Ushauri wakati unanunua flat screen Tv's

Ushauri wakati unanunua flat screen Tv's

kuwa makini na maduka ya pale stand na yale maduka madogomadogo.. wanauza samsung na LG. ambazo ni clone.

Bora ununue TCL au Singsung kwa bei poa sio mbaya. mimi nimetumia singsung Led haijaniangusha kabisa.

kuna TV za samsung clone huwezi kutambua kama ni feki tatizo lake kubwa hazina audio output.
Hapo nimeelewa kitu mkuu hilo ni tatizo kwa baadhi ya TV za Samsung.

Ilinikera sana pale nilipojua haina audio output mana niliitafuta mpaka nikatamani kuirudisha nikaambiwa kuwa zingine hua hazina. Inabidi kuwa makini sana kuangalia swala hilo pale unapotaka kununua TV.
 
Poa poa, weekend in Nyalikungu - Maswa huwa inakua boring sana, kimbilio letu ni Mwanza, nitatafuta hilo shop.

Ukiweza nielekeze na mtaa kabisa.
 
Acheni kuzingua kuna swali la msingi limeulizwa clone unazijuaje? hamjibu ila unasema 90% ya Tv hapa bongo ni clone.
 
Acheni kuzingua kuna swali la msingi limeulizwa clone unazijuaje? hamjibu ila unasema 90% ya Tv hapa bongo ni clone.
umeonae nimeuliza utazitambuaje clone sjajibiwa?
 
Sony bravia 42" kiboko yao alafu pata na home theater yake ya 13000watt hutoki nyumban kudadadeki.
Hzo zingine ni mbwembwe tu za sokon
Samsung hamna kitu yeboyebo tu
 
Nimeamua kuachana na TV-chogo.... nataka kununua flat screen... wadau wenye kuzijua vizuri... je! aina gani ni nzuri? kwa hapa Arusha zinapatikana duka gani? bei yake tafadhali?

Kutokea taa za stand kubwa kuelekea kwenye mnara wa mwenge ile barabara ya kuingia nbc bank kona kushoto kuna duka linauza tv hizi nzuri na kwa bei nzuri. Nilinunua hapo lg inch 32 mwaka juzi ipo vzr sana hadi leo
 
Sony bravia 42" kiboko yao alafu pata na home theater yake ya 13000watt hutoki nyumban kudadadeki.
Hzo zingine ni mbwembwe tu za sokon
Samsung hamna kitu yeboyebo tu
sony bravia bei zake zpoje nchi 32 na 42
 
Mkuu niliinunua hiyo TV 2012 JULY pale mlimani city juzi imebuma...

ilianza kujigawa Kati yaani chini inaonesha rangi ya kijani juu blue Mara mda mwingine rangi yote inavurugika kabisa in short ni kero tu nimejaribu mafundi wee wapi nimeamua iweka kando tu...

Basi hili ni tatizo la TV's za Sony, nakumbuka nilipata nayo tabu enzi za Sony Wega!!

Kumbe hawajarekebisha tatizo hilo, lilinitesa sana? Baada ya hapo ndiyo nikapata mzuka wa kupenda vitu used, haya basi sihami kwenye JVC yangu mtumba!! Kitu kipo clear mi nawashangaa mnasema mara LED mara Plasma hata siwaelewi mi najua kitu flat nchi 34 hahahaaaa
 
Basi hili ni tatizo la TV's za Sony, nakumbuka nilipata nayo tabu enzi za Sony Wega!!

Kumbe hawajarekebisha tatizo hilo, lilinitesa sana? Baada ya hapo ndiyo nikapata mzuka wa kupenda vitu used, haya basi sihami kwenye JVC yangu mtumba!! Kitu kipo clear mi nawashangaa mnasema mara LED mara Plasma hata siwaelewi mi najua kitu flat nchi 34 hahahaaaa

Hiyo JVC ulipata wapi na kwa bei gani mkuu??
 
Haaaha hamna tv zaidi ya Samsung.., Samsung zina tegemea series zake kwa mfano Tv yangu ni series 6 nchi 42, toka niwe nayo sijawah kuona movie mbaya.
 
Hiyo JVC ulipata wapi na kwa bei gani mkuu??

Ni kastory karefu kidogo ila ni hivi nilikuwa na hela mfukoni kama 1.2 m!! Lengo nipate TV original nikawa nazunguka tuu hapo Dar mara Kariakoo, Samora, Mwenge hata sieleweki!!

Siku hiyo nilipita mitaa fulani ya Msimbazi, ukitoka hapo Uhuru keep left kama unaenda Msimbazi barabara ya pili (kama sijakosea) unakona kuelekea kushoto kuna maduka mengi tu ya Wapemba wanauza used electronics!!

Siku hiyo napita asubuhi sijui hata ninunue TV gani nikawakuta ndo wanashusha mzigo wao toka kwenye kilori! Nikaziona hizo TV za JVC zilikuwa tatu, kwa laki tano na ishirini!!

Nikazipenda nikajibebea, ilikuwa mwanzoni 2013!! Ipo clear sana na haijawahi kunisumbua kwa lolote
 
Ni kastory karefu kidogo ila ni hivi nilikuwa na hela mfukoni kama 1.2 m!! Lengo nipate TV original nikawa nazunguka tuu hapo Dar mara Kariakoo, Samora, Mwenge hata sieleweki!!

Siku hiyo nilipita mitaa fulani ya Msimbazi, ukitoka hapo Uhuru keep left kama unaenda Msimbazi barabara ya pili (kama sijakosea) unakona kuelekea kushoto kuna maduka mengi tu ya Wapemba wanauza used electronics!!

Siku hiyo napita asubuhi sijui hata ninunue TV gani nikawakuta ndo wanashusha mzigo wao toka kwenye kilori! Nikaziona hizo TV za JVC zilikuwa tatu, kwa laki tano na ishirini!!

Nikazipenda nikajibebea, ilikuwa mwanzoni 2013!! Ipo clear sana na haijawahi kunisumbua kwa lolote

Aisee vizuri...

Mi nina TCL now naona iko poa Sana pia.
 
Sony bravia 42" kiboko yao alafu pata na home theater yake ya 13000watt hutoki nyumban kudadadeki.
Hzo zingine ni mbwembwe tu za sokon
Samsung hamna kitu yeboyebo tu

Mkuu umevuta yale majani ya mti ulilaaniwa?
Hakuna Home theater ya 13,000 Watts. !!😀
Hata zile Speaker za Kupigia ndombolo ndani ya Stages hazijafika huko.
 
Mkuu umevuta yale majani ya mti ulilaaniwa?
Hakuna Home theater ya 13,000 Watts. !!😀
Hata zile Speaker za Kupigia ndombolo ndani ya Stages hazijafika huko.

Kaka ni 1300watt tafadhali kaka
Ni kuandika error
 
kuwa makini na maduka ya pale stand na yale maduka madogomadogo.. wanauza samsung na LG. ambazo ni clone.

Bora ununue TCL au Singsung kwa bei poa sio mbaya. mimi nimetumia singsung Led haijaniangusha kabisa.

kuna TV za samsung clone huwezi kutambua kama ni feki tatizo lake kubwa hazina audio output.

TCL na SINGSUNG?Hapana aisee.
 
LG,SAMSUNG na SONY hizo ndo TV brands zinazoeleweka na hata ukiziweka ndani unaeleweka kwamba unajua unachokifanya.SINGSUNG,TCL,ZEC,BRUHM tupa kule.
 
Kuepuka kuuziwa fake nenda kwa ma Agent wa Samsung wapo kariakoo mkabala na stand ya magari ya daladala yaendayo Gongo la mboto pia watembelee pia maagent wa Lg na Son wapo karibia kila mall za hapa bongo.Led na 3D zenye in built decoder na zenye kusaport Wireless keyboard ni nzuri zaidi
 
Kuepuka kuuziwa fake nenda kwa ma Agent wa Samsung wapo kariakoo mkabala na stand ya magari ya daladala yaendayo Gongo la mboto pia watembelee pia maagent wa Lg na Son wapo karibia kila mall za hapa bongo.Led na 3D zenye in built decoder na zenye kusaport Wireless keyboard ni nzuri zaidi

Nimenunua sumsung LED series 4 lakini nimetumia kama sku nne nashangaa audio imepotea Tv speker na za out pia nimejaribu kureset audio to factory default lakin sjapata suluhisho tatzo itakua nn mkuu??? Naomba msaada
 
Sikieni humu mtaumiza vichwa angalieni tv mnazotaka sawasawa mtu anakwwnda kununua smart phone.anakuambia samsung iko juu sana.ukimuuliza anakuambia muonekano wake na uwezo wake.hivi kuna samsung inayofikia tecno phantom.au black berry z30 nk.au lumia 1030 nk.tatizo samsung matangazo.tuu.hakuna tv tanzania hii na umeme wetu kama SONY BRAVIA.tatizo humu kila mtu anajua sony ziko juu ndio maana humu wote wanaishia kupromo samsung.maana ndio walio nazo tafuta sony bravia.kama mlala hoi atanunua 24 inch tsh 500000.na hakuna sony bravia copy.maana zina system zote za media.picha kali
 
Back
Top Bottom