Ushawahi kupiga bao chumba cha mtihani?

Ushawahi kupiga bao chumba cha mtihani?

Wadada hamna au?
Nawaza bao la kupata wakyi was pepa?
Hahahahhahahha MUST BE VERY VERY EXCITING!!
 
Nimepiga mabao sana.

1- Kulikua na paper chuo ya AutoCad, nilikua na laptop ipo kama desktop lazima iwepo kwenye chaji muda wote.. Nimekaza kufanya maswali mawili maana yalikua matatu, jamaa sijui alitokea wapi akachomoa waya wangu wa pc na nilikua sijasave.. Lilinitoka tusi moja 'kum***make' nikapiga na bao hapo hapo..

2- Nilikua napiga paper la Physics Necta Form 4, kila nikigeuza paper sioni swali la kuchomokea.. Mamaee hapo muda unakwenda msimamizi kusema imebaki lisaa limoja na hapo sijafanya hata swali moja, nikasikia kautamu kanakuja.. Kujibana wapi, nilipiga bao hadi nikasimama.. Watu wanashangaa huyu vipi, ikabidi wasimamizi waje.. Kuniuliza kulikoni, nikawaonyesha kwenye suruali nilipopigia bao... Wakabaki wakicheka tuu...!!!
Hahahahaaaaaaaaaa,wewe naye umekubuhu!
 
Hapa tutaelewana hasa wazee WA uboizini

Maana kule ndondo +libido basi mambo huwa ivyo simple tu
Kama haijawahi kukutokea na hujawahi kuona aliyepiga bao basi huwezi kuamini
 
Hahahahaaaaaaaaaa,wewe naye umekubuhu!

Haahahaha.. Ule utamu wake nikawa natamani bao litoke kila wakati..

Kuna paper la Machine element ile tumeingia tukavurugwa vurugwa hamna cha fomesheni wala nini.. Paper yenyewe halisogei hata kwa juche, hapo lecturer anatia mkwara robo tatu ya darasa lazima niwaingize nyavuni.. Ile presha na hofu nikapiga bao langu swafi...
 
Back
Top Bottom