Ushauri wakati unanunua flat screen Tv's

Ushauri wakati unanunua flat screen Tv's

Kwa tv hizo brand sijui codtec,singsung achana nazo kabisa ,nilinunua kodtec imekaa mwaka vizur baada ya hapo ikaanza kuzima nikaita fundi akanifungia kichuma kinasaidia kupoza nikauza nikanunua LG ,sasa hivi niliemuuzia amekaa nayo six months imeanza tena kuzima hapo ni fundi anahitajika ,bora utoe pesa nzuri ila ununue tv ya kueleweka
 
Kuna jamaa wapo Sinza wanajiitwa Amazing Life Style wanauza TV za aina mbalimbali na brand tofauti tofauti kwa bei nafuu sana, nimenunua TV mbili toka kwao na hazina shida yoyote mpaka sasa, pia ni waaminifu..ukiwa Dar unatoa oda wanakuletea mpaka ulipo ndio unawapa pesa, na hata mikoani wanasafirisha.. Wacheki instagram AMAZINGLIFESTYLETZ uone bidhaa zao na ujiridhishe
 
Kuna jamaa wapo Sinza wanajiitwa Amazing Life Style wanauza TV za aina mbalimbali na brand tofauti tofauti kwa bei nafuu sana, nimenunua TV mbili toka kwao na hazina shida yoyote mpaka sasa, pia ni waaminifu..ukiwa Dar unatoa oda wanakuletea mpaka ulipo ndio unawapa pesa, na hata mikoani wanasafirisha.. Wacheki instagram AMAZINGLIFESTYLETZ uone bidhaa zao na ujiridhishe
Hawa jamaa wapo vizur..wana home theatre pia zakibabe
 
smart tv haihusuani n.
Mkuu kuna kitu jamaa yangu fulani anatak nimshauri kuhusu TV LED za LG ni model ipi nzuri kwa sasa pia n bei ziko na rate ngapi,pia ni mhz ngapi inafaa kwa kuchezea game,na akitaka aifanye kuwa SMART ni kitu kifaa gani atafute.ahsanteh
 
Mkuu kuna kitu jamaa yangu fulani anatak nimshauri kuhusu TV LED za LG ni model ipi nzuri kwa sasa pia n bei ziko na rate ngapi,pia ni mhz ngapi inafaa kwa kuchezea game,na akitaka aifanye kuwa SMART ni kitu kifaa gani atafute.ahsanteh
tv ziko nyingi sana ataje yeye budget yake. kwa games angalau 60hz ila ikizidi 100 ni vyema zaidi. kama Hana pc kali au ana console ambazo nyingi wamezi cap kwa 30fps tv yoyote inafaa.

akitaka aifanye kuwa smarr tv box yoyote ya android au windows inafaa.
 
tv ziko nyingi sana ataje yeye budget yake. kwa games angalau 60hz ila ikizidi 100 ni vyema zaidi. kama Hana pc kali au ana console ambazo nyingi wamezi cap kwa 30fps tv yoyote inafaa.

akitaka aifanye kuwa smarr tv box yoyote ya android au windows inafaa.
Yeye anahitaji TV mpya ila iwe brand ya LG LED sio smart inch 32 bei ambyo itakayokuwa reasonable ndo option kwake
 
ultra HD ni resolution tu so tv inaweza kuwa UHD na vile vile ikawa LED


Msaada Wa Hii Samsung TV Ubora Wake Na Ikiwa Ni Original
Model : LE22S81B
Model Code : LE22S81BX/XEC
Type No : JA22EO

Wataalam Ushauri Wenu
 
Mi natumia hisense - led ni sana, ina miaka miwili haijawahi nisumbua na si ghari sana unaweza kuimudu
Tv hutengenezwa kulast longer or life time!miaka miwili ninya warant tu lakini tv onatarajiwa kuanza kuleta ungese baada ya miaka 15 au 20 tena hapo watoto wamevunja remote au buton wamezivunja nk mpaka sasa watu wana tv functional za mwaka 1970 black and white kibongo bongo zile philip hotel ni za miaka ya 85 mpaka 1990 na zipo mitaani !
 
Mwenye tv flat 32” used. Budget yangu 350-400k kulingana na brand na condition. Kma unayo njoo PM.
Location; Uwe arusha.
 
Mkuu niliinunua hiyo TV 2012 JULY pale mlimani city juzi imebuma...

ilianza kujigawa Kati yaani chini inaonesha rangi ya kijani juu blue Mara mda mwingine rangi yote inavurugika kabisa in short ni kero tu nimejaribu mafundi wee wapi nimeamua iweka kando tu...
Sasa life span ya miaka 6 kwa tv unaona ni ndogo hio ulitaka mpaka iote ndevu au?
 
Back
Top Bottom