Yupo hapa ananitumia malavidavi kila dakika tano na mimi na like na ku reply ninapoweza.Mnaendeleaje sahii
Umependwa mwenzetuYupo hapa ananitumia malavidavi kila dakika tano na mimi na like na ku reply ninapoweza.
Ni kweli, maana sio poa ni pm basi.Inabidi tuanze tumiana sms sasa
Ni kama nina kizizi nao.Umependwa mwenzetu
Apunguze uchizi, kwani wameisha anahangaika na mtu mmoja? Hisia gani hizo nipe namba yake nimchaneNi kama nina kizizi nao.
Kuna mwingine wa zamani mpaka imekuwa usumbufu nimemblock ila haishi kunipigia na kuniachia messages.
Hahaa,Apunguze uchizi, kwani wameisha anahangaika na mtu mmoja? Hisia gani hizo nipe namba yake nimchane
Afu unakuta msg zenyewe niambie my,umekula,umelala,umeoga...mara unafanya nini saizi...unaona kabisa hapa hakuna mpenzi bali nimekutana na useless fellow😏Kuna huyu anaenitongoza mpk hapa ameshakuwa unqualified.. yaani ana kera hajali hata umelala saa 7 anapiga Simu.. muda wa kazi masimu ma sms kama ananidai figo yake..
Hayo mapenzi ni ya under 25 sie wazee hatuyawezi masimu ma sms kama nina damu yake siweziii
NJoja tuone kama moto utawaka.Inabidi tuanze tumiana sms sasa
Yani hapa nimeandika tu, nimeangalia voicemail, nimekuta voicemails tatu.Namtafuta The Boss labda nami ntakipata nachokitamani kupata
😄😄😄😄 siku mkizinguana atasahau kama aliwahi fanya huo ujingaYani hapa nimeandika tu, nimeangalia voicemail, nimekuta voicemails tatu.
Ya kwanza.
"Hey, I miss you. I don't ache a lot, but I miss you..."
Alishawahi kuniambia ananimiss mpaka ina ache.
Kwa nini hawezi kunisahau akaendelea na maisha yake tu?
Ulijuaje ndugu😁😁😁Hivi wewe ma ex wako si wanajaa tandam?
Huyo ndiye yule tushazinguana mpaka nimemblock ila anaomba turudiane.😄😄😄😄 siku mkizinguana atasahau kama aliwahi fanya huo ujinga
Mjinga kabisaaa atulie atapata mwengine watu wanaachana na waume na wake zao maisha yanasongaHuyo ndiye yule tushazinguana mpaka nimemblock ila anaomba turudiane.
Hajapata mwingine kama mimi.Mjinga kabisaaa atulie atapata mwengine watu wanaachana na waume na wake zao maisha yanasonga