Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 52,050
- 126,079
Jirani naona unanicheka.😂😂😂
Jirani naona unanicheka.😂😂😂
Na mimi najua, ndiyo maana namuacha mpaka analala hapo hivyo hivyo.KIukweli mie huwa naona raha ipo pia yote kwa yote huwa najikuta nakuwa na amani iliyopitiliza.
Nilipendwa hadi nikawa nachefukwa, yaan usipopokea mtu ananuna, kila dakika unauliza unafanya nini, mara umekula mara umeamka mara karibu chai yaaani utajuta jamaniiWakuu
Katika maisha ya mahusiano tunapitia mengi,unaweza ukapendwa sana mpaka ukawa unahisi ni kero sasa
Mtu kila saa anakutafuta,anakutumia text,anakupigia,ukimjibu au ukichelewa kumjibu anakulaumu na "mbona kimya" zinakuwa nyingi
Hali hii mimi binafsi huwa siipendi na ikitokea mwanamke wa namna hii basi nampiga chini haraka sana,siwezi kuwa saa niko na simu tu nachati au naongea na wewe kama nimekosa kazi ya kufanya.
Nimeachana na first11 ya wanawake dizaini hii.
Usawahi kudate na mdada au mwanaume wa namna hii? Hali ilikuwaje,ulikabiliana nae vipi na mahusiano yako bado yapo?
Cc Binti Sayuni03
Yaan MTU akinipenda hivyo namwacha siku si nyingi😂😂😂😂Jirani naona unanicheka.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nishawahi kupendwa kwakweli ni kerooo, anapiga simu kama customer care wa mikopo ya mtandaoni, yaani sasa usipokee aanalalamika kama aliyewekewa pilau bila nyama, nilimwacha yule kaka sipendi ujinga mimi
Wangoni wote peponi.mimi pia nina mngoni wangu ambae namtumiaga risala naambulia mikausho kama Zombie vile, sasa kosa langu liko wapi? [emoji28]
Mkuu,Alivyofariki Michael Jackson akiwa na miaka 50, Wamarekani walilalamika wakisema "Jamaani, mbona kafariki bado mdogo saana?"
Mimi sijafikisha hata hiyo 50, Watanzania wananiambia "Umeshapitwa na wakati..."
Haya ni matatizo ya umasikini na ushamba tu.
Hii ni nzuri, inatokana na kutokuwa na background ya kuumizwa...umizwaKIukweli mie huwa naona raha ipo pia yote kwa yote huwa najikuta nakuwa na amani iliyopitiliza.
Wewe unaweza kumpenda MTU saanaa??Comments zinachekesha hatariii, woiiiiih
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😂😂😂😂😂Mimi hata hamu ya mapenzi Sina, hata mwanamke akija chumbani uchi naweza nisimfanye kitu na nikamtoroka, mapenzi yamehamia kwenye pesa. Nina mapenzi na pesa, napenda pesa, pia napenda pesa zangu
HahahahahaUnamaanisha mapenzi ya dizaini hii au? View attachment 3274103
🤣🤣🤣 hivyo jirani we unapenda kupendwa kwa aina gani?Yaan MTU akinipenda hivyo namwacha siku si nyingi😂😂😂😂
Ukipita vile anakutafuta tena mbona "kimya jamani uko wapi"Hahahaha,we acha tu, kila napogusa Kuna mwenyewe, nakula kibuti Cha mbavu napita vile
Safi sana kijana, linda uvulana wako Trump kashaacha kutoa msaada..!!Mimi hata hamu ya mapenzi Sina, hata mwanamke akija chumbani uchi naweza nisimfanye kitu na nikamtoroka, mapenzi yamehamia kwenye pesa. Nina mapenzi na pesa, napenda pesa, pia napenda pesa zangu
Hakika.Hii ni nzuri, inatokana na kutokuwa na background ya kuumizwa...umizwa
Ile kila MTU na hamsini zake mnakutana tuu kwenye shughuli ya kuongeza familia na mambo ya budget🤣🤣🤣 hivyo jirani we unapenda kupendwa kwa aina gani?
SAhihiWewe ndio mzurii sasa… mimi nishakomaa hayo mahusiano ya kishuleshule mara umekula umevaa nini sijui nyenyenye siyawezi.. yaani kuwe na kiasi