Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,503
- 113,616
Wanabodi,
Kwanza nampongeza sana Mhe. Zitto Zuberi Kabwe kwa ushindi wa kishindo mahakamani leo kwenye kesi dhidi ya Chadema!.
Tangu day one niliwaeleza humu kuwa maamuzi ya CC ya Chadema, ni maamuzi ya kipuuzi kabisa sijapata kuona!, niliuliza hiyo CC ilipata wapi mandate ya kumvua ZZK madaraka yake wakati haina uwezo huo?!. Kesi ya msingi nayo pia atashinda!, Chadema italazimishwa kumrejeshea vyeo vyake vyote, kisha ufuate utaratibu rasmi kumvua vyeo hivyo na hatimaye kumvua rasmi uanachama wake!.
Ushauri wangu wa bure kwa Zitto, nakuomba sana, be calm, keep quite, don't boast, don't ridicule Chadema!. Pia usiendelee kutoa siri nyingine zozote za viongozi wako zaidi ya zile ulizokwisha toa!.
Sijapenda jinsi ulivyo toa siri za M/Kiti wako alivyopokea mihela ya Rostam na Mkono!. Sijapenda 'ulivyonunua' lile gari la Mkono bila kueleza popote umelinunuaje na kwa nini ulinunue kwake!, na pia sijapenda jinsi 'unavyolikodisha' lile gari jingine, huku ukiendelea 'kulilipia bila matatizo' bla kueleza lolote!.
Nakushauri baada ya kushinda kesi hii ya pingamizi, pia utashinda ile kesi ya msingi, ila Baraza Kuu, litakuvua rasmi vyeo vyako vyote na litakuvua uanachama wako, ambapo nafahamu utarudi tena mahakamani kuweka pingamizi mpaka 2015!.
Kwa vile umeishajua mustakabali wako Chadema na kiukweli hatimaye utaondoka, sisi baadhi ya tunaokukubali, tunakuomba na kukusihi, usiendelee kuibomoa Chadema!. Chadema ina wenyewe ambao udini kwao sio tatizo, ukabila kwao sio tatizo wala ukanda kwao sio tatizo!, pigania haki yako, ili uondoke Chadema kwa heshima bila kunyea kambi!.
Narudia tena, hongera sana Zitto Zuberi Kabwe!.
Congratulations!.
Pasco.
---------------------------
Kwanza nampongeza sana Mhe. Zitto Zuberi Kabwe kwa ushindi wa kishindo mahakamani leo kwenye kesi dhidi ya Chadema!.
Tangu day one niliwaeleza humu kuwa maamuzi ya CC ya Chadema, ni maamuzi ya kipuuzi kabisa sijapata kuona!, niliuliza hiyo CC ilipata wapi mandate ya kumvua ZZK madaraka yake wakati haina uwezo huo?!. Kesi ya msingi nayo pia atashinda!, Chadema italazimishwa kumrejeshea vyeo vyake vyote, kisha ufuate utaratibu rasmi kumvua vyeo hivyo na hatimaye kumvua rasmi uanachama wake!.
Ushauri wangu wa bure kwa Zitto, nakuomba sana, be calm, keep quite, don't boast, don't ridicule Chadema!. Pia usiendelee kutoa siri nyingine zozote za viongozi wako zaidi ya zile ulizokwisha toa!.
Sijapenda jinsi ulivyo toa siri za M/Kiti wako alivyopokea mihela ya Rostam na Mkono!. Sijapenda 'ulivyonunua' lile gari la Mkono bila kueleza popote umelinunuaje na kwa nini ulinunue kwake!, na pia sijapenda jinsi 'unavyolikodisha' lile gari jingine, huku ukiendelea 'kulilipia bila matatizo' bla kueleza lolote!.
Nakushauri baada ya kushinda kesi hii ya pingamizi, pia utashinda ile kesi ya msingi, ila Baraza Kuu, litakuvua rasmi vyeo vyako vyote na litakuvua uanachama wako, ambapo nafahamu utarudi tena mahakamani kuweka pingamizi mpaka 2015!.
Kwa vile umeishajua mustakabali wako Chadema na kiukweli hatimaye utaondoka, sisi baadhi ya tunaokukubali, tunakuomba na kukusihi, usiendelee kuibomoa Chadema!. Chadema ina wenyewe ambao udini kwao sio tatizo, ukabila kwao sio tatizo wala ukanda kwao sio tatizo!, pigania haki yako, ili uondoke Chadema kwa heshima bila kunyea kambi!.
Narudia tena, hongera sana Zitto Zuberi Kabwe!.
Congratulations!.
Pasco.
---------------------------
Bro Zitto,
Kwanza nikupe pole kwa hizi changamoto unazokabiliana nazo ndani ya chama.
Dhamira yangu ni kukupa ushauri mfupi lakini ninaamini utakusaidia kama utauzingatia, ninaamini utanielewa kwa kuwa nimewahi kuwa na mazungumzo nawe juu ya maswala mbalimbali na nilikuona kwamba ni kijana mwenye upeo mzuri wa mambo na bado ninaamini una uwezo mkubwa wa kupima mambo.
Ninachotaka kukushauri ni kwamba ktk hili sakata la wazi kati yako na viongozi wa Chadema, hapa kama mtu mzima lazima utambue kwamba hamuwezi tena mukaaminiana na kufanya kazi kwa pamoja, kama imefikia hatua ya kuamini kwamba wenzako wamejaribu njama za kukudhuru na wanachama wanaamini kwamba wewe ni msaliti, it is rather immateurish kulazimisha kuwa ktk nafasi yako kwa kutumia mahakama. End of the day 'personal relationship na confidence' na viongozi wenzako ni muhimu kuliko amri za mahakama.
Kung'ang'ania uongozi ndani ya Chadema kunawapa wachambuzi wa mambo sababu ya kuamini haupo hapo kwa ajili ya chama bali kwa ajili yako binafsi. Kimsingi haiwezekani ukijenge chama ktk mahusiano mabaya na viongozi wenzako.
Nakushauri uwe na matured approach kama ile ya Mheshimiwa Kagasheki.
Sina nia ya ku comment on who is right and who is wrong between you and the rest of leadership, the take home message ni kwamba you will not be in a position to lead kama viongozi wa ngazi ya juu are against you, whether differences zao with you ziko legitimate ama sio does not really matter.
Unaposema you will be the last person to quit the party hiyo statement ina udhaifu mkubwa sana, inaashiria upo hapo kwa sababu maalumu. Afadhali ungesema utakuwepo Chadema for as long as u believe in the mission of the party, as long as you believe in leadership etc.
Na hao CCM wanavyokutetea ndio wamezidi kuharibu na kukuharibia reputation yako na ku solidify hisia kwamba wewe ni kibaraka wao ndio maana hawataki kusikia unatoka Chadema. Bora wangekaa kimya, kimsingi hawana hata basic skills za ku manage perception.
I am personally disappointed na hii immaturity iliyooneshwa na Chadema leadership ktk mgogoro huu wa ndani. Kwa kweli bado Chadema is not ready to lead this country, utoto umekuwa mwingi.