kui
JF-Expert Member
- Mar 2, 2009
- 6,467
- 6,500
Thanks doll.. I kinda miss you and your x-pozha lol
Heheh!, wewe buana. Mish you too girl!
Nachukua ma point hapa on how not to bore a hubby...lol!
Thanks doll.. I kinda miss you and your x-pozha lol
Teh teh..Kama namuona vile Mzee Sent anavyokuwa mpole..Mrs uwa anamuweza kweli..Hizo ni baadhi ya moment mtu akiwa hayupo unazimissHahahah bora chumba cha mtihani, wengine tutapiga tu chabo. Imagine unaishi na mume as if ni baba mkwe wako, khaa mbona balaa
Hahaa huo mpira sasa nachekaga kichizi. Mzee wangu ana fujo kama mimi, siku sasa team yake ikifungwa, sio kwa huo utani wa mama. Akirudi siku hiyo anakuwa mpoleee jamani, utahisi hayupo home hahhaah
Obviously yeye ndo ana.spiritual wifekuna mawili hapo.wewe una spiritual wife au Yeye ana spiritual husband
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] uuuwiHata nyumba tu inachosha sembuse mke?
Mimi kuna siku nyingine huwa natamani nikalale nyumba ya jirani maana kwetu kunaboa hii nyumba nimeichoka kabisa
Mruhusu aende likizo kwao akakae kwa muda then utaona ugumu wa kuishi peke ako utamiss uwepo wake na akirudi i'm sure utamfurahiaHabari zenu,
Nakaribia miaka 35.Nipo ndani ya ndoa kwa muda wa miaka nane(8) sasa.Nina watoto wawili.
Tatizo langu ni kuwa maisha ya ndoa yamekuwa very boring.
Hisia zangu kwa huyu mwanamke kama hazijafa basi ni kidogo sana.Yaani narudi home kwasababu ya mazoea and nothing else.She is a good wife and a good mother.
But feelings arent there anymore.Is this normal?Sina mchepuko na vile vile siwezi muacha labda anipe sababu ya kufanya hivyo naweza sema kwa hali niliyonayo naomba hata aniache yeye.
Pumba na Point zinaruhusiwa.
Karibuni.
Erica tutafutane PM aisee we mtotowa kinyaki am sure...tafadhaliNini maana ya out? Tatizo hata kutoka na family yetu kuenjoy au kujifunza hatutaki.ukitoka kwa job hm unategemea nn!
Aseh..upo nae cause/out of pity!! Unahitaji likizo ya siku tatu huko Bangkok.The Boss kwakwel kwa sasa sitajali sana kama nitagundua hayo,zaidi nitatumia nafasi hiyo ku move out..I cant just leave her man.Ukiacha tofauti za kawaida she is a good wife.Nkimwacha tu nitafeel guilty sana.
Ndugu yangu ndoa ina vitu vingi hebu jaribu kusoma kitabu kinaitwa majibu ya ndoa yako.inauzwa nje hapo roundabout ya msimbaziHabari zenu,
Nakaribia miaka 35.Nipo ndani ya ndoa kwa muda wa miaka nane(8) sasa.Nina watoto wawili.
Tatizo langu ni kuwa maisha ya ndoa yamekuwa very boring.
Hisia zangu kwa huyu mwanamke kama hazijafa basi ni kidogo sana.Yaani narudi home kwasababu ya mazoea and nothing else.She is a good wife and a good mother.
But feelings arent there anymore.Is this normal?Sina mchepuko na vile vile siwezi muacha labda anipe sababu ya kufanya hivyo naweza sema kwa hali niliyonayo naomba hata aniache yeye.
Pumba na Point zinaruhusiwa.
Karibuni.
Habari zenu,
Nakaribia miaka 35.Nipo ndani ya ndoa kwa muda wa miaka nane(8) sasa.Nina watoto wawili.
Tatizo langu ni kuwa maisha ya ndoa yamekuwa very boring.
Hisia zangu kwa huyu mwanamke kama hazijafa basi ni kidogo sana.Yaani narudi home kwasababu ya mazoea and nothing else.She is a good wife and a good mother.
But feelings arent there anymore.Is this normal?Sina mchepuko na vile vile siwezi muacha labda anipe sababu ya kufanya hivyo naweza sema kwa hali niliyonayo naomba hata aniache yeye.
Pumba na Point zinaruhusiwa.
Karibuni.
Mgogo we ni kandarasi wa wake za watu?Pole mkuu,wewe umemchoka sawa vipi umeshawahi kujua kama unamtendea haki na yeye?jitahidi kumuelewa na ongea nae kuhusu mahitaji yako pia mfanye awe mpenzi wako,awe rafiki yako km unapenda mwanamke awe tofauti na anavyofanya kaa nae chin mwambie,UNAWEZA KUMTENGENEZA MKE AKAWA MTU UNAYEMTAKA(ukishindwa nipe namba zake nkutengenezee,niondoe milima na kona kali then utamchukua nikimaliza kandarasi?)
Mkuu hongera sana,em tupe tipsMkuu mimi nina miaka 27 na mke wangu na wala sijamchoka. Wewe ndiyo una matatizo. Mapenzi yanapaliliwa hili yaweze kuendelea.
Hahahha Chris Rock; married and bored single and lonelyHii story yako inafanana na ya Chris Rock...
mwisho alimuacha mkewe ingawa anakiri mkewe hana tatizo
just boredom tu kwenye ndoa.....
Wanaume huwa tunapenda challenges sana....zinatu excite
ndo maana tunakesha kutazama mpira
wanawake ni tofauti akishapata anachopata anatulia tu....
sasa unaweza kuta mkeo kwa kuwa anakupenda anakuwa mtiifu kupita kiasi
kila unachomwambia ni yes tu.....
kumbe anaku bore to death....