Ushauri wa leo kwa kaka zangu

Ushauri wa leo kwa kaka zangu

Unasemea regardless of any marital status?

Kwamba hata kama ni Mchepuko wa hivyo asimuache au siyo?


Of which is true though michepuko wanawake Assets ni wachache mno wanahesabika lakini kiukweli wapo.

Michepuko wanawake wengi ni Liabilities.

Hata wake wa ndoa vivyo hivyo though status ni tofauti.
 
Sikuhiz hakuna wanawake kuna OmbaOmba pesa, walevi na madanga... Kiukweli nyie mnaotaka kuoa nawaonea huruma sana maana karibia wanawake wote hawafai... Ndio maana singo maza wanaongezeka kwa kasi... Wanaume wameamua kuishi bila ndoa ili kukwepa kero za ndoa
Kero za ndoa is real mzee
 
Ukipata mwanamke anayeamini katika mihangaiko yako, kazi yako, anayeamini kwenye safari yako na kuwa nawe katika hali ngumu na changamoto na anakuunga mkono, akaonyesha ushirikiano bila kufanya usaliti kwa wanaume wengine au hali yoyote mshikilie.

Wanawake wengi (siyo wote) ni vikwazo vya kihisia, kiakili na kirasilimali kwa wanaume wenye malengo mema, mazuri, makubwa na ya muda mrefu.

Nimekaa pale nasubiri povu la wanawake wenzangu
na hata hawapo hao WANAOAMINI HUSTLE,wacha tupambane kubatilisha mambo za ndoa mpk ikifika 2030 hivi jamii iwe imeshatuelewa mustakabali wetu vijana juu ya ndoa
 
Ukipata mwanamke anayeamini katika mihangaiko yako, kazi yako, anayeamini kwenye safari yako na kuwa nawe katika hali ngumu na changamoto na anakuunga mkono, akaonyesha ushirikiano bila kufanya usaliti kwa wanaume wengine au hali yoyote mshikilie.

Wanawake wengi (siyo wote) ni vikwazo vya kihisia, kiakili na kirasilimali kwa wanaume wenye malengo mema, mazuri, makubwa na ya muda mrefu.

Nimekaa pale nasubiri povu la wanawake wenzangu
Awe na tako sura haijalishi,tunaweka kambi milele
 
Umenena vyema ila wengi wao hawa kaka zetu wakikaa vizuri kiuchumi ndio wanaanza kutafuta wale wanaita type zao ila wale waliohangaika nao kipindi wapo majalala wanawaona washamba.
And vice versa is also true
 
Sema kumpata mwanamke mwenye sifa hizo ndio kazi yenyewe Sasa
 
Back
Top Bottom