Imewahi nitokea chuo test ya IT practical, nko na karatas ya maswali na computer, maswali yakawa hayaendi, computer naiona ya moto, nilipanic nikapata hofu ya kupata zero, ukizingatia sina record ya kupata zero, ghafla nilihisi hisia flan nkapiga bao moja tamu sana, japo nilipambana kulizuia lakin wapi, baada ya kupiga bao nikapata na akili ya kuforge, ile kumaliza paper suluari imelowana hatarii, ikabdi nikaote jua kidogo ndio nikakimbia geto kubadiri suluari. Hili bao ni tamu sana huwa naomba linitokee tena

