tajirijasiri
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 2,864
- 3,851
Tena kaondoka na b. 16 kavu kavu
Yaani nimeshangaa sana, amerudi anasifia matabibu wa nje kuwa wanashona kwa kutumia chuma na unapona. Hivi kwanini anashindwa kuwawezesha hawa wakwetu. Unawezaje kusifia kwa watu unaacha familia yako inaangamia?.
Hii ni busara ya wapi, hakua madawa, hakuna vifaa ila anaongea kirahisi kama vile ni rahisi kwa babu yangu aliyeko kisarawe kwenda kupimwa.
Jana Jumamosi ya tarehe 29 Nov. 2014, Rais wa JMT Mh JK, alisikika akiwashauri Watanzania kuwa na desturi ya kupima afya zao Mara kwa Mara. Ushauri huu ni mzuri ila unatia SHAKA kwenye namna alivyoufikisha. Huku akitolea mfano wa saratani ya tezi dume alisema kwamba vipimo vya kugundua kama una saratani hata Muhimbili vipo, sasa je kama vipimo hivyo vipo Muhimbili, yeye alikwenda kufanya nini USA? Au kwa nini hakuanzia Muhimbili? Je haiamini Hospitali ya Nchi yake?
Naombeni mnisaidie kupaelewa hapa!
Kupima na kutibu ni vitu tofauti.
Kupima na kutibu ni vitu tofauti.
Kupima na kutibu ni vitu tofauti.
Mengine ni heri zaid ukayaacha yakapita!!!
Washauri na waandishi wanamuingiza Rais katika mitafaruku bila sababu sababu ya mambo kama haya!!
Nakubaliana na wewe, kuwa 'kupima na kutibu' ni vitu viwili tofauti, lakini unajua wether ni Ukuaji wa tezi dume(usio saratani) na ule wa saratani unaweza kufanyika hapa nchini katika hospitali za hapa hapa(chache sana).
Pili, hata kama kutibu ni tofauti, na ndiyo maana yeye JK alikwenda nje, anategemea hospitali za hapa nchini nani wa kuziboresha? Tafsiri/taswira ni ipi huko nje ya nchi? Yaani 'baba mwenye nyumba kutokuwa na choo nyumbani kwake na anafurahia kuiacha familia kujisaidia pooote huku yeye akienda choo cha jirani' napo unaona hiyo ni sawa kwako!
Then you must be more idiot that you were,mkuu!