Ushauri wa Bure kwa ZZK!-Congratulations..But,,,!, Be Calm!, Keep Quite!, Don't Ridicule Them!.

Ushauri wa Bure kwa ZZK!-Congratulations..But,,,!, Be Calm!, Keep Quite!, Don't Ridicule Them!.

Tusisahau, umeme juu,Gasi juu na subirini impact yake viwandani,Mashambani n.k ili tujifunze kusimama na kushabikia ya msingi.Huyo Zitto anakwenda kunywa mvinyo wake baada ya ushindi na Msando alafu waandamanaji watakutana na giza majumbani mwao baada ya luku kukata ghafla kutokana na kuweka umeme wa kuungaunga!

Watanzania haya yanafaa kuwa madogo na yale yanayogusa maisha yetu yawe makubwa! Gesi 65,000/= , Umeme unit 8 ni 10,000/= , maji hakuna wiki sasa alafu habari kama hizi ndio zinageuka BIG ISSUE!

Acha watukaange hadi tutie akili na ikibidi sembe kilo moja iwe laki na maharage hivyo hivyo!!!!!!!!!!:doh::doh::doh::doh::doh:

Laiti wote tungekuwa na mitizamo na fikra thabiti kama za kwako,juzi niliuliza hao wanaokwenda mahakamani kwa ajili ya ushabiki aidha wa ZZK au CDM wameacha hela ya kula nyumbani?,sioni mantiki ya ushabiki usio na maana,yaani sisi watanzania ni wavivu sana na waoga wa kufikiri kiasi tumebaki kushabikia upuuzi,jana tundu lissu na zitto walikuwa wanakenuliana mahakamani,tena si ajabu labda walikutana kunywa champagne na kujipongeza,ila sie?Mimi nadhani utaifa kwanza,ya wanasiasa tuwaachie wenyewe,kama walipewa magari na mkono na pesa mbona hawakusema wanasubiri mpaka wahitilafiane ndio wasemane?huo ni mchezo wa kitoto(kama wale wasiostaarabika wakiachana wanaanza kutangazana)Watanzania tuamke,shida tunazozipata wanasiasa hawazijui(kitanda usichokilalia hujui kunguni wake)
 
Sifa za zitto: Mpenda sheria, Mpenda uraisi, mpenda makuu, mzarau viongozi hasa wale wa chama chake, mwenye ukaribu sana na wakubwa hasa wa CCM, mpenda KIGOMA kuliko mikoa mingine, Mchungu sana kwa mafisadi wanaokula peke yao, asiyependa kutubu akiambiwa amekosea, mchochezi mkuu wa vurugu za kisiasa, Mfichua maozo AKA mabaya, hapendi kuongelea faragha kama hapati maslahi, Kiherehere wa kukaa mbele siku zote, muuza sura, mwenye msimamo wa kutobadili msimamo hata kama amekosea
 
Zitto, Waswahili wanasema kama hujui kufa, kaangalie makaburi. Vivyo hivyo, kama bado hujaijua CCM, kamwulize Richard Hiza Tambwe!
 
Pasco,

Nia na madhumuni ya huu ushauri unaujua mwenyewe ila ki ukweli sidhani kama unachukia utumwa.Just my perception

Pasco.

Umenichanginyi kidogo hapa. Ashinde kesi ya msingi and then avuliwe tena vyeo na uanachama. Hapa pamekaaje mkuu.
 
just be fair. tuambie huo uchafu aliomwaga zitto. areyou happy jinsi akina mbowe wanavyomzalilisha mara kapokea hela lakini yeye akiulizwa anasema alipokea kwa malengo maalumu?are you happy jinsi akina slaa wanavyomdhihaki? yaani waraka wakumtukana zitto mitandaoni slaa ana-like halafu baadaye anakuja sema ni ccm waliotoa huo waraka, lakini kama haitoshi bado akina kilewo wanausambaza mitandaoni? Aru happy yaleyale yaliyomkuta chacha wangwe yamkute zitto?Are you happy yaliyomkuta joseph yona jana yamkute zitto?Are you kidding? you can't be serious. zitto kuwahoji juu ya matumizi ya fedha za chama (kodi zetu), kugombea nafasi yoyote (haki yake kikatiba) imekuwa nongwa.mkuu kwa haya wanayomfanyia zitto unatakiwa kujitoa fahamu kukubaliana nayo. naichukia ccm lakini nahisi chadema imekaribia kupita. we are crying for the democracy. kwa staili hii na watu jamii yenu tunasafari ndefu sana kuifikia democrasia ya kweli.
bwana abnuasi jaribu kumuelewa mr V.P, na kama umesoma paragraph ya mwisho kwenye uzi huu utaona jinsi jamaa anavotaka kuweka mambo sawa. kusema mambo mabaya juu ya viongozi wako kwenye media ni kuua credibility ya chama. kama unakipenda chama na unataka kuleta mabadiliko huwez fanya vile, ni sawa na kulikata tawi la mti uliokalia. kumbuka Mh Edward Lowasa aliporesign uwaziri mkuu., chama kiliwatumia akina Nape kumchafua nchi nzima kwamba ni fisadi, na hafai kuwa mwanaccm mpaka kuweka hoja ya kuwavua uanachama ( kumbuka usemi wao kuwa wanavua magamba). hukumsikia popote kwenye media akikanusha wala kusema mambo ya ndani, lakin siku ya kikao cha kumvua gamba alifunguka watu wote midomo wezi, he had a lot to say mpaka yanaomgusa preesident. kama angeyasema hadhran kama anavofanya zito sasa nchi hii isingekuwa na rais tuliyenaye sasa. alikaa kumya kwa maslahi mapana ya chama na serikali yake. kwa nin zito asiige mfano huu. akakaa kimya huku akisuburi haya mambo akayaseme kwenye baraza kuu! kwa upande mwingine, viongozi wa chadema wameshinda kuhandle mgogoro huu, wanaropoka hata yasiyostahili. nao pia hawatufai. zitto will go, but the whole uongoz has to step down,
 
Hii nchi inahitaji wanasiasa nguli wenye mawazo huria kama wa Kenya,baada ya mgombea binafsi kuruhusiwa zitafanyika coalition nyie na mavyama yenu yaliyooza mtajiju sisi tutachagua watu wenye maono sio wale too local au too old au saccos

Siamini katika concept ya mgombea binafsi, to me its not practical. Lazima mtu uwe na uwezo wa kuishi na team na sio individual
 
1.Mjenga hoja mzuri
2.Mwanaharakati mzuri
3. Msomi mzuri
4. Muhamasishaji mzuri.
Tatizo moja au mawil tu kwa zzk, hana subira na anauchu wa madaraka, amuulize huyo JK anayemtumia leo, alikuwa na subira 1995 na ndo mana leo ni rais wake na anamtumia anavyotaka!
 
Nilifurahi sana pale nilipo rudi kijijini kwetu nikawakuta watu wana soma walaka wa zitto kuihujumu chadema hata ckupata tabu kuwarlimisha juu ya kile kinacho endelea, bigup chadema
 
Yule jamaa amekuja kunidisappoint pale alipoanza kuropoka kwa kutaja tuhuma za madhambi ya viongozi wenzake.

Amekuwa silent kwa miaka yote hiyo, leo hii ndio anaona sifa kusema baada ya usaliti wake kugundulika.

Hata kama ni ukweli umekuja at wrong timing, dawa ni aende tu.

Alianza lisu bro!

Ukiishi nyumba ya vioo usianzishe ugomvi wa mawe
 
Kwa Pasco, ZZK ni malaika, anapewa 'vema' kwa kila analofanya. Na hata ushauri anampa kwa unyenyekevu wa 'woga'. ZZK akisemwa vibaya Pasco anajisikia vibaya, roho inauma. Either hawezi kumpa ukweli mchungu (makavu live) au hana uwezo wa kumshauri au vyote viwili.

Zitto is gone and finished, he will never be the same..Its just the matter of time...Ila umenifurahisha pale ambapo 'hukufurahishwa' na 'ununuzi' na 'ukodishaji' wa magari ya Ndugu Mkono....
 
nilifurahi sana pale nilipo rudi kijijini kwetu nikawakuta watu wana soma walaka wa zitto kuihujumu chadema hata ckupata tabu kuwarlimisha juu ya kile kinacho endelea, bigup chadema

mkuu nashukuru sana kwani mara zote humu ndani nauliza sabna swali hili, ni kwanini zzk hajakanusha hadi leo walaka ule?na pia inaonekana tiss walihusika sana katika hili na hauna walipokanusha licha ya walaka ule kuchapwa na nipashe gazeti. Je mbona zitto hakanushi kama zile pesa alizokuwa anapewa zilikuwa za nini tena alikuwa anapewa na tiss ama usalama wa taifa.
 
Pamoja na kwamba umetukimbia vijana wa madrasa kwenye MINAKASHA YETU,ILA KWA KUWA MIMI NI TEAM ZITTO KATIKA KUTOKOMEZA UDINI,UKANDA NA UKABILA BASI NAKUUNGA MKONO KWENYE HOJA YAKO HII,,

LEKATUTIGUTEEE..ZITTO GOGO LA UDIII,,TATIZO WAZEE WA SACOSS HII NA MTEI WAMEZOEA VYA KUNYONGAA,,SAFARI HII WAMESHIKISHWA ADABU,,PU,MBA.VU ZAO

Kumbe huko madrasa mnafundishwa matusi?
 
Zitto anawaumiza sana vichwa makamanda viroba

Mijitu mizima mnaongea umbea na kuwapotezea watu muda, badala ya kuongea mawaziri mizigo ambao bado hawajaondolewa na mgao wa umeme unaoendelea kuwatia watanzania umaskini hasa wajasiriamali ambao wamejiajiri na kusababisha uchumi mbovu. Mko humu mnatumika kupiga zogo eti kuwafanya watu wasahahu matatizo halisi. CCM wajinga sana ni sawa na mgonjwa ambae anasubiriwa kufa ila mashine ndio inayompa uhai alafu anajipa matumaini kwa kumcheka mtu ambae hayuko kwenye hali mbaya kama yake.
 
Back
Top Bottom