Kungwi Mtoto
JF-Expert Member
- Jun 27, 2018
- 796
- 780
Dunian ukiambiwa kua uyaone ndo km haya sasa..😁😁😁
Hatari mkuu!
Hatari mkuu!
Hii kitu ni sahihi na hutokea kwa wale wasongo pekee! Mie nilikuwa Mazengo Tech kwenye somo la Technical drawings ilikuwa imebakia nusu saa na mchoro nilikuwa naweza kuufanya ila tulikuwa tunatakiwa kuchora kwa vipimo plan view, front elevation na rear view! Acha kabisa hii story imenikumbusha mbali sana! Ukereketwa wa masomo ni changamoto mashuleni!Mkuu mi nilipiga Mazengo,then Moshi tech!
Tena nadamshi tu.Kumbe ulikuwa hutanii,ni kibonge haswaaaa!
Ilibidi nilale,akili ilichoka ghafla hata kuandika nikashindwa. Ila Mtihani nilimaliza!Hahahahaaaa,na usingizi juu!!!!!
Inaonekana ulikuwa unakaa ujamaa na sudani ndipo ulikuwa unaenda kuvutia cha Arusha!Hahahaaaaa!Hii kitu ni sahihi na hutokea kwa wale wasongo pekee! Mie nilikuwa Mazengo Tech kwenye somo la Technical drawings ilikuwa imebakia nusu saa na mchoro nilikuwa naweza kuufanya ila tulikuwa tunatakiwa kuchora kwa vipimo plan view, front elevation na rear view! Acha kabisa hii story imenikumbusha mbali sana! Ukereketwa wa masomo ni changamoto mashuleni!
Kudamshi na kudanga humaanisha nini?Haya maneno huwa nayaona halafu napita tu!Tena nadamshi tu.
sinaga tatizo na mtu
Hahahaaaaáaaa,pole sana!Watoto wa sasa haya mambo hayawakuti,sijui kwanini?Ilibidi nilale,akili ilichoka ghafla hata kuandika nikashindwa. Ila Mtihani nilimaliza!
Kudamshi kama kupendez au lenye maana sawa na hizoKudamshi na kudanga humaanisha nini?Haya maneno huwa nayaona halafu napita tu!
Oooooh,lugha inakua!Kudamshi kama kupendez au lenye maana sawa na hizo
Kudanga ni kutafuta bwana iwe kwa kujiuza au kwa kuchetuliwa
Nimegundua wahanga ni wengiHii ilishawai kunitokea Chuo kwenye test ya company law haaaaaah patamu sana
Nilikuwa nakaa azimio kaka! Sivuti sigara wala nini mkuu! Ila nilikuwa mkereketwa wa hatari nashukuru nilitoboa!Inaonekana ulikuwa unakaa ujamaa na sudani ndipo ulikuwa unaenda kuvutia cha Arusha!Hahahaaaaa!
Nimecheka hadi machozi yamenitoka
Leo wakati napitia mitandao kupata habari za asubuhi,nimekutana na mtu anaeleza kuwa kufikiri maisha kumemfanya apige mshindo!
Hii imenikumbusha story yangu nikiwa kidato cha 4!Nikiwa kwenye mitihani ya NECTA nakumbuka kuna mtihani mmoja wa Engineering science(Kwa wale waliosoma technical schools wanalielewa somo hili) niliingia nikiwa na hofu sana!Tulikuwa na utamaduni wa kuanza section ya mwisho ambayo ilikuwa na maswali yenye marks nyingi lakini conceptual na tricky questions!Nilipoanza kuyasoma,nikaona kama yote hayatembei!!!!Hofu ikaongezeka,basi nikiwa kwenye hali ya panic,ghafla nilipata hisia fulani(siwezi kuielezea) na ndani ya sekunde chache nikajikuta nimepiga bao moja zito ikiambatana na sauti ambayo hata siikumbuki!Wanafunzi wengi waligeuka kuniangalia kulikoni,mpaka msimamizi akanifuata na kuniambia niende nje kupunga upepo kidogo maana jasho lilikuwa likinitoka na ni asubuhi!
Nilienda nje na kutulia na niliporudi nikawa niko calm,nilisoma tena yale maswali na kuyaona ya kawaida tofauti na awali!!!!
Mpaka leo sijawahi kuuliza wataalamu juu ya hali hiyo!Ila nikiri wazi kuwa sijawahi kupiga bao tamu kama lile nikiwa na mwanamke,it was exceptional kwakweli!!!!!
nakubaliana na wewe maana na mimi nilishawahi ku experience the same situation...wakati nipo advance..niliingia kwenye test ya kiswahili nikakuta mwalimu ametoa mule mule nilipokuwa nimesoma..Engineering Drawing(Autocad Software) ilinifanya nipige bao jepesi ndani ya paper.
Zamani nilikuwa nasikia kwa wana hii issue ila ilipokuja nitokea ndio niliamini.
Paper ilikuwa masaa matatu kwa kawaida nilikuwa na speed sana kwenye hii drawing sasa nimeingia kwenye paper hivi ile siku kila kitu nakiona chepesi mno nikasema kimoyo moyo leo dk zero namaliza.
Nikajikuta nimekwisha tumia saa moja na nusu hafu sioni nilichofanya mara mwili wote nikaona kama unaenda mbio hivi mara mbao najaribu kujizuia hivi nikashindwa kabisa.
Ila baada ya kupiga bao pale(Bila kupenda) nikamaliza paper fresh kabisa ila ilinibidi niongeze niwe na speed ya light.
Nikaja kuona hii inatokea pale unajua kila kitu halafu unaona unashindwa kufanya /kutatua kutokana unaona upo nyuma ya muda

imenitokeaga mara nyingi sana kwenye mitihani, pia kuna siku taxi ilichelewa kuja kunichukua niwahi basi ubungo, nikahisi nachelewa nilipiga bao alfajiri hiyo, ila kiukweli ikikutokea hii ni raha sanaPoa poa,mimi nilikuwa nakaa Muungano!Unakumbuka kitu cha PE?Ile gonjwa ya maeneo kutokana na beach kufurika?Nilikuwa nakaa azimio kaka! Sivuti sigara wala nini mkuu! Ila nilikuwa mkereketwa wa hatari nashukuru nilitoboa!
Hahahahaaaaaa,au ulijichelewesha makusudi ili upige kitu!Mie nilijua ni mimi tu hunitokea, nilifikiri nina matatizo, kumbe ni kawaidaimenitokeaga mara nyingi sana kwenye mitihani, pia kuna siku taxi ilichelewa kuja kunichukua niwahi basi ubungo, nikahisi nachelewa nilipiga bao alfajiri hiyo, ila kiukweli ikikutokea hii ni raha sana
Hapana mkuu,ilikuwa involuntary action!ulimtamani msimamizi inaonesha kabisa..