zamani watu walikuwa wanaiba sana miziki na movie hata huko marekani ili kukomesha hii piracy kwa njia ambayo ni win-win ndio wakaanzisha vitu kama hivi netflix, hulu, google music, apple music nk
ukiwa na netflix unapata unlimited streaming ya movies na series kwa kiasi kidogo cha dola 8, na ukiongeza hadi dola 12 unaweza kustream hadi vifaa 4 kwa mpigo.
hio ya dola 12 ukinunua inamaana familia 4 zinaweza tumia plan 1, mfano familia yako, wazazi wako, ukweni nk
ila pia kama unajua kubana matumizi mnaweza changa hela watu wanne mkashare plan moja hivyo unakuwa unalipa dola 3 kwa mwezi.
netflix unaangalia popote iwe ni kwenye tv, dektop, laptop, tablet na hadi simu.
hizo bei ni za marekani, sijaipitia ya hapa kwetu bado. baadae nitaiangalia nione bei zake na ulaji wa data upoje then nita wa update