Eewwaaamnataka mpambane man to man sio
Mi mwanaume mtulivu mno hapana.... mwanaume hekaheka.Mwanaume kuwa na Mimi tu nao ni uzoba.Changamkachangamka bhana![]()
NB:mleta mada upo sahihi![]()


Slay queens wamekuharibu ndio shidanashindwa kuamini mwanamke wa hivi yupo
Ukipata mwanamke anayeamini katika mihangaiko yako, kazi yako, anayeamini kwenye safari yako na kuwa nawe katika hali ngumu na changamoto na anakuunga mkono, akaonyesha ushirikiano bila kufanya usaliti kwa wanaume wengine au hali yoyote mshikilie.
Wanawake wengi (siyo wote) ni vikwazo vya kihisia, kiakili na kirasilimali kwa wanaume wenye malengo mema, mazuri, makubwa na ya muda mrefu.
Nimekaa pale nasubiri povu la wanawake wenzangu![]()
Kweli kabisa šššUkipata mwanamke anayeamini katika mihangaiko yako, kazi yako, anayeamini kwenye safari yako na kuwa nawe katika hali ngumu na changamoto na anakuunga mkono, akaonyesha ushirikiano bila kufanya usaliti kwa wanaume wengine au hali yoyote mshikilie.
Wanawake wengi (siyo wote) ni vikwazo vya kihisia, kiakili na kirasilimali kwa wanaume wenye malengo mema, mazuri, makubwa na ya muda mrefu.
Nimekaa pale nasubiri povu la wanawake wenzangu![]()
Watulie. Na wao watakua na ndoa zao watayakuta. Kwani baba yao alivyosepa walikua hawaoni?watakaoumia ni watoto mama tulee hawa watoto tuliobarikiwa
sijui yaani kama kuna mtu anaweza kumpenda mwingine jinsi alivyoSlay queens wamekuharibu ndio shida
Mtoa mada nakusaidia tu jambo .
1. Usiwe mmojawapo wakumsaidia mwanaume apate mafanikio kupitia wewe .
2. Usimweke mwanaume first priority
3.ukiwa kwenye mahusiano usichukulie serious
4. Usipende kuishi kwa malengo ndani ya mahusiano
5. Usiwe na mwanaume mmoja ukisubiria mabadiliko kama ndoa, au akuone umefanya la maana .
6. Ukiwa pale ndio ushiriki mambo kama sex , usafi ili usiende na magonjwa, kufurahia the moment ya hiyo kipindi .
Usimdhamini mwaname hata siku moja ila mpe vile unavyoweza ila sio utake risk eti akuone tofauti na wengine. Hadi uolewe ndio uje ukabadilishe mifumo ila usimpe mwanaume hela . Usikae kiti cha mwanaume . Wewe ni mwanamke hakuna usawa kati ya hilo
Wapo mkuu sema mara nyingi simiongoni mwa wale tunaovutiwa naonashindwa kuamini mwanamke wa hivi yupo
Ambae hakua makini hapo unaona atakuwa nani, mwanamke au mwanaume ? šKweli, kuna wengine inawezekana wanatekwa kama hivyo ulivyosema ila sasa sio wote. Wengine ni kile kiburi cha pesa anaanza kufanya vitu ambavyo alishindwa kuvifanya wakati hana kitu.