Ushauri wakati unanunua flat screen Tv's

Ushauri wakati unanunua flat screen Tv's

Nitakutafuta mkuu unipe msaada wako..
Msaada mkuu hivi hizi flat za Samsung LED 4100 za Vietnam zina king'amuzi cha ndani maana kuna MTU nataka nimvue pia niliwahi on a kwa bnl electronic anaziuza ktk features zake king'amuzi inacho sema brand zake ni kutokea pakistan msaada tafadhali
 
smart tv inamaana tv yako inakuwa na operating system na kuweza kufanya task kama kuangalia video online, kuplay movies na interface nzuri nk.
"ku play movies" hata TV set zenye migongo zina play movies, you don't need an operating system for that, so that's a little fuzzy what ur talking about here

Kuhusu kuangalia video online nadhani Tanzania bado hatujafika huko, internet service providers wetu bado hawaja liberalize access za internet kiasi cha kuweza ku stream ma giga byte ya video online, the costs for that is just too prohibitive, I mean internet yetu bado tunapata kutoka kwenye vi kampuni vya simu...
 
"ku play movies" hata TV set zenye migongo zina play movies, you don't need an operating system for that, so that's a little fuzzy what ur talking about here

Kuhusu kuangalia video online nadhani Tanzania bado hatujafika huko, internet service providers wetu bado hawaja liberalize access za internet kiasi cha kuweza ku stream ma giga byte ya video online, the costs for that is just too prohibitive, I mean internet yetu bado tunapata kutoka kwenye vi kampuni vya simu...

mbona hujamalizia sentesi mpaka mwisho? nafahamu kama unaweza kuangalia movie kwa tv ila bila interface yoyote ya maana. ni vitu vingapi unaweza fanya kwenye vlc kwenye tv huwezi?
-je kama movie ina subtitle 6 unachaguaje?
-na zile movie zenye audio mbili je?
-jina subtitle halifanani na la movie
-format ya movie tv haiwezi kucheza
-subtitle zinachelewa unataka ku adjust
-nk nk nk

kuna vitu kibao tv ya kawaida haiwezi kufanya lakini smart tv/tv iliofanywa kuwa smart inafanya

ngoja nikuoneshe killer feature ya web os ya tv za lg ambazo ni smart
ukiwa na webos 3 kuendelea kuna feature inaitwa multi view ambapo tv yako inajisplit katikati na kuonesha chanell au vitu viwili tofauti kwa pamoja. chukulia mfano kuna mechi azam tv ya ligi kuu bara na kuna mechi dstv ligi ya uingereza zote mbili unataka kuangalia ukiwa na tv kama hii utaziona zote kwa pamoja.

kuhusu kuangalia video online
umesahau kama youtube pia ni kuangalia video online? watanzania wangapi wanaangalia youtube? zipo chanell za youtube za kitanzania zina views hadi 23,000,000, ukija kwenye mpira watu kibao wanaangalia kwa kutumia internet siku hizi. hizo porn ndio usiseme.

hizi ni data za youtube zikionesha quality na mb zinazokwenda ukiangalia video kwa muda wa lisaa 1

240p- 150mb
360p- 250mb
480p- 400mb
720p- 800-900mb
1080p- 1.2-1.4gb

mfano nanunua kifurushi cha airtel cha 600 nikapata 1.2gb nitaangalia

-masaa 8 ya 240p video
-masaa around 5 ya 360p video
-masaa 3 ya 480p video
-lisaa 1 na nusu la hd video (around movie 1)
-lisaa 1 la full hd.

hivyo kwa shilingi 600 tu naweza angalia HD movie online, au nikijibana na 480p au 360p naangalia movie 2 hadi 3.

by the way Netflix wamekuja hadi Tanzania,
 
mbona hujamalizia sentesi mpaka mwisho? nafahamu kama unaweza kuangalia movie kwa tv ila bila interface yoyote ya maana. ni vitu vingapi unaweza fanya kwenye vlc kwenye tv huwezi?
-je kama movie ina subtitle 6 unachaguaje?
-na zile movie zenye audio mbili je?
-jina subtitle halifanani na la movie
-format ya movie tv haiwezi kucheza
-subtitle zinachelewa unataka ku adjust
-nk nk nk

kuna vitu kibao tv ya kawaida haiwezi kufanya lakini smart tv/tv iliofanywa kuwa smart inafanya

ngoja nikuoneshe killer feature ya web os ya tv za lg ambazo ni smart
ukiwa na webos 3 kuendelea kuna feature inaitwa multi view ambapo tv yako inajisplit katikati na kuonesha chanell au vitu viwili tofauti kwa pamoja. chukulia mfano kuna mechi azam tv ya ligi kuu bara na kuna mechi dstv ligi ya uingereza zote mbili unataka kuangalia ukiwa na tv kama hii utaziona zote kwa pamoja.

kuhusu kuangalia video online
umesahau kama youtube pia ni kuangalia video online? watanzania wangapi wanaangalia youtube? zipo chanell za youtube za kitanzania zina views hadi 23,000,000, ukija kwenye mpira watu kibao wanaangalia kwa kutumia internet siku hizi. hizo porn ndio usiseme.

hizi ni data za youtube zikionesha quality na mb zinazokwenda ukiangalia video kwa muda wa lisaa 1

240p- 150mb
360p- 250mb
480p- 400mb
720p- 800-900mb
1080p- 1.2-1.4gb

mfano nanunua kifurushi cha airtel cha 600 nikapata 1.2gb nitaangalia

-masaa 8 ya 240p video
-masaa around 5 ya 360p video
-masaa 3 ya 480p video
-lisaa 1 na nusu la hd video (around movie 1)
-lisaa 1 la full hd.

hivyo kwa shilingi 600 tu naweza angalia HD movie online, au nikijibana na 480p au 360p naangalia movie 2 hadi 3.

by the way Netflix wamekuja hadi Tanzania,
Mkuu. Hebu naomba hapo kwenye Netflix uwaelezee kidogo maana me bado sijaelewa watanisaidia vipi yaani. Plz kaka
 
Mkuu. Hebu naomba hapo kwenye Netflix uwaelezee kidogo maana me bado sijaelewa watanisaidia vipi yaani. Plz kaka
zamani watu walikuwa wanaiba sana miziki na movie hata huko marekani ili kukomesha hii piracy kwa njia ambayo ni win-win ndio wakaanzisha vitu kama hivi netflix, hulu, google music, apple music nk

ukiwa na netflix unapata unlimited streaming ya movies na series kwa kiasi kidogo cha dola 8, na ukiongeza hadi dola 12 unaweza kustream hadi vifaa 4 kwa mpigo.

hio ya dola 12 ukinunua inamaana familia 4 zinaweza tumia plan 1, mfano familia yako, wazazi wako, ukweni nk

ila pia kama unajua kubana matumizi mnaweza changa hela watu wanne mkashare plan moja hivyo unakuwa unalipa dola 3 kwa mwezi.

netflix unaangalia popote iwe ni kwenye tv, dektop, laptop, tablet na hadi simu.

hizo bei ni za marekani, sijaipitia ya hapa kwetu bado. baadae nitaiangalia nione bei zake na ulaji wa data upoje then nita wa update
 
kwa arusha nenda maduka ya benson...pale wanauza brand zenyewe kbs za samsung...mm nilinunua yangu pale...
 
kwa dsm km unataka samsung ambayo mm nakushaur..nenda kwa authorized dealers wa samsung...wapo sehemu kibao..k/koo,posta au km vp nenda supermarket za jeshin...
 
kagombe...aisee,unafananisha samsung na tecno phantom?inaonekana hujawah kutumia samsung
 
Msaada mkuu hivi hizi flat za Samsung LED 4100 za Vietnam zina king'amuzi cha ndani maana kuna MTU nataka nimvue pia niliwahi on a kwa bnl electronic anaziuza ktk features zake king'amuzi inacho sema brand zake ni kutokea pakistan msaada tafadhali
Wakuu msaada ktk hili
 
Hapo nimeelewa kitu mkuu hilo ni tatizo kwa baadhi ya TV za Samsung.

Ilinikera sana pale nilipojua haina audio output mana niliitafuta mpaka nikatamani kuirudisha nikaambiwa kuwa zingine hua hazina. Inabidi kuwa makini sana kuangalia swala hilo pale unapotaka kununua TV.
Audio output ebu nieleweshe hapo mkuu
 
Audio output ebu nieleweshe hapo mkuu
Waya kama huo ambao unatumikaga kwenye subwoofr hiv. Kuna Samsung nyingne hazina hyo port kwaio unatumia zile waya 3 ila unapochomeka flash uplay music inabidi utumie speaker za Tv maana hazina hyo output.. cjui kama umenielewa mkuu
 

Attachments

  • 1452451686004.jpg
    1452451686004.jpg
    14.4 KB · Views: 77
Nakushauri nunua singsung LED iko Poa kama vp nicheki kwa 0713449460 tufanye biashara
 
"ku play movies" hata TV set zenye migongo zina play movies, you don't need an operating system for that, so that's a little fuzzy what ur talking about here

Kuhusu kuangalia video online nadhani Tanzania bado hatujafika huko, internet service providers wetu bado hawaja liberalize access za internet kiasi cha kuweza ku stream ma giga byte ya video online, the costs for that is just too prohibitive, I mean internet yetu bado tunapata kutoka kwenye vi kampuni vya simu...

Mkuu kucheki videos online kwa tz inawezekana na data haina gharama kihivyo...nikiweka na GB 1 naweza game za epl 2-3 bila kustuck hata sekunde.
 
Back
Top Bottom