Ushawahi choka mkeo?

Ushawahi choka mkeo?

The Boss kwakwel kwa sasa sitajali sana kama nitagundua hayo,zaidi nitatumia nafasi hiyo ku move out..I cant just leave her man.Ukiacha tofauti za kawaida she is a good wife.Nkimwacha tu nitafeel guilty sana.
 
Ivi kumbe inafikia kipind unachoka papunch ya mke? Duuuuuuuu Mungu nisaidie isinikute hii kitu naogopa kuoa sasa
 
The Boss kwakwel kwa sasa sitajali sana kama nitagundua hayo,zaidi nitatumia nafasi hiyo ku move out..I cant just leave her man.Ukiacha tofauti za kawaida she is a good wife.Nkimwacha tu nitafeel guilty sana.

Kuna watu wanaacha mke halafu inapita miaka hata 10
wanagundua walikosea wanarudi unaweza kukuta keshaolewa tena

mke kama ni mzuri usimuache
tafuta kichenchede kikiku keep busy...ila utarudi tu mwisho wake
jizuie kuzaa nje usimuumize....mpe kila kitu


au kubalini kila mtu aanze ku date nje kimyakimya...
 
Start dating all over again, kama mlivyoanzana na huku mkipeana nafasi ya kila mtu kuwa pekee, away from each other and kids for sometime. Naita, 'Me time'
Kama ni a weekend away, au safari ya kikazi but enjoy the 'alone time' to the max.
Na yeye afanye the same. Mkikutana tena lazima iwe moto.
 
Ndoa ndoana naona unakaribisha tatizo huyo ndo chaguo lako mfe mzikane. Pia ulikimbilia ndoa mapema. Vumilia tu na uombe Mungu akurudishie upendo. Satan sikuhizi anaipelekesha sana hii taasisi kwa mawazo hasi tu uliyo nayo umeshakaribisha tatizo
 
  • Thanks
Reactions: kui
Kuna watu wanaacha mke halafu inapita miaka hata 10
wanagundua walikosea wanarudi unaweza kukuta keshaolewa tena

mke kama ni mzuri usimuache
tafuta kichenchede kikiku keep busy...ila utarudi tu mwisho wake
jizuie kuzaa nje usimuumize....mpe kila kitu

au kubalini kila mtu aanze ku date nje kimyakimya...



...you advocating for an open relationship?!, kama the Smiths?
 
Mungu wanguuuu.

Me nnavomtamani mke wangu mpaka natoraka kazini kumbe kuna watu wanawachoka wake zao?
Kuna sometimes nakufuru kwa uwepo wa siku za kwenda angani (unajimu/hedhi)


Ushauri. Jaribu kumremba mkeo mpe manukato na mfundishe maujanja
 
Not bad kama kweli wamechokana


How about just working it out?!, then ikishindikana kabisa kila mtu asepe,...kivyake, ....na kihalali, ijulikane moja.

Mambo ya mke ku share kitanda na mwanaume mwengine, na mume ku share kitanda na mwanamke mwingine halafu mnakutana mbele ya watoto mnajikausha!,...shuuli!
 
How about just working it out?!, then ikishindikana kabisa kila mtu asepe,...kivyake, ....na kihalali, ijulikane moja.

Mambo ya mke ku share kitanda na mwanaume mwengine, na mume ku share kitanda na mwanamke mwingine halafu mnakutana mbele ya watoto mnajikausha!,...shuuli!

A lot depends na wife atakavyo feel...
ikiwa mutual basi anything is good..

ila mke akiwa bitter je?
utamueleza nini?
 
A lot depends na wife atakavyo feel...
ikiwa mutual basi anything is good..

ila mke akiwa bitter je?
utamueleza nini?


True, ikiwa mutual haina shida.
Kuna wengine prefer it that way, kuliko kuachana kabisa.

But to some of us, it's a bitter pill to swallow.
 
The Boss kwakwel kwa sasa sitajali sana kama nitagundua hayo,zaidi nitatumia nafasi hiyo ku move out..I cant just leave her man.Ukiacha tofauti za kawaida she is a good wife.Nkimwacha tu nitafeel guilty sana.

Shida kubwa na binadamu ni ile umimi, kila mtu anavutia upande wake. unataka utoke ukiwa guilty free, blame it on her kwani yeye hana conscience????

Hauna hata guts za kumwambia how you feel unataka yeye ateleze uidake hiyo opportunity na kusepa. Just be fair on her mwambie tu, anaweza kuku surprise na reaction yake. Labda hata yeye amechoka au unafikiri hajagundua upo hapo kwa kujilazimisha.
 
Hapo lazima upate mda wa kukaa nae na kushare mapenz yenu
Huku watoto wanacheza cheza
 
Send her home for somedays or months.whn she get back she is new
 
If you love your wife, you'll do anything you can to keep her. Kuchoka au kuwa bored ni kawaida but mnafanya nini kuspice up hayo maisha yenu? Mnaendanga safari pamoja? mnaenda hata dinner peke yenu bila watoto? yawezekana mmefanya maisha kuwa too routine kila mnachoongea ni habari za kawaida za kila siku (tule nini, gari limeharibika, fulani katutembelea ) and discuss nothing about your lives as couples --mnajisikiaje, mipango yenu, maisha yenu ya mapenzi, nk.

Ndoa na mapenzi ni kama mmea/ua tu jinsi unavyotunza ndio linavyositawi : kama hakuna juhudi zozote humo lazima mtachokana. Nakushauri msiachane bali mtafute njia za kujenga ndoa yenu iwe mpya.
 
Back
Top Bottom