Ushauri wa Kikwete kupima saratani, mzuri lakini una mashaka

Jee, hili hujaliona:



Hujaona maboresho pale Muhimbili awamu ya Kikwete? Kikwete hilo la "kuziboresha" hospitali za hapa nchini, hakuna aliyefanya zaidi ya Kikwete toka tupate Uhuru. Kumbuka hilo.

Mkuu, hilo nalitambua binafsi niko katika mpango wa kufanikisha jhilo hapo juu, lakini turudi katika hoja ya msingi(Usitake kutoa majibu mepesi kwa maswali magumu)

Hospitali si Jengo,, unapoongelea Hospitali tunaongelea huduma stahiki inayopaswa kutolewa! Jambo tunalo lisema hapa ni la Mkuu wa Nchi kupata matibabu nje kwa jambo linalowezekana hapa nchi(na usije na majibu rahisi eti anaweza kuchagua daktari yeyote) hilo tunatambua, lakini kama Taasisi(ana washauri, ana daktari wake n.k) walioweza kumuongoza katika hilo! Pili tunaongelea Raisi kama Public figure and not a mere person!

Sasa, tuje kwenye masuala ya msingi; Mwaka juzi madaktari walipogoma kudai baadhi ya madai, walionekana ni watu wenye 'uchu/tamaa ya fedha'! Leo hii Hospitalini ni hali mbaya kuliko ilivyokuwa hapo miaka miwili iliyopita., Na kwa kusema Hospitaki nina maanisha Hospitali ya Taifa(MNH), Taasisi ya Mifupa ya Muhimbili(MOI), Taasisi ya Saratani Ocean Road(ORCI), Hospitali ya Rufaa Bugando(BMC), Hospitali ya Rufaa Mbeya(Mbeya Referral) na kitu ni hicho hicho huko Tanga, Tabora, Kigoma n.k
Hakuna madawa, hakuna vifaa vya vitendea kazi, hakuna kinga dhidi ya magonjwa(vitu ambavyo ni vile vile madaktari walivitaka).

Tunaweza kufika mbali kwa hospitali hizi hizi tulizonazo iwapo tutajizatiti kufanya yanayopaswa kufanyika! "Si kila shati likiwa na doa linatupwa mkuu". Gharama za maisha ndiyo hizo zinazoongezeka kila leo, Na bado hospitali zinajengwa pale pale zilipo(badala ya kuboresha hosoitali zilizopo na ku_recruit watoa huduma za afya katika maeneo husika), So kwa hili hebu weka u_chama pembeni tuongee facts mkuu.
 
Mkuu, hilo nalitambua binafsi niko katika mpango wa kufanikisha jhilo hapo juu, lakini turudi katika hoja ya msingi(Usitake kutoa majibu mepesi kwa maswali magumu)

Hospitali si Jengo,, unapoongelea Hospitali tunaongelea huduma stahiki inayopaswa kutolewa! Jambo tunalo lisema hapa ni la Mkuu wa Nchi kupata matibabu nje kwa jambo linalowezekana hapa nchi(na usije na majibu rahisi eti anaweza kuchagua daktari yeyote) hilo tunatambua, lakini kama Taasisi(ana washauri, ana daktari wake n.k) walioweza kumuongoza katika hilo! Pili tunaongelea Raisi kama Public figure and not a mere person!

Sasa, tuje kwenye masuala ya msingi; Mwaka juzi madaktari walipogoma kudai baadhi ya madai, walionekana ni watu wenye 'uchu/tamaa ya fedha'! Leo hii Hospitalini ni hali mbaya kuliko ilivyokuwa hapo miaka miwili iliyopita., Na kwa kusema Hospitaki nina maanisha Hospitali ya Taifa(MNH), Taasisi ya Mifupa ya Muhimbili(MOI), Taasisi ya Saratani Ocean Road(ORCI), Hospitali ya Rufaa Bugando(BMC), Hospitali ya Rufaa Mbeya(Mbeya Referral) na kitu ni hicho hicho huko Tanga, Tabora, Kigoma n.k
Hakuna madawa, hakuna vifaa vya vitendea kazi, hakuna kinga dhidi ya magonjwa(vitu ambavyo ni vile vile madaktari walivitaka).

Tunaweza kufika mbali kwa hospitali hizi hizi tulizonazo iwapo tutajizatiti kufanya yanayopaswa kufanyika! "Si kila shati likiwa na doa linatupwa mkuu". Gharama za maisha ndiyo hizo zinazoongezeka kila leo, Na bado hospitali zinajengwa pale pale zilipo(badala ya kuboresha hosoitali zilizopo na ku_recruit watoa huduma za afya katika maeneo husika), So kwa hili hebu weka u_chama pembeni tuongee facts mkuu.

Fananisha na wa kabla yake walifanya nini?

Hospitali kama si jengo, yanini kuhangaika kujenga mahospitali?

 
Mkuu, hilo nalitambua binafsi niko katika mpango wa kufanikisha jhilo hapo juu, lakini turudi katika hoja ya msingi(Usitake kutoa majibu mepesi kwa maswali magumu)

Hospitali si Jengo,, unapoongelea Hospitali tunaongelea huduma stahiki inayopaswa kutolewa! Jambo tunalo lisema hapa ni la Mkuu wa Nchi kupata matibabu nje kwa jambo linalowezekana hapa nchi(na usije na majibu rahisi eti anaweza kuchagua daktari yeyote) hilo tunatambua, lakini kama Taasisi(ana washauri, ana daktari wake n.k) walioweza kumuongoza katika hilo! Pili tunaongelea Raisi kama Public figure and not a mere person!

Sasa, tuje kwenye masuala ya msingi; Mwaka juzi madaktari walipogoma kudai baadhi ya madai, walionekana ni watu wenye 'uchu/tamaa ya fedha'! Leo hii Hospitalini ni hali mbaya kuliko ilivyokuwa hapo miaka miwili iliyopita., Na kwa kusema Hospitaki nina maanisha Hospitali ya Taifa(MNH), Taasisi ya Mifupa ya Muhimbili(MOI), Taasisi ya Saratani Ocean Road(ORCI), Hospitali ya Rufaa Bugando(BMC), Hospitali ya Rufaa Mbeya(Mbeya Referral) na kitu ni hicho hicho huko Tanga, Tabora, Kigoma n.k
Hakuna madawa, hakuna vifaa vya vitendea kazi, hakuna kinga dhidi ya magonjwa(vitu ambavyo ni vile vile madaktari walivitaka).

Tunaweza kufika mbali kwa hospitali hizi hizi tulizonazo iwapo tutajizatiti kufanya yanayopaswa kufanyika! "Si kila shati likiwa na doa linatupwa mkuu". Gharama za maisha ndiyo hizo zinazoongezeka kila leo, Na bado hospitali zinajengwa pale pale zilipo(badala ya kuboresha hosoitali zilizopo na ku_recruit watoa huduma za afya katika maeneo husika), So kwa hili hebu weka u_chama pembeni tuongee facts mkuu.

Mkuu hippocratessocrates huyu mama linapokuja swala la prof mtakesha naye, huwa hajitambui kama me aliyepewa limbwata
 
Last edited by a moderator:
Mkuu hippocratessocrates huyu mama linapokuja swala la prof mtakesha naye, huwa hajitambui kama me aliyepewa limbwata

Unajua Mkuu tatizo la baadhi ya wananchi wanaweka siasa za ulinganishaji hata kwenye masuala yanayohusu maisha na afya zao. Tunaongelea suala la Mustakabali wa nchi katika uhakika wa afya, mtu anatuletea graphics za Picha ya majengo ambayo hata hayajajengwa!! We must be real serious. Elimu ya kutambua haki na wajibu wa raia bado sana Mkuu.
 
Last edited by a moderator:
Yaani nimeshangaa sana, amerudi anasifia matabibu wa nje kuwa wanashona kwa kutumia chuma na unapona. Hivi kwanini anashindwa kuwawezesha hawa wakwetu. Unawezaje kusifia kwa watu unaacha familia yako inaangamia?.
Hii ni busara ya wapi, hakua madawa, hakuna vifaa ila anaongea kirahisi kama vile ni rahisi kwa babu yangu aliyeko kisarawe kwenda kupimwa.

Ushauri alioutoa Jakaya juu ya wanaume hasa wale wa umri wa kuanzia miaka 40 na kuendelea kuwa na tabia yakupima hali ya prostate yao ni mzuri lakini wakisha pimwa na kukutwa na tatizo katika tezi dume je tunao utaalam nchini wa kutibu maradhi hayo? Kutokana na matatizo ya tezi dume yaliyomkuta Jakaya ni dhahili kuwa hapa nchini tunao wataaalam ambao wanaweza kupima na kugundua matatizo ya tezi dume lakini matatizo yako kwenye vifaa vya kuweza kutibu maradhi haya succeefully!!!

Maradhi ya tezi dume mara nyingi yanahusiana na saratani , maradhi haya huwapata wanaume kuamzia kwenye miaka 40 na kuendelea. Ukiangalia population ya nchi yetu hivi sasa kuna watu wengi wenye umri mkubwa na kuna uwezekano kuwa wanaume wengi wenye umri huo wana matatizo ya prostate [tezi dume] lakini kwavile hawapimi wanaugua na kuumwa bila kujua asili ya kuumwa kwao. Wengi waliopimwa na kupatikana na maradhi haya hupata tiba ya mionzi pale Ocean Road Cancer centre lakini huduma zenyewe ni duni kutokana na sababu nyingi zikikiwemo uduni wa vitendea kazi na pia uongozi wa taasisi ile ukiwa na CONFLICT of INTEREST!! Ocean Road Cancer centre hvi sasa inaongozwa na Dr.Msemwa, huyu bwana kama aliyemtangulia kabla yake Dr.Ngoma anamiliki hopspitali yake binafsi inayotibia wagonjwa wa saratani kam ifanyavyo Ocean road hivyo hutumia nafasi yake sio tu kuwapeleka wagonjwa for referal hoaptalini kwake lakini pia anatumia muda mwingi akitibia hosptalini kwake badala ya ocean Road na haya ndio yanaathiri huduma zitolewazo pale!!

Mimi naamini kabisa kuwa katibu mkuu mpya aliyeteuliwa hivi karibuni Dr. Mmbando atalishuhululikia tatizo la uongozi pale Ocean Road cancer Centre kwa umuhimu unaostahili ili wapatikane commited doctors wasiokuwa na conflict of interest ili waweze kuongoza vizuri taasisi hii ambayo ni muhimu sana kwa watu wenye umri mkubwa. Given that the head of state might as well need the services of Ocean Road centre, the centre has to have state of the art equipment as well as committed leadership.
 
Ushauri alioutoa Jakaya juu ya wanaume hasa wale wa umri wa kuanzia miaka 40 na kuendelea kuwa na tabia yakupima hali ya prostate yao ni mzuri lakini wakisha pimwa na kukutwa na tatizo katika tezi dume je tunao utaalam nchini wa kutibu maradhi hayo? Kutokana na matatizo ya tezi dume yaliyomkuta Jakaya ni dhahili kuwa hapa nchini tunao wataaalam ambao wanaweza kupima na kugundua matatizo ya tezi dume lakini matatizo yako kwenye vifaa vya kuweza kutibu maradhi haya succeefully!!!

Maradhi ya tezi dume mara nyingi yanahusiana na saratani , maradhi haya huwapata wanaume kuamzia kwenye miaka 40 na kuendelea. Ukiangalia population ya nchi yetu hivi sasa kuna watu wengi wenye umri mkubwa na kuna uwezekano kuwa wanaume wengi wenye umri huo wana matatizo ya prostate [tezi dume] lakini kwavile hawapimi wanaugua na kuumwa bila kujua asili ya kuumwa kwao. Wengi waliopimwa na kupatikana na maradhi haya hupata tiba ya mionzi pale Ocean Road Cancer centre lakini huduma zenyewe ni duni kutokana na sababu nyingi zikikiwemo uduni wa vitendea kazi na pia uongozi wa taasisi ile ukiwa na CONFLICT of INTEREST!! Ocean Road Cancer centre hvi sasa inaongozwa na Dr.Msemwa, huyu bwana kama aliyemtangulia kabla yake Dr.Ngoma anamiliki hopspitali yake binafsi inayotibia wagonjwa wa saratani kam ifanyavyo Ocean road hivyo hutumia nafasi yake sio tu kuwapeleka wagonjwa for referal hoaptalini kwake lakini pia anatumia muda mwingi akitibia hosptalini kwake badala ya ocean Road na haya ndio yanaathiri huduma zitolewazo pale!!

Mimi naamini kabisa kuwa katibu mkuu mpya aliyeteuliwa hivi karibuni Dr. Mmbando atalishuhululikia tatizo la uongozi pale Ocean Road cancer Centre kwa umuhimu unaostahili ili wapatikane commited doctors wasiokuwa na conflict of interest ili waweze kuongoza vizuri taasisi hii ambayo ni muhimu sana kwa watu wenye umri mkubwa. Given that the head of state might as well need the services of Ocean Road centre, the centre has to have state of the art equipment as well as committed leadership.

Umechangia vizuri sana Mkuu, tunahitaji akili kubwa kama yako kuweza Ku address issues za nchi Hii. Big up sana.
 
Tatizo la tezi dume liko na lilikuwepo miaka mingi. Wakati huu limekuzwa na kuugua kwa Rais.

Watu wengi tu wametibiwa wakapona na wanaendelea na maisha yao.

Watu wamepata wasiwasi na kuchanganyikiwa, labda tu baada ya mkuu kuelezea hivyo vipimo complicated vya kisasa.

Lakini tenzi dume limekuwa likipimwa kwa kipimo chake cha manyu ambacho mkuu kakiita cha kugusa.

Jambo la maana ambalo rais kafanya ni hilo la kusisitiza kupima afya kila mara. Mimi naongezea kuwa kwa vile umri kikatiba wa kugombea urais ni zaidi ya miaka 40 sheria iseme wagombea wote wa urais wapime tezi dume na akigunduliwa anatatizo hilo basi hatufai. Hii itatuepushia gharama kubwa za matibabu.
 
Jana Jumamosi ya tarehe 29 Nov. 2014, Rais wa JMT Mh JK, alisikika akiwashauri Watanzania kuwa na desturi ya kupima afya zao Mara kwa Mara.

Ushauri huu ni mzuri ila unatia SHAKA kwenye namna alivyoufikisha. Huku akitolea mfano wa saratani ya tezi dume alisema kwamba vipimo vya kugundua kama una saratani hata Muhimbili vipo.

Sasa je, kama vipimo hivyo vipo Muhimbili, yeye alikwenda kufanya nini USA?

Au kwanini hakuanzia Muhimbili? Je haiamini Hospitali ya Nchi yake?

Naombeni mnisaidie kupaelewa hapa!

Akiiwezesha Muhimbili na Ocean Rd kwa madawa na vifaa tiba tutaitikia wito wake na kuthamini jinsi anavyojali afya za wananchi wake. Mfano alionyesha bora angenyamaza. Hela aliyotumia Marekani ingetibu wangapi ugonjwa huo huo hapa kwetu?
 
Ushauri alioutoa Jakaya juu ya wanaume hasa wale wa umri wa kuanzia miaka 40 na kuendelea kuwa na tabia yakupima hali ya prostate yao ni mzuri lakini wakisha pimwa na kukutwa na tatizo katika tezi dume je tunao utaalam nchini wa kutibu maradhi hayo? Kutokana na matatizo ya tezi dume yaliyomkuta Jakaya ni dhahili kuwa hapa nchini tunao wataaalam ambao wanaweza kupima na kugundua matatizo ya tezi dume lakini matatizo yako kwenye vifaa vya kuweza kutibu maradhi haya succeefully!!!

Maradhi ya tezi dume mara nyingi yanahusiana na saratani , maradhi haya huwapata wanaume kuamzia kwenye miaka 40 na kuendelea. Ukiangalia population ya nchi yetu hivi sasa kuna watu wengi wenye umri mkubwa na kuna uwezekano kuwa wanaume wengi wenye umri huo wana matatizo ya prostate [tezi dume] lakini kwavile hawapimi wanaugua na kuumwa bila kujua asili ya kuumwa kwao. Wengi waliopimwa na kupatikana na maradhi haya hupata tiba ya mionzi pale Ocean Road Cancer centre lakini huduma zenyewe ni duni kutokana na sababu nyingi zikikiwemo uduni wa vitendea kazi na pia uongozi wa taasisi ile ukiwa na CONFLICT of INTEREST!! Ocean Road Cancer centre hvi sasa inaongozwa na Dr.Msemwa, huyu bwana kama aliyemtangulia kabla yake Dr.Ngoma anamiliki hopspitali yake binafsi inayotibia wagonjwa wa saratani kam ifanyavyo Ocean road hivyo hutumia nafasi yake sio tu kuwapeleka wagonjwa for referal hoaptalini kwake lakini pia anatumia muda mwingi akitibia hosptalini kwake badala ya ocean Road na haya ndio yanaathiri huduma zitolewazo pale!!

Mimi naamini kabisa kuwa katibu mkuu mpya aliyeteuliwa hivi karibuni Dr. Mmbando atalishuhululikia tatizo la uongozi pale Ocean Road cancer Centre kwa umuhimu unaostahili ili wapatikane commited doctors wasiokuwa na conflict of interest ili waweze kuongoza vizuri taasisi hii ambayo ni muhimu sana kwa watu wenye umri mkubwa. Given that the head of state might as well need the services of Ocean Road centre, the centre has to have state of the art equipment as well as committed leadership.

mkuu naona jk kutibiwa usa kumewafanya watu wengi waamini kua prostate cancer ni kitu cha ajabun Kama zilivo cancer nying tiba yake hutegemea stage yake. prostate cancer ktk stage zake za awali ina option 2.
kwanza upasuaji mdogo under local anaesthesia kuondoa testicles na mgonjwa anaezakwenda nyumban punde operation ikiisha. Njia hii hutumika kwa asilimia kubwa ya wagonjwa wa prostate cancer.
Hivyo mkuu hakua na sababu ya kwenda na kuhamia usa muda wote huo; huduma hii ni rahis haihitaji kitu cha pekee sana kama tunavotaka kuaminishwa na inafanyika sana kwenye vitengo vya mikojo urology ktk hospital zetu kuu za rufaa
option ya pili ni matumizi ya dawa za cancer chemotherapy hasa kwa wale wagonjwa wasioweza kuhimili operation ama kukataa operation ama kusambaa kwa cancer. Dawa pia zinapatkana kwa malipo kwa kua upatikanaji wake kwenye hosp zetu sio mzuri
Mimi bado sion kilichompeleka mkuu usa for 3wks!!!!!! ???
 
hicho alichosema hakitoki ndani bali mdomon tu hakuna kiongoz mwenye dhamira ya kweli na afya za walalahoi wa tz. Siku itakapofika kua ni lazima viongozi watibiwe nchin wapate adha tulionayo wananchi ndo huduma za afya ztaanza kuboreshwa.
long way to go
 
Akiiwezesha Muhimbili na Ocean Rd kwa madawa na vifaa tiba tutaitikia wito wake na kuthamini jinsi anavyojali afya za wananchi wake. Mfano alionyesha bora angenyamaza. Hela aliyotumia Marekani ingetibu wangapi ugonjwa huo huo hapa kwetu?
mkuu gharama ambazo amezitumia usa zingetosha kuongeza hadhi ya urology institute zetu pale muhimbili bugando na kcmc kama sio kujenga kitengo kipya pale mbeya. kwa wanofaham gharama za tiba kwenye nchi za wenzetu hospital ya kiwango cha juu kama alotibiwa yeye gharama za malazi 3wks na waandamizi na familia bado tiket zilizokua znatolewa kwa viongoz to n fro ingetosha kitu chenye kuweza kuwasaidia watz weng ambao hawajui hata gharama ya kupima PSA achilia mbali uwezo wa kulipia ambao ni ishu ingine
 
Jambo la kusikitisha ama kuudhi ni pale aliposema wazi kuwa ilimbidi kuhamia hotelini kwani kukaa hospitali unaweza kuondoka na magonjwa sugu yasiyotibika kabisa. Sijui katika hili alitaka kuwaambia nini Watanzania ambao huduma zao katika tiba huwa ni za shida na hata pale wagonjwa ama akina mama wanaojifungua wanapolazwa hospitalini wengi wao huambulia kulala kitanda kimoja zaidi ya watu wawili na wengine kulala kwenye sakafu sambamba na huduma mbovu zinazotolewa kwa wagonjwa hao.

Sijui Kikwete halijui hili ama anafikiri kila mtu ana fursa kama yake ya kuamuru kupatiwa kiasi anachotaka kutokana na kodi za wananchi wa Tanzania wanaoishi kwa ufukara uliokidhiri. Ni vyema Kikwete akaelekeza mawazo yake juu ya namna ya kuboresha huduma za afya na nyinginezo hapa nchini badala ya kujiangalia yeye binafsi na familia kwani hata unaposema wananchi wawe na tabia ya kucheki afya zao ni wananchi wangapi wenye uwezo kama huo achilia mbali uelewa wa hayo mambo. Ukienda hospitali kama Muhimbili kuna watu wanafika pale saa 11 alfajiri lakini wanaondoka jioni pasipo kuaonana hata na daktari.

Ni vema mambo haya tukayatafakari kwa kina badala ya kushabikia na kuingiza siasa kwenye mambo nyeti na muhimu kwa mustakabali wa maisha ya Mtanzania
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom