ymollel
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 3,095
- 2,291
Sikieni humu mtaumiza vichwa angalieni tv mnazotaka sawasawa mtu anakwwnda kununua smart phone.anakuambia samsung iko juu sana.ukimuuliza anakuambia muonekano wake na uwezo wake.hivi kuna samsung inayofikia tecno phantom.au black berry z30 nk.au lumia 1030 nk.tatizo samsung matangazo.tuu.hakuna tv tanzania hii na umeme wetu kama SONY BRAVIA.tatizo humu kila mtu anajua sony ziko juu ndio maana humu wote wanaishia kupromo samsung.maana ndio walio nazo tafuta sony bravia.kama mlala hoi atanunua 24 inch tsh 500000.na hakuna sony bravia copy.maana zina system zote za media.picha kali
Watu wengi wanasifia vile walivyo navyo. Mtu anasema LG ni nzuri kuliko samsung wakati hata hiyo samsung hajawahi kuitumia, au tu ameiona kwa jirani. Na hata hizo wanazosema ni nzuri bado mtu akenda dukani akiona aina nyingine anaanza kuisifia hapo hapo.
Uzuri wa TV 📺 ninini?
1. Picha angavu?
2. Functionalities
3. Interfaces?
4. Overcoming power problems?
5. Sound?
6. Size?
7. Power consumption?
Nasema Tv ikikosa hata moja ya sifa hizo haiyakuwa bora. TV hata iwe na picha angavu kiasi gani, lakini kama haina Audio out, USB port etc etc basi sio bora.