Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,718
- 126,564
Uko sahihi mkuu.Hiyo hali nadhani hutokea pale mtu anapokuwa amepanic kupita kiasi sasa mwili unapojaribu kujirudisha katika hali yake mtu kupiga bao nikitu cha kawaida.
Mimi hii hali ilinitokea nikiwa chuo lakini sii kwenye chumba cha mtihan nilikuwa block D nimelala mchana huku nafanya forex nilikuwa na mtaji wa dola 300 nakumbuka nilipata profit dola 600 jumla nikawa na dola 900 mida ya saa 1 usiku nikaenda cafe nikala then nikarudu kutrade daa usingizi ukanipitia nikashituka muda kama wa saa 6 asee nikakuta market imenigeukia nilikuwa nimeweka lot ya 0.5 nikakuta kama neg 700 asee nilichanganyikiwa sikuamini macho yangu nilijikuta napiga bao kidogo akili ikatulia nikahisi labda mimi ni mgonjwa ila nilikuja elewa baadae.
Panic ndio chanzo kikubwa