Ushauri wa leo kwa kaka zangu

Ushauri wa leo kwa kaka zangu

Wakati wa kuvumilia unatakaiwa uwe na macho ya rohoni. kuona nipo na mtu sahihi au la ?
Dunia ya sasa imechafuka sana, Adui wa mtu ni yule wa Nyumbani kwake.

Maisha ni Mashindano, pengine hata haikua wazo lake kukuacha, ila ndio hivo akakutana na wazee wa kazi wakamteka.
Kweli, kuna wengine inawezekana wanatekwa kama hivyo ulivyosema ila sasa sio wote. Wengine ni kile kiburi cha pesa anaanza kufanya vitu ambavyo alishindwa kuvifanya wakati hana kitu.
 
Back
Top Bottom