Ushauri wa leo kwa kaka zangu

Ushauri wa leo kwa kaka zangu

Ni kweli ni wachache mno

1688399904728.jpg
 
Ushindwe ulegee hatuwezi kuliwa ovyoo kwa sababu hatujajenga makao niwewe ujenge makao kwangu ili nikupe attention mwanaume ndio baba wa familia so kama haoni namfaa basi .
Mtu hawezi mdhamini mtu asiyemdhamini .
Sijali ukinipondea humu maana sina mpango wakuolewa na mtu humu so hilo ni wazo lako next

Mimi niliandika kuwa yote uliyoyasema atakayekuwa na wewe akufanyie vivyohivyo sasa kinachokukasirisha ni nini?
Yote uliyoyaandika naamini utapata wa Aina hiyohiyo
 
Kupata soulmate yaani ubavu wako ni ngumu sana wengi ni pretender amini hili kwa kufulia ndo utaiona rangi halisi.
Jipange kwanza ndipo uoe Kama unataka mpenzi wa kwel.
Shida ni yako raha ni ya wote.
Hahahah mapenz ya kweli yapo ila mapenzi ya kileo hela ndio superglue. 😀😀😀
 
Matapeli hawa 😀 muuza cheni bandia akipewa hela bandia analia balaa 🤣🤣🤣
Ila wanaume acha tuitwe wanaume kuna sister yangu mmoja alikua anampelekesha jamaa yake kipindi jamaa kashatoa posa mahari kalipa mipango ya ndoa inaendelea sasa masuala ya sherehe ndio akaanza kumpelekesha yaan hadi nikasema wanawake hawa basi tu sijui wanawazaga nini,
✍️
 
Ila wanaume acha tuitwe wanaume kuna sister yangu mmoja alikua anampelekesha jamaa yake kipindi jamaa kashatoa posa mahari kalipa mipango ya ndoa inaendelea sasa masuala ya sherehe ndio akaanza kumpelekesha yaan hadi nikasema wanawake hawa basi tu sijui wanawazaga nini,
✍️
Alikuwa anafosi kingi au 😀
 
Mimi niliandika kuwa yote uliyoyasema atakayekuwa na wewe akufanyie vivyohivyo sasa kinachokukasirisha ni nini?
Yote uliyoyaandika naamini utapata wa Aina hiyohiyo
Mie sipati waaina hiyo mie ninapata wanaonijali na wakinijali na wajali wewe inaelekea unataka mtu kama mtoa mada akunyenyekee . Akupe attention, akusikilize akujali halafu wewe uwe unaringa ringa ila sisi sio mabinti so hatubembelezi utakacho offer ndio tunareply
 
Alikuwa anafosi kingi au 😀
Anawaza sherehe tu muda wote sio ndoa yeye anawaza ukumbini sijui kufanyaje kutafanyika nini matukio wapiga picha wachukua video makolokolo mengine na yote jamaa ajue namna ya kufanikisha ukiondoa Mambo ya kamati na hapo ukicheck mda umeisha akaanza kumburuza lazima agharamie kila kitu 😃
 
Ila wanaume acha tuitwe wanaume kuna sister yangu mmoja alikua anampelekesha jamaa yake kipindi jamaa kashatoa posa mahari kalipa mipango ya ndoa inaendelea sasa masuala ya sherehe ndio akaanza kumpelekesha yaan hadi nikasema wanawake hawa basi tu sijui wanawazaga nini,
✍️
kama unaweza ishi bila wanawake

ni pasua kichwa
 
Anawaza sherehe tu muda wote sio ndoa yeye anawaza ukumbini sijui kufanyaje kutafanyika nini matukio wapiga picha wachukua video makolokolo mengine na yote jamaa ajue namna ya kufanikisha ukiondoa Mambo ya kamati na hapo ukicheck mda umeisha akaanza kumburuza lazima agharamie kila kitu 😃
Hivi huko ukumbinj Kuna maajabu gani yaani watu wanapenda kweli
 
Anawaza sherehe tu muda wote sio ndoa yeye anawaza ukumbini sijui kufanyaje kutafanyika nini matukio wapiga picha wachukua video makolokolo mengine na yote jamaa ajue namna ya kufanikisha ukiondoa Mambo ya kamati na hapo ukicheck mda umeisha akaanza kumburuza lazima agharamie kila kitu 😃
Hahahahahah shemeji yako alikoma kuringa 😀
 
Anawaza sherehe tu muda wote sio ndoa yeye anawaza ukumbini sijui kufanyaje kutafanyika nini matukio wapiga picha wachukua video makolokolo mengine na yote jamaa ajue namna ya kufanikisha ukiondoa Mambo ya kamati na hapo ukicheck mda umeisha akaanza kumburuza lazima agharamie kila kitu
Hivi ndoa ilifungwa kweli ama kuna mtu alipigwa chini??
 
Back
Top Bottom