Ushawahi choka mkeo?

Ushawahi choka mkeo?

Hahahah bora chumba cha mtihani, wengine tutapiga tu chabo. Imagine unaishi na mume as if ni baba mkwe wako, khaa mbona balaa

Hahaa huo mpira sasa nachekaga kichizi. Mzee wangu ana fujo kama mimi, siku sasa team yake ikifungwa, sio kwa huo utani wa mama. Akirudi siku hiyo anakuwa mpoleee jamani, utahisi hayupo home hahhaah
Teh teh..Kama namuona vile Mzee Sent anavyokuwa mpole..Mrs uwa anamuweza kweli..Hizo ni baadhi ya moment mtu akiwa hayupo unazimiss
 
Hata nyumba tu inachosha sembuse mke?

Mimi kuna siku nyingine huwa natamani nikalale nyumba ya jirani maana kwetu kunaboa hii nyumba nimeichoka kabisa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] uuuwi
 
Habari zenu,

Nakaribia miaka 35.Nipo ndani ya ndoa kwa muda wa miaka nane(8) sasa.Nina watoto wawili.
Tatizo langu ni kuwa maisha ya ndoa yamekuwa very boring.

Hisia zangu kwa huyu mwanamke kama hazijafa basi ni kidogo sana.Yaani narudi home kwasababu ya mazoea and nothing else.She is a good wife and a good mother.

But feelings arent there anymore.Is this normal?Sina mchepuko na vile vile siwezi muacha labda anipe sababu ya kufanya hivyo naweza sema kwa hali niliyonayo naomba hata aniache yeye.

Pumba na Point zinaruhusiwa.

Karibuni.
Mruhusu aende likizo kwao akakae kwa muda then utaona ugumu wa kuishi peke ako utamiss uwepo wake na akirudi i'm sure utamfurahia
 
The Boss kwakwel kwa sasa sitajali sana kama nitagundua hayo,zaidi nitatumia nafasi hiyo ku move out..I cant just leave her man.Ukiacha tofauti za kawaida she is a good wife.Nkimwacha tu nitafeel guilty sana.
Aseh..upo nae cause/out of pity!! Unahitaji likizo ya siku tatu huko Bangkok.
 
Hii story yako inafanana na ya Chris Rock...
mwisho alimuacha mkewe ingawa anakiri mkewe hana tatizo
just boredom tu kwenye ndoa.....

Wanaume huwa tunapenda challenges sana....zinatu excite
ndo maana tunakesha kutazama mpira

wanawake ni tofauti akishapata anachopata anatulia tu....
sasa unaweza kuta mkeo kwa kuwa anakupenda anakuwa mtiifu kupita kiasi
kila unachomwambia ni yes tu.....

kumbe anaku bore to death....
 
We bado hata kumaliza probation ya ndoa ambayo kiuzoefu ni miaka 10.
Gangamala utampenda tuuu. Kuwa mbunifu.
 
Habari zenu,

Nakaribia miaka 35.Nipo ndani ya ndoa kwa muda wa miaka nane(8) sasa.Nina watoto wawili.
Tatizo langu ni kuwa maisha ya ndoa yamekuwa very boring.

Hisia zangu kwa huyu mwanamke kama hazijafa basi ni kidogo sana.Yaani narudi home kwasababu ya mazoea and nothing else.She is a good wife and a good mother.

But feelings arent there anymore.Is this normal?Sina mchepuko na vile vile siwezi muacha labda anipe sababu ya kufanya hivyo naweza sema kwa hali niliyonayo naomba hata aniache yeye.

Pumba na Point zinaruhusiwa.

Karibuni.
Ndugu yangu ndoa ina vitu vingi hebu jaribu kusoma kitabu kinaitwa majibu ya ndoa yako.inauzwa nje hapo roundabout ya msimbazi
 
Habari zenu,

Nakaribia miaka 35.Nipo ndani ya ndoa kwa muda wa miaka nane(8) sasa.Nina watoto wawili.
Tatizo langu ni kuwa maisha ya ndoa yamekuwa very boring.

Hisia zangu kwa huyu mwanamke kama hazijafa basi ni kidogo sana.Yaani narudi home kwasababu ya mazoea and nothing else.She is a good wife and a good mother.

But feelings arent there anymore.Is this normal?Sina mchepuko na vile vile siwezi muacha labda anipe sababu ya kufanya hivyo naweza sema kwa hali niliyonayo naomba hata aniache yeye.

Pumba na Point zinaruhusiwa.

Karibuni.

Pole mkuu,wewe umemchoka sawa vipi umeshawahi kujua kama unamtendea haki na yeye?jitahidi kumuelewa na ongea nae kuhusu mahitaji yako pia mfanye awe mpenzi wako,awe rafiki yako km unapenda mwanamke awe tofauti na anavyofanya kaa nae chin mwambie,UNAWEZA KUMTENGENEZA MKE AKAWA MTU UNAYEMTAKA(ukishindwa nipe namba zake nkutengenezee,niondoe milima na kona kali then utamchukua nikimaliza kandarasi?)
Mgogo we ni kandarasi wa wake za watu?
 
I believe ts just a phase,usivuruge hio amani mlionayo ndani kisa hisia za boredom tu..Love is a choice not js feelings,
 
Nashauri pia zidisha maombi sana,Mungu arudishe mapenzi na amani kwenye ndoa yenu,hamna kipindi wanawake wanaroga wanaume kama hiki,Mungu ndie mlinzi na kimbilio letu hata kama ikichukua muda Mungu atashinda tu
 
Hii story yako inafanana na ya Chris Rock...
mwisho alimuacha mkewe ingawa anakiri mkewe hana tatizo
just boredom tu kwenye ndoa.....

Wanaume huwa tunapenda challenges sana....zinatu excite
ndo maana tunakesha kutazama mpira

wanawake ni tofauti akishapata anachopata anatulia tu....
sasa unaweza kuta mkeo kwa kuwa anakupenda anakuwa mtiifu kupita kiasi
kila unachomwambia ni yes tu.....

kumbe anaku bore to death....
Hahahha Chris Rock; married and bored single and lonely
 
Back
Top Bottom