Holoholo
JF-Expert Member
- May 10, 2023
- 8,702
- 19,592
tofautisha kupendwa kupitiliza mpaka unahisi ni kero na uking'ng'anizi. Mtu king'ang'anizi ni yule penzi lishakufa yeye bado anataka,mtu humtaki bado hachoki kukutafta, kupendwa mpaka kero ni ile mpendwa nae anapenda ila ile mtu anakutafuta,anakufanyia jambo ambalo si muhimu na unahsi ni kero. Back to your reply, huenda na wewe dem wako yumo humu anasema mtu wake anampenda mpaka kero ambaye ni wewe.Woote wanao lalamika humu kuwa hawapendi WATU VING'ANG'ANIZI wakiongozwa na wewe ni kwa7bu hamjapenda mtoto wa mtu ile ki kwelikweli.
Ila KUMBUKENI kuwa hata nyie kwa wapenzi wenu hao hao mnao wapenda pia na nyie mnaonekana kuwa ni ving'ang'anizi vilevile, tatizo ni kwa7bu hao wapenzi wenu hawalalamiki kwa watu wenye ukaribu na nyinyi ndo maana hasikii malalamiko kama yenu.
Ooh. Hamna shida rafiki ipo siku utampata.Hahahaha,jokes tu Rafiki, ndio natafuta Mke atakayenipenda
Huyu kadogo2 nae muongomuongo mwezi uliopita alikuwa analialia hapigiwi simu wala hamjali,mwezi huu kapata wa kumpigia simu anamjali anasema anamkera kweli mwanamke hajui nini anatakaVipi ushampata wa kukupa pesa? 😹😹
Au ndio yule akijisikia kukuzagamua anakuita na kukubebisha 🤣
Atakuwa bahili😂😂😂😂Mi nimemwambia atulie kwangu nampenda yeye hadi ubahili wake hasikii anarukaruka...😹😹😹 Hebu elezea vizuri shem kwann unapigwa vibuti?
Mimi niko hapa,wakikupiga kibuti simu yangu iko on babeMzee wa kuchezea vibuti nipo hapa,ila Naamini Iko siku na mm nitapendwa
Kuna mmoja alikuwa ananilazimisha nimlalie kifuani sijui mkononi khaaaaaa shingo yote inauma yaani ni kerooo..Umenikumbusha bibie mmoja hata akitaka kulala hawezi kulalia mto ni lazima alalie kifua.
Nimependwa sana ila mwamba wala sijali mapenzi yanawasumbuaga akina nyinyi mnaoyaendekeza
Nishawahi kupendwa kwakweli ni kerooo, anapiga simu kama customer care wa mikopo ya mtandaoni, yaani sasa usipokee aanalalamika kama aliyewekewa pilau bila nyama, nilimwacha yule kaka sipendi ujinga mimi
Neno KING'ANG'ANIZI umelielewa tofauti na nlivyo maanisha mm.tofautisha kupendwa kupitiliza mpaka unahisi ni kero na uking'ng'anizi.
Shem anakuulizia huku anajua wajanja wamekuwahi 😹😹😹Afadhali mdogo wangu untethered,mi najua kupenda tu kuacha sio shida zangu
Hahahaha, Bora umekuja, unafichwa sanaMimi na wewe refa wetu ni kifo.
Hahahaha, kweli!?Afadhali mdogo wangu untethered,mi najua kupenda tu kuacha sio shida zangu
Hahahaha, dah namna hii nisife Kwa pressure?Kuna mmoja alikuwa ananilazimisha nimlalie kifuani sijui mkononi khaaaaaa shingo yote inauma yaani ni kerooo..
Naomba Mungu aje haraka,🤣🤣Ooh. Hamna shida rafiki ipo siku utampata.
Utapiga chini kila mwanamkeWakuu
Katika maisha ya mahusiano tunapitia mengi,unaweza ukapendwa sana mpaka ukawa unahisi ni kero sasa
Mtu kila saa anakutafuta,anakutumia text,anakupigia,ukimjibu au ukichelewa kumjibu anakulaumu na "mbona kimya" zinakuwa nyingi
Hali hii mimi binafsi huwa siipendi na ikitokea mwanamke wa namna hii basi nampiga chini haraka sana,siwezi kuwa saa niko na simu tu nachati au naongea na wewe kama nimekosa kazi ya kufanya.
Nimeachana na first11 ya wanawake dizaini hii.
Usawahi kudate na mdada au mwanaume wa namna hii? Hali ilikuwaje,ulikabiliana nae vipi na mahusiano yako bado yapo?
Cc Binti Sayuni03
Katiba mpya kwenye uzi wa mapenzi vinahusianaje?Tutapata katiba mpya sisi kweli?