Ushawahi kupiga bao chumba cha mtihani?

Ushawahi kupiga bao chumba cha mtihani?

Hata mimi sijui,huyo manzi alikuwa anachukuliwa na mshikaji wangu wa advance,jamaa demu alimchuna kinoma kuanzia moshi tech mpaka uraiani!Baadaye walitemana!Ebana demu alikuwa na kiuno hatariii!
Isije kuwa Kipesha? Hahahaaaa maana hata yeye alipiga
 
Nimepiga mabao sana.

1- Kulikua na paper chuo ya AutoCad, nilikua na laptop ipo kama desktop lazima iwepo kwenye chaji muda wote.. Nimekaza kufanya maswali mawili maana yalikua matatu, jamaa sijui alitokea wapi akachomoa waya wangu wa pc na nilikua sijasave.. Lilinitoka tusi moja 'kum***make' nikapiga na bao hapo hapo..

2- Nilikua napiga paper la Physics Necta Form 4, kila nikigeuza paper sioni swali la kuchomokea.. Mamaee hapo muda unakwenda msimamizi kusema imebaki lisaa limoja na hapo sijafanya hata swali moja, nikasikia kautamu kanakuja.. Kujibana wapi, nilipiga bao hadi nikasimama.. Watu wanashangaa huyu vipi, ikabidi wasimamizi waje.. Kuniuliza kulikoni, nikawaonyesha kwenye suruali nilipopigia bao... Wakabaki wakicheka tuu...!!!
We jamaaa ni shidaaaa!!!!nimecheka hadi mchozi umenitoka
 
Imenitokea mara mbili hiyo kitu.yakwanza ilikuwa ni Rungwe boys napiga mtihani wa 4m 6 ilikuwa tamu hatari
Ya pili ilinitokea chuo daaah ina raha yake ila nakaraha juuu
 
Back
Top Bottom