumia mbinu zufuatazo
I) Kuandika mkononi au kwenye shati formula mbalimbali.
2) Kuweka daftari la kozi husika toilet na katikati ya mtihani naomba ruhusa ya kwenda toilet kumbe naenda kuangalia majibu ya maswali yaliyonishinda
Je, wewe ushawahi kutumia umafia gani kufaulu kwenye elimu yako?