Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 46,386
- 98,519
Hahahaha, serious RafikiRafiki are you serious? 🙄
Hahahaha, serious RafikiRafiki are you serious? 🙄
Kibongobongo lakini wengine tushatoka kwenye maisha ya kibongobongo tunaishi kwa standards za kimataifa 😂😂😂Mkuu,
Sisi huku 45 tuu wewe ni mzeee, yaan full kuchakaaa.
Miaka hamsini majaaaliwa😂😂😂
At 50 hata nguvu zitakuwa zimeisha kibongo bongo
Skuizi wanaume hatutaki kut....m....b....a wanawake ndo wanafosi, ama kweli mambo yamebadilika, itafkia kipindi wanawake wataanza kutongoza wanaume kwanguvu ili wakakunwe, maana skuizi wanaume tuko wachache kuliko wanawake afu hatushobokei Tena mambo kama hizo.Safi sana kijana, linda uvulana wako Trump kashaacha kutoa msaada..!!
Si kweli, maana skuizi k zipo nyingi afu zinaachwa wazi hadharani, wanawake wanatembea nusu uchi, wengine uchi kabisa tusha zoea kuwatizama mpaka tushazikinai, twaona hakuna jipya Tena. Hata kudinda inakua ngumu, mpaka ufosi.😂😂😂😂😂
Kwa hiyo nguvu za kijogoo hazipo saaasa.
Yaan wengine hata chupi tuu wakiona hapakaliki
Zamani ni sawa, ila kwa sasa hapanaa.Wewe unaweza kumpenda MTU saanaa??
😂😂😂😂😂😂Zamani ni sawa, ila kwa sasa hapanaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimesikiliza voicemail ya pili hapa sasa hivi.Apunguze uchizi, kwani wameisha anahangaika na mtu mmoja? Hisia gani hizo nipe namba yake nimchane
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahaha kwann mkuu?? Tafuta mtoto mmoja WA mama mkwe umpende
Woote wanao lalamika humu kuwa hawapendi WATU VING'ANG'ANIZI wakiongozwa na wewe ni kwa7bu hamjapenda mtoto wa mtu ile ki kwelikweli.Mtu kila saa anakutafuta,anakutumia text,anakupigia,ukimjibu au ukichelewa kumjibu anakulaumu na "mbona kimya" zinakuwa nyingi
Huu ni ukatili wa hisia, mdau hana time na huyu manzi ila sad enough anashindwa kumwambia atemane nae hii haijakaa kiufundi unless wana shida kati yao. All in all, siwezi kua loyal kwa fala kama huyu.Unamaanisha mapenzi ya dizaini hii au? View attachment 3274103
Well said mkuuWoote wanao lalamika humu kuwa hawapendi WATU VING'ANG'ANIZI wakiongozwa na wewe ni kwa7bu hamjapenda mtoto wa mtu ile ki kwelikweli.
Ila KUMBUKENI kuwa hata nyie kwa wapenzi wenu hao hao mnao wapenda pia na nyie mnaonekana kuwa ni ving'ang'anizi vilevile, tatizo ni kwa7bu hao wapenzi wenu hawalalamiki kwa watu wenye ukaribu na nyinyi ndo maana hasikii malalamiko kama yenu.
Trick mbaya sanaa hiyooomimi pia nina mngoni wangu ambae namtumiaga risala naambulia mikausho kama Zombie vile, sasa kosa langu liko wapi? 😅
Woo engineeer[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Niache kupambana sites, nihangaike na mtu nlokutana nae akiwa na meno 32 yote?
Mie napenda HELA tyuuh. Woiiiih
Mzee wangu na kaka yangu Kiranga.Nimesikiliza voicemail ya pili hapa sasa hivi.
Anasema.
"You are completely adorable. You just are. I love you"
Wadada Kama hawa cocastic wanapatikana wapi??Unamaanisha mapenzi ya dizaini hii au? View attachment 3274103
Kama ananidanganya anacheza na voicemail tu.Mzee wangu na kaka yangu Kiranga.
Possibly unadanganywa. Hamna mapenzi ya namna hiyo Zama hizi za mama Samiyyaa. Shutka bado mapema kabla hapaja kucha...
Rafiki mbona niliwahi ona kwenye uzi mmoja hivi kuna mJf anasema una mke na mkeo ana wivu hatari. 🤣Hahahaha, serious Rafiki
Duuh!Ile kila MTU na hamsini zake mnakutana tuu kwenye shughuli ya kuongeza familia na mambo ya budget
Hahahaaaa. LolMzee wangu na kaka yangu Kiranga.
Possibly unadanganywa. Hamna mapenzi ya namna hiyo Zama hizi za mama Samiyyaa. Shutka bado mapema kabla hapaja kucha...
Hahahaha,jokes tu Rafiki, ndio natafuta Mke atakayenipendaRafiki mbona niliwahi ona kwenye uzi mmoja hivi kuna mJf anasema una mke na mkeo ana wivu hatari. 🤣
Au ilikuwa jokes mana hadi na like nilimpa. 🤣🤣