African Geek
JF-Expert Member
- Jul 29, 2022
- 794
- 1,403
Yah. Ambayo iko on air ni hii 👉 🔗 ROLAWe abdallah_codes ushawahi fanya project yoyote ya web design au programmimg 🤔
Yah. Ambayo iko on air ni hii 👉 🔗 ROLAWe abdallah_codes ushawahi fanya project yoyote ya web design au programmimg 🤔
Bado kufanya finishing tu na kuweka custom domainYah. Ambayo iko on air ni hii 👉 🔗 ROLA
Saivi napiga authentication 🔗 Nisaidie kutest kidogoWe abdallah_codes ushawahi fanya project yoyote ya web design au programmimg 🤔
Unaangalia kwenye minimum/recommended specs za software yako kuona.Software zenye Quicksync ni zipi, NvenC na VCe ni zipi?
Jsx, Javascript. Nimefanyia kwa framework ya Next.jsKubabake umetumia lugha gani hapo aseee
Hongera mkuu
Ok sawasawa umetumia software gani kucode hivi vitu kwenye pcJsx, Javascript. Nimefanyia kwa framework ya Next.js
VscodeOk sawasawa umetumia software gani kucode hivi vitu kwenye pc
Si lazima uinstall hizo frameworks sioVscode
Una download kwa terminal. Ni kama kuinstall packages. Tuwasiliane 0686724390Si lazima uinstall hizo frameworks sio
Hiyo namba ipo WhatsAppUna download kwa terminal. Ni kama kuinstall packages. Tuwasiliane 0686724390
Ipo whatsapp. Nitext nipate namba yakoHiyo namba ipo WhatsApp
Mimi nikitaka PC nzur ya video editing, graphics na animation ni PC gan nzur inafaa Kwa specifications zakeMkuu kwenye gpu rendering kila kampuni inakuwa na Accelerators zake, Ya intel inaitwa Quicksync, Nvidia ni NvenC na Amd ana VCE.
Mara nyingi Nvidia anakuwa vizuri zaidi ila hio Quicksync ya intel ina value zaidi sababu unaipata kwenye machine yoyote yenye intel HD, sema nzuri zaidi ni kuanzia gen ya 11 ama gpu zao za Arc.
Hivyo kama unatumia Accelerators combo ya intel+Nvidia kwa budget ndogo ni nzuri.
Gpu nyingi za Nvidia zina Nvenc mpaka za zamani kama Gtx 750ti, sema zinatofautiana version mfano 750ti inakubali codecs za kizamani kama X264 ila codecs mpya kama Hevc/X265 na Av1 haikubali.
Sasa unaangalia mwenyewe matumizi kama unagota x264 gtx 750ti kupanda, kama unagota x265 ni gtx 1050ti kupanda na kama unataka Av1 basi hizi Rtx 40xx mpya zinapiga codecs zote.
Ila kama upo serious zaidi huwa best way ni kutumia Cpu, tafuta Ryzen ama Intel Gen 12 kupanda zenye core nyingi kadri iwezekanavyo.
Upo wapi MzeeYah sure. It's for sale. Inatumia Ryzen 7, 32GB DDR4 3200Mhz Ram, Nvidia GTX 1080 8GB Vram, SSD 1TB & SSD 256GB, LG 25inch wide monitor, Gaming keyboard & Gaming mouse
Nipo DarUpo wapi Mzee
Si ndio hio nimeelezea mkuu? Maana mtoa mada anafanya video production, ila kwenye Animation blender inataka cpu/Gpu ya maana Kina Quicksync hawatakusaidia sana. Inategemea pia na Budget yako.Mimi nikitaka PC nzur ya video editing, graphics na animation ni PC gan nzur inafaa Kwa specifications zake
Huyu mjomba ni gen ya ngapi ?i5 ama i7 gen ya 8 ni rahisi kupata, naziona jiji i5 hapa kwa 450k, uta edit video kwa program zinazotumia Quicksync.
Then vuta pumzi baadae uvute lowend dedicated gpu.
Gen ya 4 hii lakini laptop.Huyu mjomba ni gen ya ngapi ?
je anafaa kwa hizo mambo pamoja na gaming?
View attachment 2567466View attachment 2567467View attachment 2567469
Unaweza nitajia japo duka moja hapa mjinii5 ama i7 gen ya 8 ni rahisi kupata, naziona jiji i5 hapa kwa 450k, uta edit video kwa program zinazotumia Quicksync.
Then vuta pumzi baadae uvute lowend dedicated gpu.
Maduka naweza kutajia wapo kaale, Discountkubwa, maduka ya Likoni na Agrey kkoo, Machinga complex, uhuru etc.Unaweza nitajia japo duka moja hapa mjini