Ushauri wakati unanunua flat screen Tv's

Ushauri wakati unanunua flat screen Tv's

Mkuu nimeangalia online zinaingiliana ila ki series na wanaandika tu selected smart tv hawa specify.

Alternative nenda playstore na smartphone yako search LG TV PLUS, hio ni app official toka lg ambayo inaweza ku act kama remote.

Kuhusu pa kununulia zipo pia aliexpress mpaka around 20,000
Online Shop for lg magic remote control Wholesale with Best Price

Si ni kama hizi mkuu nazungumzia maana kuna jamaa nilienda yeye anauza moja 150k hapa Tz
IMG_20180904_120629.jpg
 
Si ni kama hizi mkuu nazungumzia maana kuna jamaa nilienda yeye anauza moja 150k hapa Tz
View attachment 856560
Zipo design tofauti tofauti ikiwemo moja yenye muonekano kama huo.

Kupata uhakika zaidi kama yako imeharibika angalia nyuma ya remote ama kwenye sehemu ya battery ili ujue model ya hio remote.
 
Zipo design tofauti tofauti ikiwemo moja yenye muonekano kama huo.

Kupata uhakika zaidi kama yako imeharibika angalia nyuma ya remote ama kwenye sehemu ya battery ili ujue model ya hio remote.
Chief-Mkwawa naomba msaada hapa. Kwa bajeti ya 700k-800k TV gani unaweza kushauri mtu anunue! Yenye picha ang'avu, ikiwa smart pia yenye FHD, UHD itakuwa njema sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Najipanga na hisense tv mkuu .je utakidhi hayo mahitaji au hata tcl yenye nchi 32 inazo hizo featurez
Smart TV ndo kitu cha ukweli nilikwenda sehemu fulani hivi kunga dish nikaipata nilitamani niendelee kukaa pale niliiungia wireles internet kutoka kwenye kasmartphone kangu nikaanza kukimbizana nayo JF.

Kwanza mwenye nayo alikuwa hajui kama ina mambo makubwa kama hayo asikwambie mtu yaani umekaa kwenye sofa lako na rimot yake iko kama mouse ya wireles mambo ya youtube na mengineyo mengi ni wewe tu na bando la kutosha.
 
Mkuu hii feature ya kuspilit ni kwa tv zote smart najipanga nihamie hisense nchi 43 smart je nitakidhi mahitaji yangu ya kawaida mkuu
mbona hujamalizia sentesi mpaka mwisho? nafahamu kama unaweza kuangalia movie kwa tv ila bila interface yoyote ya maana. ni vitu vingapi unaweza fanya kwenye vlc kwenye tv huwezi?
-je kama movie ina subtitle 6 unachaguaje?
-na zile movie zenye audio mbili je?
-jina subtitle halifanani na la movie
-format ya movie tv haiwezi kucheza
-subtitle zinachelewa unataka ku adjust
-nk nk nk

kuna vitu kibao tv ya kawaida haiwezi kufanya lakini smart tv/tv iliofanywa kuwa smart inafanya

ngoja nikuoneshe killer feature ya web os ya tv za lg ambazo ni smart
ukiwa na webos 3 kuendelea kuna feature inaitwa multi view ambapo tv yako inajisplit katikati na kuonesha chanell au vitu viwili tofauti kwa pamoja. chukulia mfano kuna mechi azam tv ya ligi kuu bara na kuna mechi dstv ligi ya uingereza zote mbili unataka kuangalia ukiwa na tv kama hii utaziona zote kwa pamoja.

kuhusu kuangalia video online
umesahau kama youtube pia ni kuangalia video online? watanzania wangapi wanaangalia youtube? zipo chanell za youtube za kitanzania zina views hadi 23,000,000, ukija kwenye mpira watu kibao wanaangalia kwa kutumia internet siku hizi. hizo porn ndio usiseme.

hizi ni data za youtube zikionesha quality na mb zinazokwenda ukiangalia video kwa muda wa lisaa 1

240p- 150mb
360p- 250mb
480p- 400mb
720p- 800-900mb
1080p- 1.2-1.4gb

mfano nanunua kifurushi cha airtel cha 600 nikapata 1.2gb nitaangalia

-masaa 8 ya 240p video
-masaa around 5 ya 360p video
-masaa 3 ya 480p video
-lisaa 1 na nusu la hd video (around movie 1)
-lisaa 1 la full hd.

hivyo kwa shilingi 600 tu naweza angalia HD movie online, au nikijibana na 480p au 360p naangalia movie 2 hadi 3.

by the way Netflix wamekuja hadi Tanzania,
 
Sijakuelewa mkuu .hebu fanya kurahisisha tu kwa kuniambia kifaa jina flani kina uwezo huo basi .Namaanisha unipe tu kina la tv kabisa na size yake ila nadhani nitaimudu gharama ya 32 "
Hio Ni software feature most of time, hivyo unahitaji kujua os husika kwanza.
 
Sijakuelewa mkuu .hebu fanya kurahisisha tu kwa kuniambia kifaa jina flani kina uwezo huo basi .Namaanisha unipe tu kina la tv kabisa na size yake ila nadhani nitaimudu gharama ya 32 "
-lg zenye web os
-samsung zenye tizen
-brand nyengine kama sony zenye android tv,

sema hakikisha ni android tv, kuna brand nyingi za kichina zina android ila sio android tv.
 
Duuuh nazipata kwa angalau bei gani mkuu .au nipe model kabisa ili niitafute dukani nianze kuwekeza pesa taratibu taratibu
-lg zenye web os
-samsung zenye tizen
-brand nyengine kama sony zenye android tv,

sema hakikisha ni android tv, kuna brand nyingi za kichina zina android ila sio android tv.
 
Duuuh nazipata kwa angalau bei gani mkuu .au nipe model kabisa ili niitafute dukani nianze kuwekeza pesa taratibu taratibu
Mkuu Ngumu kukutajia model Fulani uitafute, ila njia rahisi angalia remote, kitaalamu hii feature inaitwa Picture in picture mode (PiP)

Hivyo utaona button yake kwenye remote.

Sony
2012-02-13_000415_tv_remote_image1.jpg
 
Msaada..nahitaji app nzuri ya kufanya casting kati ya simu na Smart tv.
 
Back
Top Bottom