Ushawahi kupiga bao chumba cha mtihani?

Ushawahi kupiga bao chumba cha mtihani?

Umenikumbusha necta yetu ya form six...tumeingia kwenye practical ya chemistry,jamaa akawa anafanya titration huku haoni colour change mpaka acid yote inaisha kwenye burrete..nikaona suruali yake imelowa kwa mbele,nikashtuka..baadae akajakutuambia kuwa alipizi...
Shule gan mkuu?
 
hahaa me kwenye math form 4 mock ilinitokea,msimamizi alilopoka zimebaki dakika 15 ndio naanza kufanya maswali yale ya mwishoni yenye maks nyinginyingi.yani mwili wote unafreeze unakuwa kama unaelea angani vile...
 
Practical ya chemistry mwaka 2014 pia kupata colour change ilikua ni noma mzee mtu masaa matatu yameisha ndio et inachange
hapo ndio mtajua umuhimu wa kufoji, watu tulikuwa tunaingia lab tayari yunajua titre volume kama ni 25, tukifika nifungulia acid kama bomba mpaka 23 hivi ndio tunaendelea mdogo mdogo, kitu inakubali fasta wasimamizi wakawa wanacheka maana nahisi waligundua kuna namna si bure
 
hapo ndio mtajua umuhimu wa kufoji, watu tulikuwa tunaingia lab tayari yunajua titre volume kama ni 25, tukifika nifungulia acid kama bomba mpaka 23 hivi ndio tunaendelea mdogo mdogo, kitu inakubali fasta wasimamizi wakawa wanacheka maana nahisi waligundua kuna namna si bure
Ndio hivyo,ukishajua sample umemaliza mchezo,unapiga hesabu unapata volume ndio unatiririka!
Sasa usiombe upige hesabu vibaya,upate volume tofauti sana na real prac!!!!Hahahhaaa ,halafu unakuja shituka zimebaki dk 5 kuwa ulikosea kwenye kubalance chemical equation!
 
Mie nilijua ni mimi tu hunitokea, nilifikiri nina matatizo, kumbe ni kawaida imenitokeaga mara nyingi sana kwenye mitihani, pia kuna siku taxi ilichelewa kuja kunichukua niwahi basi ubungo, nikahisi nachelewa nilipiga bao alfajiri hiyo, ila kiukweli ikikutokea hii ni raha sana
Anhahhahahahaaaa....
 
Kitaalamu wanasema ukishapasia nyavuni ndio brain inatulia unajibu maswali fresh msala ni how to stand up
 
Imewahi nitokea chuo test ya IT practical, nko na karatas ya maswali na computer, maswali yakawa hayaendi, computer naiona ya moto, nilipanic nikapata hofu ya kupata zero, ukizingatia sina record ya kupata zero, ghafla nilihisi hisia flan nkapiga bao moja tamu sana, japo nilipambana kulizuia lakin wapi, baada ya kupiga bao nikapata na akili ya kuforge, ile kumaliza paper suluari imelowana hatarii, ikabdi nikaote jua kidogo ndio nikakimbia geto kubadiri suluari. Hili bao ni tamu sana huwa naomba linitokee tena
 
Sio kwenye mtihan lakini,

Ilikuwa ni safari ya kuvuka mikoa kadhaa hivi hadi kufika nyumbani, pale kwenye usukani alikaa kijeba fulani mwenye miraba minne, alivyojazia misuli ya mikoni na ile ya kifuani nilikua sina mashaka naye juu ya umahiri wake wa kuendesha, kwenye spika kuukuu za lile gari zilikuwa zinapigwa nyimbo za mista naisi mwanzo mwisho, ( kuku kapanda baiskeli sijui fagiliaaa fagilia bongo wawaaaa) pembeni ya siti yangu amekaa mrembo hivi kwa mazungumzo ya hapa na pale niligundua kuwa mwanachuo wa chuo fulani huko daslam, sasa alikuwa ananiongelesha domo zege mimi huku akitupia na misamiati ya kiingereza cha hapa na pale mimi niliona kama ananinyanyasa tu, si unajua tena hawa dada zenu wasomi wakianza kuongea unaweza hisi anajidai kumbe wasiwasi wetu tu na kutojiamini, hapo kumbuka kichwani nina mawazo yangu ya kudhurumiwa mzigo wangu wa mbao niliopeleka mjini na hawa jamaa wanaojiita maliasili kisa tu kibali kimeisha tarehe ya jana na documents za kuenda kuuhuisha wamezikataa, ashukuriwe dalali aliyenikopesha nauli ya kuridia nyumbani,

Katikati ya wimbi zito la mawazo nikasikia dereva anasema ayaaaaa, gari iko spidi mwenye kuomba kifo chema anaomba, mwenye kukemea anakemea, MUNGU na AHIMIDIWE MILELE, gari ikasimama salama kabisa, nikasikia yule dada ananinong'oneza sikioni " pole kaka" huku akinifunika na kipande cha kanga hapa mapajani, kuangalia naona pamelowana mlowano usio wa mkojo, nijavuta hisia kidogo kumbe ile katikat ya purukushan kuna raha flan nilikuwa naisikia hadi nikaanza kuwaza kumbe mbunguni kuna raha hivi, nilijua nimeshakufa hapo( kumbe napiga goli matata sana huku huyu binti mrembo akishuhudia, wangekuwa hawa Madada ya smatifoni angenirekodi kabisa anitupie humo instagiramu) nilijisikia tabu sana, hata kumwangalia yule dada nilikuwa najisikia aibu vilivyo, bahati nzur hawa wasomi ni waelewa sana kwa BAADHI ya mambo, kama upo humu nitafute nikulipe hata asante mana kukulipa wema wako umezidi thamani zote
 
Sio kwenye mtihan lakini,

Ilikuwa ni safari ya kuvuka mikoa kadhaa hivi hadi kufika nyumbani, pale kwenye usukani alikaa kijeba fulani mwenye miraba minne, alivyojazia misuli ya mikoni na ile ya kifuani nilikua sina mashaka naye juu ya umahiri wake wa kuendesha, kwenye spika kuukuu za lile gari zilikuwa zinapigwa nyimbo za mista naisi mwanzo mwisho, ( kuku kapanda baiskeli sijui fagiliaaa fagilia bongo wawaaaa) pembeni ya siti yangu amekaa mrembo hivi kwa mazungumzo ya hapa na pale niligundua kuwa mwanachuo wa chuo fulani huko daslam, sasa alikuwa ananiongelesha domo zege mimi huku akitupia na misamiati ya kiingereza cha hapa na pale mimi niliona kama ananinyanyasa tu, si unajua tena hawa dada zenu wasomi wakianza kuongea unaweza hisi anajidai kumbe wasiwasi wetu tu na kutojiamini, hapo kumbuka kichwani nina mawazo yangu ya kudhurumiwa mzigo wangu wa mbao niliopeleka mjini na hawa jamaa wanaojiita maliasili kisa tu kibali kimeisha tarehe ya jana na documents za kuenda kuuhuisha wamezikataa, ashukuriwe dalali aliyenikopesha nauli ya kuridia nyumbani,

Katikati ya wimbi zito la mawazo nikasikia dereva anasema ayaaaaa, gari iko spidi mwenye kuomba kifo chema anaomba, mwenye kukemea anakemea, MUNGU na AHIMIDIWE MILELE, gari ikasimama salama kabisa, nikasikia yule dada ananinong'oneza sikioni " pole kaka" huku akinifunika na kipande cha kanga hapa mapajani, kuangalia naona pamelowana mlowano usio wa mkojo, nijavuta hisia kidogo kumbe ile katikat ya purukushan kuna raha flan nilikuwa naisikia hadi nikaanza kuwaza kumbe mbunguni kuna raha hivi, nilijua nimeshakufa hapo( kumbe napiga goli matata sana huku huyu binti mrembo akishuhudia, wangekuwa hawa Madada ya smatifoni angenirekodi kabisa anitupie humo instagiramu) nilijisikia tabu sana, hata kumwangalia yule dada nilikuwa najisikia aibu vilivyo, bahati nzur hawa wasomi ni waelewa sana kwa BAADHI ya mambo, kama upo humu nitafute nikulipe hata asante mana kukulipa wema wako umezidi thamani zote
Hahahahaaaaaaa,ulitisha sana!
 
Back
Top Bottom