Gyole
JF-Expert Member
- Sep 20, 2013
- 7,008
- 7,091
Ni kweliDaaaah sawa mkuu ila nasikia hata madem wanapata orgasm wakiwa katk exams
Ni kweliDaaaah sawa mkuu ila nasikia hata madem wanapata orgasm wakiwa katk exams
HahahaaaNimepiga mabao sana.
1- Kulikua na paper chuo ya AutoCad, nilikua na laptop ipo kama desktop lazima iwepo kwenye chaji muda wote.. Nimekaza kufanya maswali mawili maana yalikua matatu, jamaa sijui alitokea wapi akachomoa waya wangu wa pc na nilikua sijasave.. Lilinitoka tusi moja 'kum***make' nikapiga na bao hapo hapo..
2- Nilikua napiga paper la Physics Necta Form 4, kila nikigeuza paper sioni swali la kuchomokea.. Mamaee hapo muda unakwenda msimamizi kusema imebaki lisaa limoja na hapo sijafanya hata swali moja, nikasikia kautamu kanakuja.. Kujibana wapi, nilipiga bao hadi nikasimama.. Watu wanashangaa huyu vipi, ikabidi wasimamizi waje.. Kuniuliza kulikoni, nikawaonyesha kwenye suruali nilipopigia bao... Wakabaki wakicheka tuu...!!!
Mkuu hilo bao lina raha sanaGoogle spontenoius ejaculation utapata research nyingi zinazoangazia swala hili. Hii inatokea mtu anapokuwa na pressure na panic ya ajabu ambapo mwili katika hali ya kujinasua inafanya ejaculation kama njia ya kupunguza stress.
Ni automatic na mara nyingi haimbatani na raha kivile.
Mkuu wewe ni ke or me??Ni kweli
KeMkuu wewe ni ke or me??
Sawa mkuu vp na ww ilishawah kukutokea hili swal la orgasm ktk exam?
Nimejieleza huko juu, Imenitokea mara 2 baada ya kuona muda umeisha na sijamaliza maswali, ila ni tamu sanaSawa mkuu vp na ww ilishawah kukutokea hili swal la orgasm ktk exam?
Utakuwa ulisoma Complex nini. MazengoLeo wakati napitia mitandao kupata habari za asubuhi,nimekutana na mtu anaeleza kuwa kufikiri maisha kumemfanya apige mshindo!
Hii imenikumbusha story yangu nikiwa kidato cha 4!Nikiwa kwenye mitihani ya NECTA nakumbuka kuna mtihani mmoja wa Engineering science(Kwa wale waliosoma technical schools wanalielewa somo hili) niliingia nikiwa na hofu sana!Tulikuwa na utamaduni wa kuanza section ya mwisho ambayo ilikuwa na maswali yenye marks nyingi lakini conceptual na tricky questions!Nilipoanza kuyasoma,nikaona kama yote hayatembei!!!!Hofu ikaongezeka,basi nikiwa kwenye hali ya panic,ghafla nilipata hisia fulani(siwezi kuielezea) na ndani ya sekunde chache nikajikuta nimepiga bao moja zito ikiambatana na sauti ambayo hata siikumbuki!Wanafunzi wengi waligeuka kuniangalia kulikoni,mpaka msimamizi akanifuata na kuniambia niende nje kupunga upepo kidogo maana jasho lilikuwa likinitoka na ni asubuhi!
Nilienda nje na kutulia na niliporudi nikawa niko calm,nilisoma tena yale maswali na kuyaona ya kawaida tofauti na awali!!!!
Mpaka leo sijawahi kuuliza wataalamu juu ya hali hiyo!Ila nikiri wazi kuwa sijawahi kupiga bao tamu kama lile nikiwa na mwanamke,it was exceptional kwakweli!!!!!
Hivi nyie mko serious? Ulipomaliza ukaenda kunawa?Kuna paper fulani ya Advanced Physics ilinipatia bao zuri, tamu na maridadi kabisa kuwahi kutokea![]()
Hapo unajichafua nguo tu wakati mikono inapambana na makaratasi ya mtihani.Hivi nyie mko serious? Ulipomaliza ukaenda kunawa?
Ulisoma tech gani mzeeLeo wakati napitia mitandao kupata habari za asubuhi,nimekutana na mtu anaeleza kuwa kufikiri maisha kumemfanya apige mshindo!
Hii imenikumbusha story yangu nikiwa kidato cha 4!Nikiwa kwenye mitihani ya NECTA nakumbuka kuna mtihani mmoja wa Engineering science(Kwa wale waliosoma technical schools wanalielewa somo hili) niliingia nikiwa na hofu sana!Tulikuwa na utamaduni wa kuanza section ya mwisho ambayo ilikuwa na maswali yenye marks nyingi lakini conceptual na tricky questions!Nilipoanza kuyasoma,nikaona kama yote hayatembei!!!!Hofu ikaongezeka,basi nikiwa kwenye hali ya panic,ghafla nilipata hisia fulani(siwezi kuielezea) na ndani ya sekunde chache nikajikuta nimepiga bao moja zito ikiambatana na sauti ambayo hata siikumbuki!Wanafunzi wengi waligeuka kuniangalia kulikoni,mpaka msimamizi akanifuata na kuniambia niende nje kupunga upepo kidogo maana jasho lilikuwa likinitoka na ni asubuhi!
Nilienda nje na kutulia na niliporudi nikawa niko calm,nilisoma tena yale maswali na kuyaona ya kawaida tofauti na awali!!!!
Mpaka leo sijawahi kuuliza wataalamu juu ya hali hiyo!Ila nikiri wazi kuwa sijawahi kupiga bao tamu kama lile nikiwa na mwanamke,it was exceptional kwakweli!!!!!
ChaputaChama gani tena?
Tena kama physics 2 bao lake lazima lilikuwa balaaKuna paper fulani ya Advanced Physics ilinipatia bao zuri, tamu na maridadi kabisa kuwahi kutokea![]()
Kuosha hilo duduHapo unajichafua nguo tu wakati mikono inapambana na makaratasi ya mtihani.
Utanawaje wakati hujachafuka mikono....
Draft nilipiga A safi tena matata napenda sana kuchoraNna rafiki zangu wawili wamewahi kunihadithia mmoja ilimtokea mtihani wa shule ya msingi na mwingine sekondari.
Engineering Science, somo langu pendwa kuliko masomo yote nikiwa na G.R.A Titomb pembeni utaniambia nini?
Mwaka wetu tuliletewa mtihani wa Electical Drafting wa ajabu sana, kwanza walichelewa kuutuma ukaja mchana tena kwa fax, pili tulitegemea utakua nyanya kama kawaida, baada ya kugawiwa karatasi za maswali nakumbuka nilipotoka nilisema hapa ntapata Banda au Mswaki, haingewezekana kupata katikati, yaani ni A au F. Nashukuru mambo yakaenda vizuri. Huu ndio mtihani pekee ningeweza kutokewa na hali kama hiyo, kama haikutokea siku hiyo, haitatokea tena.