Ushauri wa kununua desktop ya video production na graphic design

Software zenye Quicksync ni zipi, NvenC na VCe ni zipi?
Unaangalia kwenye minimum/recommended specs za software yako kuona.

Mfano hii ni minimum requirement ya premiere


Minimum ni gen ya 6 intel na recomended ni gen ya 7 Quicksync. Pia chini wameelezea zaidi kwenye Hevc/x265 gen ya 7 inahandle 8bit tu ukitaka kurender 10bit utahitaji angalau gen ya 9.

So kabla hujadownload software yoyote unacheki requirements kwanza.

Ambazo binafsi nimetumia Handbrake na Cyberlink powerdirector nafahamu zina Quicksync.

Pia tip nyengine kama machine yako haina uwezo unatafuta version za zamani mfano premiere cs3 mpaka cs6 zinarun machine nyingi tu lowend, utamiss features ila kazi inafanyika.
 
Mkuu kwenye gpu rendering kila kampuni inakuwa na Accelerators zake, Ya intel inaitwa Quicksync, Nvidia ni NvenC na Amd ana VCE.

Mara nyingi Nvidia anakuwa vizuri zaidi ila hio Quicksync ya intel ina value zaidi sababu unaipata kwenye machine yoyote yenye intel HD, sema nzuri zaidi ni kuanzia gen ya 11 ama gpu zao za Arc.

Hivyo kama unatumia Accelerators combo ya intel+Nvidia kwa budget ndogo ni nzuri.

Gpu nyingi za Nvidia zina Nvenc mpaka za zamani kama Gtx 750ti, sema zinatofautiana version mfano 750ti inakubali codecs za kizamani kama X264 ila codecs mpya kama Hevc/X265 na Av1 haikubali.

Sasa unaangalia mwenyewe matumizi kama unagota x264 gtx 750ti kupanda, kama unagota x265 ni gtx 1050ti kupanda na kama unataka Av1 basi hizi Rtx 40xx mpya zinapiga codecs zote.

Ila kama upo serious zaidi huwa best way ni kutumia Cpu, tafuta Ryzen ama Intel Gen 12 kupanda zenye core nyingi kadri iwezekanavyo.
Mimi nikitaka PC nzur ya video editing, graphics na animation ni PC gan nzur inafaa Kwa specifications zake
 
Mimi nikitaka PC nzur ya video editing, graphics na animation ni PC gan nzur inafaa Kwa specifications zake
Si ndio hio nimeelezea mkuu? Maana mtoa mada anafanya video production, ila kwenye Animation blender inataka cpu/Gpu ya maana Kina Quicksync hawatakusaidia sana. Inategemea pia na Budget yako.
 
i5 ama i7 gen ya 8 ni rahisi kupata, naziona jiji i5 hapa kwa 450k, uta edit video kwa program zinazotumia Quicksync.

Then vuta pumzi baadae uvute lowend dedicated gpu.
Huyu mjomba ni gen ya ngapi ?
je anafaa kwa hizo mambo pamoja na gaming?
model.JPG
dspl.JPG
nvdia.JPG
 
Unaweza nitajia japo duka moja hapa mjini
Maduka naweza kutajia wapo kaale, Discountkubwa, maduka ya Likoni na Agrey kkoo, Machinga complex, uhuru etc.

Ila tofauti na simu computer zina variant sana, same model optiplex 3060 inaweza kuja na Intel pentium, i3, i5, i7 etc ikaja na Ryzen hivyo hivyo 3, 5, 7 etc so naweza kukuambia kachukue duka fulani optiplex fulani ukapewa model ambayo haitakusaidia vyema ujue ni specs gani mwenyewe ili ukague na kuchukua kitu kitachokidhi mahitaji yako.

Mfano hizi unaweza wapigia ukawauliza duka lao


Bei hio ni chini ya budget yako, washushe kidogo hapo change inayobaki nunua ssd na ram angalau 4GB ili iwe 8GB total kwa kuanzia si mbaya.
 
Back
Top Bottom