tajirijasiri
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 2,864
- 3,851
Jana Jumamosi ya tarehe 29 Nov. 2014, Rais wa JMT Mh JK, alisikika akiwashauri Watanzania kuwa na desturi ya kupima afya zao Mara kwa Mara.
Ushauri huu ni mzuri ila unatia SHAKA kwenye namna alivyoufikisha. Huku akitolea mfano wa saratani ya tezi dume alisema kwamba vipimo vya kugundua kama una saratani hata Muhimbili vipo.
Sasa je, kama vipimo hivyo vipo Muhimbili, yeye alikwenda kufanya nini USA?
Au kwanini hakuanzia Muhimbili? Je haiamini Hospitali ya Nchi yake?
Naombeni mnisaidie kupaelewa hapa!
Ushauri huu ni mzuri ila unatia SHAKA kwenye namna alivyoufikisha. Huku akitolea mfano wa saratani ya tezi dume alisema kwamba vipimo vya kugundua kama una saratani hata Muhimbili vipo.
Sasa je, kama vipimo hivyo vipo Muhimbili, yeye alikwenda kufanya nini USA?
Au kwanini hakuanzia Muhimbili? Je haiamini Hospitali ya Nchi yake?
Naombeni mnisaidie kupaelewa hapa!