Ushawahi choka mkeo?

Ushawahi choka mkeo?

...boring is a too general term...labda ufafanue anavyo ku bore...labda na yeye huko aliko analalamika kwa wenzake kuwa wewe una m bore....fafanua ana ku bore kivipi..ili usaidiwe specifically... Isije ikawa wewe ndie tatizo...ambalo hulioni....wanawake nao hubadilika kutokana na wanawaume wao....mfano.. We zamani ulikuwa unamchapa miti vema kabla hajakuzalia watoto...lakini leo ukimpiga bao moja unampa mgongo... Lazima nae abadilike...ama umeacha zile compliments ulizokuwa unampa zamani....etc etc...jiulize we kwanza ulivyobadilika....then mkeo ni matokeo tu....especially kama umekiri kuwa ni nzuri(bila kueleza anaku bore vipi)...be specific bana...ili usaidiwe..
 
kwanini uliowa basi haujajitambua ..kwanini uwe na mke au maana ya mke fanya upuuzi wako huko ukirudi kua na heshima au mpole tu je akikuchoka yeye akuwekee Chumvi kwenye Chai utajisikuaje?????
 
kwanini uliowa basi haujajitambua ..kwanini uwe na mke au maana ya mke fanya upuuzi wako huko ukirudi kua na heshima au mpole tu je akikuchoka yeye akuwekee Chumvi kwenye Chai utajisikuaje?????
 
Hiyo ni tatizo la kuishi maisha ya ndoa kabla hamjaingia kwenye ndoa.
 
we unahitaji kusafiri uwe peke yako na upate kazi moja ya nje ikupe full adventure ukirudi home mpyaaa kabisa. you are just bored. kwa miaka 8 umegonga papuchi moja tuu, its time for little adventure son
 
Hiyo inatokea sana tu kwenye ndoa..Na moja ya sababu ya kuchokana ni kuwa na interest/hobbies tofauti...Mnajikuta hakuna intersection miongoni mwenu...Ukiwa na mwanamke ambaye mna vitu vingi vinaendana ni ngumu kumchoka
KATIKA MICHANGO YOOTE HILI NDIO JIBU, HAYO MENGINE WALIYOCHANGIA NI NYONGEZA TU.

Kwa ambao hamjaoa zingatieni sana sana sana hili.. Wengi tulibugi hapa...
 
Habari zenu,

Nakaribia miaka 35.Nipo ndani ya ndoa kwa muda wa miaka nane(8) sasa.Nina watoto wawili.
Tatizo langu ni kuwa maisha ya ndoa yamekuwa very boring.

Hisia zangu kwa huyu mwanamke kama hazijafa basi ni kidogo sana.Yaani narudi home kwasababu ya mazoea and nothing else.She is a good wife and a good mother.

But feelings arent there anymore.Is this normal?Sina mchepuko na vile vile siwezi muacha labda anipe sababu ya kufanya hivyo naweza sema kwa hali niliyonayo naomba hata aniache yeye.

Pumba na Point zinaruhusiwa.

Karibuni.
Mchepuko ndio dili ila usimtupe mkeo.
 
  • Thanks
Reactions: irk
Hayo mambo yapo, me nina miaka minane kwente ndoa na ninakaribia 32 yrs, nafikiri kuwahi kuoa sana pia inachangia.
La msingi vumilia maana huwa ni kipindi cha mpito.
 
Hii story yako inafanana na ya Chris Rock...
mwisho alimuacha mkewe ingawa anakiri mkewe hana tatizo
just boredom tu kwenye ndoa.....

Wanaume huwa tunapenda challenges sana....zinatu excite
ndo maana tunakesha kutazama mpira

wanawake ni tofauti akishapata anachopata anatulia tu....
sasa unaweza kuta mkeo kwa kuwa anakupenda anakuwa mtiifu kupita kiasi
kila unachomwambia ni yes tu.....

kumbe anaku bore to death....
The Boss, umemaliza yaani hili ndio tatizo kubwa kwa wanawake wanalolifanyaga, yaani mwanaume unaboreka mbaya - wakati yeye ndo anaona amekuheshimu to the maximum.

Conclusion:
I ALWAYS ADMIRE THE BOOK OF John Gray Ph. D
Titled.. MEN ARE FROM MARS, WOMEN ARE FROM VERNUS
 
Hiyo ni tatizo la kuishi maisha ya ndoa kabla hamjaingia kwenye ndoa.
Sio, kweli
Wafwate waliofunga ndoa fresh uone kama hawana hzi shida. Complexion za ndoa doesn't regard the situation they are just natural..
 
Kuboreka kupo sana kusema ukweli labda kwa aliyebahatika kuoa malaika..kuna mambo mengine haya kwenda kama mlivyotarajia .Wakati mwingine zile tabia zake ndiyo shida...na kubadilika ndiyo hataki..mf.kuna wanandoa aweza maliza miezi 6 na zaidi hajapata tendo la ndoa kabisa..wategemea nini hapo na umejitahidi kila namna mambo hayawi sawa!utashindwa Kuboreka?na ikumbukwe siyo kila mtu aweza chepuka ila kukidhi hili hitaji muhimu..omba tu usithubutu kukutwa na masahibu haya...
 
Back
Top Bottom