Ushauri wa leo kwa kaka zangu

Ushauri wa leo kwa kaka zangu

Mtoa mada nakusaidia tu jambo .
1. Usiwe mmojawapo wakumsaidia mwanaume apate mafanikio kupitia wewe .
2. Usimweke mwanaume first priority
3.ukiwa kwenye mahusiano usichukulie serious
4. Usipende kuishi kwa malengo ndani ya mahusiano
5. Usiwe na mwanaume mmoja ukisubiria mabadiliko kama ndoa, au akuone umefanya la maana .
6. Ukiwa pale ndio ushiriki mambo kama sex , usafi ili usiende na magonjwa, kufurahia the moment ya hiyo kipindi .
Usimdhamini mwaname hata siku moja ila mpe vile unavyoweza ila sio utake risk eti akuone tofauti na wengine. Hadi uolewe ndio uje ukabadilishe mifumo ila usimpe mwanaume hela . Usikae kiti cha mwanaume . Wewe ni mwanamke hakuna usawa kati ya hilo
 
Ukipata mwanamke anayeamini katika mihangaiko yako, kazi yako, anayeamini kwenye safari yako na kuwa nawe katika hali ngumu na changamoto na anakuunga mkono, akaonyesha ushirikiano bila kufanya usaliti kwa wanaume wengine au hali yoyote mshikilie.

Wanawake wengi (siyo wote) ni vikwazo vya kihisia, kiakili na kirasilimali kwa wanaume wenye malengo mema, mazuri, makubwa na ya muda mrefu.

Nimekaa pale nasubiri povu la wanawake wenzangu

Muhimu: Wotu waache ubinafsi.
 
Ukipata mwanamke anayeamini katika mihangaiko yako, kazi yako, anayeamini kwenye safari yako na kuwa nawe katika hali ngumu na changamoto na anakuunga mkono, akaonyesha ushirikiano bila kufanya usaliti kwa wanaume wengine au hali yoyote mshikilie.

Wanawake wengi (siyo wote) ni vikwazo vya kihisia, kiakili na kirasilimali kwa wanaume wenye malengo mema, mazuri, makubwa na ya muda mrefu.

Nimekaa pale nasubiri povu la wanawake wenzangu
Kweli kabisa šŸ˜€šŸ‘šŸ‘
 
Mtoa mada nakusaidia tu jambo .
1. Usiwe mmojawapo wakumsaidia mwanaume apate mafanikio kupitia wewe .
2. Usimweke mwanaume first priority
3.ukiwa kwenye mahusiano usichukulie serious
4. Usipende kuishi kwa malengo ndani ya mahusiano
5. Usiwe na mwanaume mmoja ukisubiria mabadiliko kama ndoa, au akuone umefanya la maana .
6. Ukiwa pale ndio ushiriki mambo kama sex , usafi ili usiende na magonjwa, kufurahia the moment ya hiyo kipindi .
Usimdhamini mwaname hata siku moja ila mpe vile unavyoweza ila sio utake risk eti akuone tofauti na wengine. Hadi uolewe ndio uje ukabadilishe mifumo ila usimpe mwanaume hela . Usikae kiti cha mwanaume . Wewe ni mwanamke hakuna usawa kati ya hilo

Nadhani Vijana mtanielewa Kwa nini hampaswi kuwathamini na kuwachukulia Serious Wanawake(wengi wapo namna Hii ya aliyeandika comment Hii)

Yote aliyoyaandika hapa, basi wafanyieni hivyo hivyo.

Ingawaje wapo Wadada Wema ambao hawapo kama huyu. Mkiwapata wapeni heshima Yao na muwapende.

WA hivi wachezeeni kisha waacheni solemba
 
Kweli, kuna wengine inawezekana wanatekwa kama hivyo ulivyosema ila sasa sio wote. Wengine ni kile kiburi cha pesa anaanza kufanya vitu ambavyo alishindwa kuvifanya wakati hana kitu.
Ambae hakua makini hapo unaona atakuwa nani, mwanamke au mwanaume ? 😃
 
Back
Top Bottom