Ushauri wa Bure kwa ZZK!-Congratulations..But,,,!, Be Calm!, Keep Quite!, Don't Ridicule Them!.

Ushauri wa Bure kwa ZZK!-Congratulations..But,,,!, Be Calm!, Keep Quite!, Don't Ridicule Them!.

Pasco wewe ni takataka....Nimelia kwa uchungu sana kuona unatumia propaganda za kipuuzi kumtetea Zitto...Nchii inawanafiki sanaaa....

Pasco wewe ni takataka narudia tena.

Yaani hili jamaa limeniharibia usingizi wangu,ukizigatia nilikuwa namwona kichwa na mtu muungwana,yaani bahasha zimempofusha
 
Last edited by a moderator:
Wanabodi,

Kwanza nampongeza sana Mhe. Zitto Zuberi Kabwe kwa ushindi wa kishindo mahakamani leo kwenye kesi dhidi ya Chadema!.

Tangu day one niliwaeleza humu kuwa maamuzi ya CC ya Chadema, ni maamuzi ya kipuuzi kabisa sijapata kuona!, niliuliza hiyo CC ilipata wapi mandate ya kumvua ZZK madaraka yake wakati haina uwezo huo?!. Kesi ya msingi nayo pia atashinda!, Chadema italazimishwa kumrejeshea vyeo vyake vyote, kisha ufuate utaratibu rasmi kumvua vyeo hivyo na hatimaye kumvua rasmi uanachama wake!.

Ushauri wangu wa bure kwa Zitto, nakuomba sana, be calm, keep quite, don't boast, don't ridicule Chadema!. Pia usiendelee kutoa siri nyingine zozote za viongozi wako zaidi ya zile ulizokwisha toa!.

Sijapenda jinsi ulivyo toa siri za M/Kiti wako alivyopokea mihela ya Rostam na Mkono!. Sijapenda 'ulivyonunua' lile gari la Mkono bila kueleza popote umelinunuaje na kwa nini ulinunue kwake!, na pia sijapenda jinsi 'unavyolikodisha' lile gari jingine, huku ukiendelea 'kulilipia bila matatizo' bla kueleza lolote!.

Nakushauri baada ya kushinda kesi hii ya pingamizi, pia utashinda ile kesi ya msingi, ila Baraza Kuu, litakuvua rasmi vyeo vyako vyote na litakuvua uanachama wako, ambapo nafahamu utarudi tena mahakamani kuweka pingamizi mpaka 2015!.

Kwa vile umeishajua mustakabali wako Chadema na kiukweli hatimaye utaondoka, sisi baadhi ya tunaokukubali, tunakuomba na kukusihi, usiendelee kuibomoa Chadema!. Chadema ina wenyewe ambao udini kwao sio tatizo, ukabila kwao sio tatizo wala ukanda kwao sio tatizo!, pigania haki yako, ili uondoke Chadema kwa heshima bila kunyea kambi!.

Narudia tena, hongera sana Zitto Zuberi Kabwe!.

Congratulations!.

Pasco.

Oh yes, mahakama inaweza kutengua talaka mahakamani lakini hiyo haimaanishi kurejesha essence ya ndoa as in ndoa ni mapenzi ya dhati., unconditional love
 
Mkuu, mkeo akikuzushia uongo unaamini ni ujanja na busara na wewe kuanika mambo yake hadharani?

Achana na dhana kwamba ku criticise mtu maana yake ni kuwa against him.
Tukubaliane tu kuwa CHADEMA kama chama wameshindwa kujionesha kama ni taasisi inayoweza kushughurika na changamoto ambazo huwa haziepukiki pale chama kinapokua kwa kasi kutokana na chama kilichoko madarakani kushindwa kusimamia misingi ya chini kabisa katika ukuaji wa taifa kisiasa, kiuchumi na kijamii.

Kuna watu mnanishangaza sana na hoja zetu za kutumia jicho moja katika mgogoro huu ambao umefika hapa kwa sababu ya uongozi kuruhusu jaziba ziwe ndiyo kipimo cha uongozi bora ndani ya chama.

Hebu nisaidie, unachanganua vipi kama hizi ni siri zinazokiathiri chama na zingine hazikiathiri chama wakati zinatolewa na viongozi wa hicho chama kuhusu viongozi wa hicho chama.

Mh. Tundu Lissu alipotoa siri za Zitto ili kutaka kuharalisha hoja yake kuwa Mh. Zitto ni tapeli wa kisiasa hukuweza kumkanya kwa sababu kwa mawazo yako kuchafuka Mh. Zitto kisiasa siyo kuchafuka kwa CHADEMA!, lakini Mh. Zitto alipotoa angalizo kumwambia Mh. Tundu Lissu kama anachokisema kwake kinampendezesha, basi lazima afahamu kuna mengi amuulize Mh. Mbowe ili yampendezeshe zaidi. Maneno ya Mh. Zitto ambayo yanafanana na yale aliyoyatoa Mh. Lissu ndiyo pekee unayaona yanakibomoa chama!.


By the way, hii dhana ya kufananisha chama kama taasisi na ndoa ya mtu inaingiaje kwenye uhai na utendaji wa chama?
 
Ndugu V.P

Zitto still believes in the Mission of the Party, but he doesnot believe in The Personal Interests of the small bunch of Conmen.

The solution is not to quit, Zitto is not a quitter, he is a fighter, and he will fight until truth triumph over falsehood, He will fight until justice takes its rightful position in the party.

So worry not V.P , its unwise to let your meatstore under the leadership of hyenas. These Conmen will destroy the party, The party needs the likes of Zitto to fight and come to its rescue.

These Conmen are hopeless sinners, liars, selfish. And to let the party which millions of tanzanians had hopes and aspirations in it is a betrayal.

THATS WHY I SAY BROTHER ZITTO IS RIGHT, TO FIGHT FOR HIS RIGHTS AND THE TRUE PRINCIPLES OF THE PARTY, NOT THE PERSONAL PRINCIPLES OF MBOWE AND SMALL BUNCH OF STIFF NECKED FOOLS LIKE LEMA AND THE ARROGANT LISSU

Rubbish!

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Baada ya purukushani hizi za CDM na Zitto naamini Zitto atajitafakari na hatakuwa na dharau na upuuzi kama aliokuwa anawafanyia CDM. Nimpongeze Zitto kwa kutokubali defeat kirahisi, Niwapongeze CDM kwa kuonyesha wazi kutokuogopa kuchukua hatua. Hii nchi kama CCM wangekuwa wanawachukulia hatua watu kwenye Halmashauri, idara, wizara na wakala za serikali huko, nchi hii ingekuwa mbali.


Lakini ni wazi, mgogoro huu unawanufaisha zaidi CCM na kuliangamiza kabisa taifa letu. Umeme unapanda bei, wachina wanatuhujumu kila kona.Lakini tufanyeje,kama watanzania wameamua kukubali kubaki chini ya CCM...Nna hofu kubwa na vizazi vijavyo...Wachina watatumailiza...
 
Baada ya purukushani hizi za CDM na Zitto naamini Zitto atajitafakari na hatakuwa na dharau na upuuzi kama aliokuwa anawafanyia CDM. Nimpongeze Zitto kwa kutokubali defeat kirahisi, Niwapongeze CDM kwa kuonyesha wazi kutokuogopa kuchukua hatua. Hii nchi kama CCM wangekuwa wanawachukulia hatua watu kwenye Halmashauri, idara, wizara na wakala za serikali huko, nchi hii ingekuwa mbali.


Lakini ni wazi, mgogoro huu unawanufaisha zaidi CCM na kuliangamiza kabisa taifa letu. Umeme unapanda bei, wachina wanatuhujumu kila kona.Lakini tufanyeje,kama watanzania wameamua kukubali kubaki chini ya CCM...Nna hofu kubwa na vizazi vijavyo...Wachina watatumailiza...

Hata kama mahakama itagangana abaki CDM , atabaaki ka gharasha ajue hivyo !!
 
Ndugu V.P

Zitto still believes in the Mission of the Party, but he doesnot believe in The Personal Interests of the small bunch of Conmen.

The solution is not to quit, Zitto is not a quitter, he is a fighter, and he will fight until truth triumph over falsehood, He will fight until justice takes its rightful position in the party.

So worry not V.P , its unwise to let your meatstore under the leadership of hyenas. These Conmen will destroy the party, The party needs the likes of Zitto to fight and come to its rescue.

These Conmen are hopeless sinners, liars, selfish. And to let the party which millions of tanzanians had hopes and aspirations in it is a betrayal.

THATS WHY I SAY BROTHER ZITTO IS RIGHT, TO FIGHT FOR HIS RIGHTS AND THE TRUE PRINCIPLES OF THE PARTY, NOT THE PERSONAL PRINCIPLES OF MBOWE AND SMALL BUNCH OF STIFF NECKED FOOLS LIKE LEMA AND THE ARROGANT LISSU

safi kabisa,kila mwenye akili timamu atakubali kwamba si busara kwa zitto kususa na kuwaachia chama vibaka kama kina mbowe na misukule wao.hapa ni kupambana hadi tone la mwisho ili kuwatia adabu.
Shamba letu sote hili.
 
Zitto still believe in the Mission of the Party, but he does not believe in The Personal Interests of the small bunch of Conmen.

Ndugu Gamba la Nyoka,

Yaani baada ya utoto wote huu tulioshuhudia to the extent ya kuchafua integrity of the party kwa kumwaga siri za chama hadharani for the sake of satisfying personal egos bado wewe unaamini kuna mwenye kuamini mission ya chama na sio personal mission?

Naomba tuangalie hili swala kama wananchi makini na sio blind mashabiki.





siri hizo ni zile za chama kutokaguliwa na cag,kujilipa madeni ya zaid ya tsh milion mia tano au ni zipi?kaufafanuzi kidogo mkuu
 
Baada ya purukushani hizi za CDM na Zitto naamini Zitto atajitafakari na hatakuwa na dharau na upuuzi kama aliokuwa anawafanyia CDM. Nimpongeze Zitto kwa kutokubali defeat kirahisi, Niwapongeze CDM kwa kuonyesha wazi kutokuogopa kuchukua hatua. Hii nchi kama CCM wangekuwa wanawachukulia hatua watu kwenye Halmashauri, idara, wizara na wakala za serikali huko, nchi hii ingekuwa mbali.


Lakini ni wazi, mgogoro huu unawanufaisha zaidi CCM na kuliangamiza kabisa taifa letu. Umeme unapanda bei, wachina wanatuhujumu kila kona.Lakini tufanyeje,kama watanzania wameamua kukubali kubaki chini ya CCM...Nna hofu kubwa na vizazi vijavyo...Wachina watatumailiza...

Hili ndilo lilikuwa lengo la zzk sasa anachekelea moyoni na wote waliomtuma

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Uchambuzi mzuri lakini si kweli kuwa katika mgogoro huu ccm wananufaika hawana cha kunufaika hapo, inakula kwao , kwa sababu Zitto kwa sasa kisiasa atapungua sana umaarufu, ladda kama walikuwepo wanachama ndani ya chadema wanaofuata watu na si taasisi, na wale wanamageuzi wa kweli hawawezi kujiunga na ccm , ukiona hivyo huyo alikuwa ni shabiki wa siasa na hao mara zote sio wapiga kura
 
Hata kaa awe na furaha maishani. Ameshajiwekea doa kubwa sana. Malalamiko ya watu juu yake yatakaa moyoni mwake hadi siku anatoka duniani. Unless awe na roho kama ya paka!
 
Tukubaliane tu kuwa CHADEMA kama chama wameshindwa kujionesha kama ni taasisi inayoweza kushughurika na changamoto ambazo huwa haziepukiki pale chama kinapokua kwa kasi kutokana na chama kilichoko madarakani kushindwa kusimamia misingi ya chini kabisa katika ukuaji wa taifa kisiasa, kiuchumi na kijamii.

Kuna watu mnanishangaza sana na hoja zetu za kutumia jicho moja katika mgogoro huu ambao umefika hapa kwa sababu ya uongozi kuruhusu jaziba ziwe ndiyo kipimo cha uongozi bora ndani ya chama.

Hebu nisaidie, unachanganua vipi kama hizi ni siri zinazokiathiri chama na zingine hazikiathiri chama wakati zinatolewa na viongozi wa hicho chama kuhusu viongozi wa hicho chama.

Mh. Tundu Lissu alipotoa siri za Zitto ili kutaka kuharalisha hoja yake kuwa Mh. Zitto ni tapeli wa kisiasa hukuweza kumkanya kwa sababu kwa mawazo yako kuchafuka Mh. Zitto kisiasa siyo kuchafuka kwa CHADEMA!, lakini Mh. Zitto alipotoa angalizo kumwambia Mh. Tundu Lissu kama anachokisema kwake kinampendezesha, basi lazima afahamu kuna mengi amuulize Mh. Mbowe ili yampendezeshe zaidi. Maneno ya Mh. Zitto ambayo yanafanana na yale aliyoyatoa Mh. Lissu ndiyo pekee unayaona yanakibomoa chama!.


By the way, hii dhana ya kufananisha chama kama taasisi na ndoa ya mtu inaingiaje kwenye uhai na utendaji wa chama?

Kwa CHADEMA kuwa na busara, nidhamu, utii na mapenzi ya chama ni KUTOHOJI chochote unachoona hakiendi sawa. Ukihoji tu basi we unakuwa msaliti na usie na mapenzi na chama. Napata taabu sana watu wanapoona kiwa ni sawa kwa ZITTO kutendwa alikotendwa ila si sawa kwa yeye kuonesha au kuelezea isia zake. Kwa staili hii acha CMM ituongoze milele kwani UPINZANI bado sana.
 
Rubbish!

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Kwenye dunia ya watu wanaojipambanua kwa hoja huwa wana michango miwili katika hoja.
1) kujenga hoja ili kupambana na hoja iliyoko mezani.
2) Kusoma hoja na kuondoa bila kujenga hoja.

Hili andiko lako sijui limeangukia kwenye kundi gani kulingana na hoja iliyokuwa mezani.
 
Yupo yupo tu kama Shibuda uzuri wa sifa moja aliyo generate ni kuwa yeye ni msaliti kibaraka wa CCM , huku kwetu wananhi wnamwona kama Savimbi wa Chadema
 
CC ya CDM inaiumiza sana CCM ndo maana wanakomaa lakini mwisho wa yote wameshindwa na sasa chama kinaendelea na safari kama kawaida

Huyu mbunge wa mahakama si alisema anaenda kulecture ama alisubiri kuona atalipaje madeni ya waume zake CCM?
 
Viongozi wa juu wenyewe tunawaondoa kesho kutwa kwenye uchaguzi mkuu...mwenye kiti atakuwa zito. Na viongozi wapya wengine...hawa wababaishaji hawana nafasi tena

hili neno WABABISHAJI utalitumia sana as defensive mechanism ila maji yakimwagika hayazoleki na isitoshe dua la kuku halimpati mwewe........nenda mtaani wanasema hivi....:ZZK akifa mimi siwezi kulia nitamtupa Kagera awe chakula cha mamba.X7..hata kule KIGOMA wapo wanaoimba hivyo.HAYO ni maneno ya mfa maji tu.
 
ivi zzk aliposaini ili pinda aondolewe alikuwa anamzuga nani? huku akijua alichokifanya jamani huyu mtu nauliza tena anadini au pagani na yule Raya wa znz bado wako nae?ua ndio bintwa jk ameshika hatamu
Alitumwa na washirika wake wa CCM aangalie nani ndani ya CCM wanapingana na chama.Na kweli siku hiyo Filikujombe (Mb) na wenzake walitambuliwa. Ndiyo Kazi ya Political Double Agent Zitto aliyoifamya.
 
Back
Top Bottom