Thad
JF-Expert Member
- Mar 14, 2017
- 13,402
- 31,652
Kuna paper fulani ya Advanced Physics ilinipatia bao zuri, tamu na maridadi kabisa kuwahi kutokea![]()



Kuna paper fulani ya Advanced Physics ilinipatia bao zuri, tamu na maridadi kabisa kuwahi kutokea![]()



Hahaaaaaaa!Wengi waliosoma masoml ya sayansi kwenye mitihani huwa wana piga bao sana
Hahahahaaaaaaaaaa,wewe naye umekubuhu!Nimepiga mabao sana.
1- Kulikua na paper chuo ya AutoCad, nilikua na laptop ipo kama desktop lazima iwepo kwenye chaji muda wote.. Nimekaza kufanya maswali mawili maana yalikua matatu, jamaa sijui alitokea wapi akachomoa waya wangu wa pc na nilikua sijasave.. Lilinitoka tusi moja 'kum***make' nikapiga na bao hapo hapo..
2- Nilikua napiga paper la Physics Necta Form 4, kila nikigeuza paper sioni swali la kuchomokea.. Mamaee hapo muda unakwenda msimamizi kusema imebaki lisaa limoja na hapo sijafanya hata swali moja, nikasikia kautamu kanakuja.. Kujibana wapi, nilipiga bao hadi nikasimama.. Watu wanashangaa huyu vipi, ikabidi wasimamizi waje.. Kuniuliza kulikoni, nikawaonyesha kwenye suruali nilipopigia bao... Wakabaki wakicheka tuu...!!!
Dah....Tena kwa style mpya....isiachwe bila kurekodiwa hiyoChama kinaimarika siku kwa siku

Hahahhaaaaaaaaa,hili suala haliji hivi hivi!Dah....Tena kwa style mpya....isiachwe bila kurekodiwa hiyo![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Kama haijawahi kukutokea na hujawahi kuona aliyepiga bao basi huwezi kuamini
Hahahahaaaaaaaaaa,wewe naye umekubuhu!
Hii chai
Ngoja na mimi nivute kumbukumbu nione kama niliwahi kupiga bao kwenye chumba cha mtihani

Sawa ngoja nisubiriNgoja na mimi nivute kumbukumbu nione kama niliwahi kupiga bao kwenye chumba cha mtihani![]()
Hivi ke nao wanapiga bao?Sawa ngoja nisubiri

Ndio mtueleze sasa kinachowatokea mkipanic kwenye paperHivi ke nao wanapiga bao?![]()
Ngoja tuwangoje wahanga, mimi sikuwahikupanic likinishinda nilikuwachana naloNdio mtueleze sasa kinachowatokea mkipanic kwenye paper
Nasikia huwa mnaingia MP ghaflaNgoja tuwangoje wahanga, mimi sikuwahikupanic likinishinda nilikuwachana nalo
Kama me tuHapo inatakiwa wao watueleze kwa upande wao aisee