Ushauri wa leo kwa kaka zangu

Ushauri wa leo kwa kaka zangu

Ukipata mwanamke anayeamini katika mihangaiko yako, kazi yako, anayeamini kwenye safari yako na kuwa nawe katika hali ngumu na changamoto na anakuunga mkono, akaonyesha ushirikiano bila kufanya usaliti kwa wanaume wengine au hali yoyote mshikilie.

Wanawake wengi (siyo wote) ni vikwazo vya kihisia, kiakili na kirasilimali kwa wanaume wenye malengo mema, mazuri, makubwa na ya muda mrefu.

Nimekaa pale nasubiri povu la wanawake wenzangu
Unaongelea mwanamke wa kuchonga, wa kubumba au waaje yan? I'm sure huongelei hawa tulionao mitaani
 
Tatizo hamjazoea kupendwa nyie
Hahahah sahio wahuni wanapishana na discovery zao kila mmoja analeta vizawadi ili atafune mzigo. Kijana mpambanaji lazma uwekwe kando kwanza 😀😀😀!!!

Achana na kitu kinaitwa "Prime time" ya mtoto wa kike akiwa na Options mia kidogo. Unaachwa leo kesho unamuona mwamba mwingine kwa status🤣🤣🤣
 
Hahahah sahio wahuni wanapishana na discovery zao kila mmoja analeta vizawadi ili atafune mzigo. Kijana mpambanaji lazma uwekwe kando kwanza 😀😀😀!!!

Achana na kitu kinaitwa "Prime time" ya mtoto wa kike akiwa na Options mia kidogo. Unaachwa leo kesho unamuona mwamba mwingine kwa status🤣🤣🤣
Sasa mwanaume huna hela unatongoza ya nini

Kama venye mnapenda pisi kali zilizonona, nasi twapenda pochi zilizonona. Si kwa ubaya lakini🤣
 
hili ni kweli kabisa ila kwa bahati mbaya siku hizi kumpata mwanamke wa sifa ulizozitaja ni ngumu sana wamebaki wachache sana. Wengi ukiwa unajitafuta na hujajipata wanakuona kama linumbu fulani hivi, ukishajipata ndio anaanza kukuona kama mtu.
 
Ukipata mwanamke anayeamini katika mihangaiko yako, kazi yako, anayeamini kwenye safari yako na kuwa nawe katika hali ngumu na changamoto na anakuunga mkono, akaonyesha ushirikiano bila kufanya usaliti kwa wanaume wengine au hali yoyote mshikilie.

Wanawake wengi (siyo wote) ni vikwazo vya kihisia, kiakili na kirasilimali kwa wanaume wenye malengo mema, mazuri, makubwa na ya muda mrefu.

Nimekaa pale nasubiri povu la wanawake wenzangu


Nashukuru kwa ushauri, ila are very hard to find, I wish ningepata wa namna hiyo
 
Back
Top Bottom