Umeconclude vizuri sana daddy. Partners should not only love each other, but also they should "like each other". Marry your best friend. In reality, tunawatreat rafiki zetu vizuri zaidi kuliko partners wetu.
Mkitreatiana kama bff kuchokana sidhani kama kutakuwepo sana. Mtaheshimiana, mtapendana, hata mwenzio anapokosea utamcriticize with caution, utamjali, mtafanya utaahira wenu wote na mtacheka etc. Sijawahi kumchoka bff wangu, despite miaka mingi ya urafiki wetu. Partners ikiwa marafiki inasaidia sana kunogesha mahaba. Afu mke na mume kupendana tu haitoshi coz love ni changeable feeling, leo nakupenda sana , kesho nakupenda kidogo, kesho kutwa sijielewi, but urafiki upo tu siku zote. Ifike stage usiwaze kama nyumbani Nimemuacha mke/mume, ila waza Nimemuacha best friend angu. Ukipata ka habari, mume/mke ndo wa kwanza kujua. Have crazy moments together... tanianeni, pigeni kaumbea, bishaneni kuhusu mpira sijui, chezeni mziki etc. Kupigiana simu isiwe kwa sababu kuna matatizo nyumbani, pigianeni tu hata kutaniana "usirudi home leo, sijakumiss hata", unampa kaumbea yani mambo fresh hivi. Msiwe serious as if mnaishi mtu na mkwe wake akhaa
N:B hapo kwenye hobby/interest daddy nina allergy na mpira, maana nauonaga kama uke wenza hivi. Ila siku hizi najitahidi tu nipende, Maana nikiuchukia itakula tu kwangu teh,
Yeah hiyo inaweza kuchangia..Ila saanyingine kuchokana wala hakuhusiani ni muonekano wa mtu..Wengine wana wake wazuri ila still wamewachoka...Hilo la kutokuwa na common interest linachangia nalo kwa kiasi kikubwa..Ndo mana utakuta watu wapo ndani ya ndoa lakini hawana story au story ni zile zile deile
Imagine labda we ni mtu ambaye unapenda kudiscuss trending issues lakini wife wako hata hajui kinachoendelea uraiani..Utajikuta unatafuta watu nje wa kujadili nao...Au unakuwa na mke antisocial wakati we unapenda kujamiana ..We unapenda burudani lakini wife hamjui hata Diamond ni nani..
Wife akiwa rafiki yako kumchoka ni kazi..Na hawezi kuwa rafiki kama hamuendani