Tareek Azeez
JF-Expert Member
- Mar 29, 2014
- 13,045
- 32,685
Namalizia kuandika kitabu changu dhidi ya kabila lenu.Umeanza
Namalizia kuandika kitabu changu dhidi ya kabila lenu.Umeanza
Kwahio basi msimaindi tukiwatupa kipindi mko single mazas🤣 maana wahuni wanawaachiaga misala at the end.Bana wee tutakula hiyo real love?
Namalizia kuandika kitabu changu dhidi ya kabila lenu.


huyo mnyaki aliekunyoosha nataman nimjueAkati wahuni wenyewe ndio nyie😅Kwahio basi msimaindi tukiwatupa kipindi mko single mazas🤣 maana wahuni wanawaachiaga misala at the end.
Kwa hio wanapotamka kwa shida na raha hua wanamaanisha kwa raha tu sio kwa shida 😃Wakati wa shida wenzetu Hawa wanatukimbia asipokimbia manyanyaso Kama yote plus dharau,shida na Raha uishia mlango wa kanisa wanaondoka na Raha pekee
Sisi wapambanaji tunatupwaga mapema sana wakati chuma zikiwa namba E!Akati wahuni wenyewe ndio nyie😅
Povu litatoka kwetu kweli, sio kwao?Ukipata mwanamke anayeamini katika mihangaiko yako, kazi yako, anayeamini kwenye safari yako na kuwa nawe katika hali ngumu na changamoto na anakuunga mkono, akaonyesha ushirikiano bila kufanya usaliti kwa wanaume wengine au hali yoyote mshikilie.
Wanawake wengi (siyo wote) ni vikwazo vya kihisia, kiakili na kirasilimali kwa wanaume wenye malengo mema, mazuri, makubwa na ya muda mrefu.
Nimekaa pale nasubiri povu la wanawake wenzangu![]()
Kuna mtu huko juu kasema tunawavumilia af mkizipata mnaenda kwa wanawake wa ndoto zenu.Sisi wapambanaji tunatupwaga mapema sana wakati chuma zikiwa namba E!
umerudi pale paleSasa mwanaume huna hela unatongoza ya nini
🤣🤣🤣umerudi pale pale
huwezi pendwa bure😂
Asante...Njoo upande wa Pili wapo wanawake waliowaamini wanaume sasa hivi wanauguza makovu ya maumivu ya mapenzi baada ya wanaume kutoboa wameachwa solemba, hii sijui inakuaje hii?
....
✍️
Wewe upoje tusianzie mbaliWa huku hawana shida, sio kila anaeongea kitu humu ndivyo alivyo.
Ile ni kwenye makaratasi na Sio halisi kwa wachache sana, wenzetu uhimilivu ni mdogo sanaKwa hio wanapotamka kwa shida na raha hua wanamaanisha kwa raha tu sio kwa shida 😃
Hayo maneno ya wazushi tu muyapuuze 😀Kuna mtu huko juu kasema tunawavumilia af mkizipata mnaenda kwa wanawake wa ndoto zenu.
Aki wanaume mbingu mtaisikia redioni tu nyie
Matapeli hawa 😀 muuza cheni bandia akipewa hela bandia analia balaa 🤣🤣🤣Kwa hio wanapotamka kwa shida na raha hua wanamaanisha kwa raha tu sio kwa shida 😃
Hatudanyanyiki tena.Hayo maneno ya wazushi tu muyapuuze 😀
Aninyooshe wapi alikuwa anaenda kuharibu na kuleta noma Kila nilipokuwa naenda kufanya uwekezaji.huyo mnyaki aliekunyoosha nataman nimjue
Sasa kaharibu mmoja sio wote tuko hivyo bwana.Aninyooshe wapi alikuwa anaenda kuharibu na kuleta noma Kila nilipokuwa naenda kufanya uwekezaji.