Tigershark
JF-Expert Member
- Oct 9, 2018
- 7,051
- 12,572
- Thread starter
- #121
Haya hongera,yawezekana hujakumbana na changamoto kubwa!Sijawahi
Haya hongera,yawezekana hujakumbana na changamoto kubwa!Sijawahi
Leo wakati napitia mitandao kupata habari za asubuhi,nimekutana na mtu anaeleza kuwa kufikiri maisha kumemfanya apige mshindo!
Hii imenikumbusha story yangu nikiwa kidato cha 4!Nikiwa kwenye mitihani ya NECTA nakumbuka kuna mtihani mmoja wa Engineering science(Kwa wale waliosoma technical schools wanalielewa somo hili) niliingia nikiwa na hofu sana!Tulikuwa na utamaduni wa kuanza section ya mwisho ambayo ilikuwa na maswali yenye marks nyingi lakini conceptual na tricky questions!Nilipoanza kuyasoma,nikaona kama yote hayatembei!!!!Hofu ikaongezeka,basi nikiwa kwenye hali ya panic,ghafla nilipata hisia fulani(siwezi kuielezea) na ndani ya sekunde chache nikajikuta nimepiga bao moja zito ikiambatana na sauti ambayo hata siikumbuki!Wanafunzi wengi waligeuka kuniangalia kulikoni,mpaka msimamizi akanifuata na kuniambia niende nje kupunga upepo kidogo maana jasho lilikuwa likinitoka na ni asubuhi!
Nilienda nje na kutulia na niliporudi nikawa niko calm,nilisoma tena yale maswali na kuyaona ya kawaida tofauti na awali!!!!
Mpaka leo sijawahi kuuliza wataalamu juu ya hali hiyo!Ila nikiri wazi kuwa sijawahi kupiga bao tamu kama lile nikiwa na mwanamke,it was exceptional kwakweli!!!!!
chezea Engineering science wew.....watu wa Bwiru tech tunaujua mziki wakeNoma sana,ukute swali la kirchoff law limesukwa kisawasawa,au strength of material au ukute jiwe la Heat,lazime upige tatu mzuka!![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
chezea Engineering science wew.....watu wa Bwiru tech tunaujua mziki wake
Nini tena?Hahahaaaa!! Yaani huu uzi khaah!
St John zipo nyingi..kuna inayotoa bachelor ya pharmacy na nursing,pia education..hiyo haijazuiwa
Vema mkuu!St John zipo nyingi..kuna inayotoa bachelor ya pharmacy na nursing,pia education..hiyo haijazuiwa
Uzi unachekesha.Nini tena?
Ni kweli kabisa!Uzi unachekesha.
Nitamteua Hpolepole awe msaidizi wangu,kwa style yake ya usajili,chama kitavuna wanachama wengi!Unafaa kuwa mwenezi wa chaputa
Kilele cha hatari!!!Yaani linakuwa murua kabisa,linaondoa stress zote na unarudi kuwa normal!Only the lucky ones ndio wanapata hii fursa!ko wanaume mtihan mgumu au hausomeki mnafika kileleni? 😱
@Madame B kwenye avatar ni wewe?Jamaniii
Ka-comment mwingine, unakuja kunitag mimi.
Jamani Jf kuna vituko
Nimeishia kucheka tu
Hahahahahhahaha
Ndio ni mimi@Madame B kwenye avatar ni wewe?
Kumbe ulikuwa hutanii,ni kibonge haswaaaa!Ndio ni mimi
Hahahahaaaa,na usingizi juu!!!!!Ilimtokea Mshikaji wangu tukiwa Kidato cha Pili , siku hiyo tulikuwa tunafanya Mtihani wa Kemia. akanihaditia nikamcheka sana ikaja zamu yangu Kidato cha 4 tunafanya mtihani wa Lugha ya Watumwa; tumefanya Mtihani kama dakika 10 mie nimemaliza swali 1 pekee mara msimamizo akaropoka bado dakika 5 walah Darasa zima tulichanganyikiwa, mie nikafunga goli na nikaamua kulala kama dakika 20. Baadae alitengua kauli!