Wewe kama sio uislam ungebaki hukoo kijijini unalala na ngombe.
Jiangalie na mababu zako tuliwapokea na hatukuwa chinja...mlipokuwa na njaa na babu zako mlipolima vijijini na chakula hakizai ni muislam alo kufanya leo uwe na simu ya ku chat hapo babu yenu akisema ni anasa...ujinga mtupu..
Kuna kitu kimoja wengi wetu hatukijui kwamba mkristo hawezi kumshauri kitu muislam na muislam akakubali na muislam vile vile hawezi kumshauri kitu mkristo na mkristo akakubali lambda hilo lifanyike nje ya dini na bila kutumia jina la dini yeyote
Mmepata ufadhili wa ISIS,BOKO HARAM au AL SHAABAB? Muulizen sheikh farid raha ya ndoa ikoje huko aliko
Wewe kama sio uislam ungebaki hukoo kijijrini unalala na ngombe.
Jiangalie na mababu zako tuliwapokea na hatukuwa chinja...mlipokuwa na njaa na babu zako mlipolima vijijini na chakula hakizai ni muislam alo kufanya leo uwe na simu ya ku chat hapo babu yenu akisema ni anasa...ujinga mtupu..
Mkuu labda hujaelewa inabidi wewe ndio ufahamishwe. khakuna kitu Jumuiya zao ila sheria na waislaam wanafanya hivyo isipokuwa hukumu zao hazitambuliwi na serikali ya Jamhuri kutokana na kwamba mshtaki anaweza kwenda serikali na akaweka madai yake kinyume cha sheria za dini na zikapokelewa.
Hivyo wao wanasema, ili wao wafanye ibada zao kwa ufanisi wanataka serikali itambue haki hiyo na wasiingilie kabisa jambo ambalo haliwezekani kwa sababu serikali inawatambua Bakwata chama walichokianzisha wao wenyewe kusimamia mambo ya Waislaam. Na hiyo Bakwata imejaa mafisadi ambao kwao fedha kwanza hivyo hakuna ibada inayofanyika. Kwa nini serikali inakataa kuwaacha huru ama kutambua ibada zao? Licha ya hivyo hujiulizi mwenyewe kwa nini wewe usokuwa Muislaam unaingilia swala lao, ombi lao ambalo halikupunguzii usingizi hata kidogo. Je wao wakishauri ibada za kikristu utawaelewa!.
Huo ndo upuuzi wa karne ya zamani kutaka utumike hadi leo. Huyo mtoto wa nje ya ndoa yukoje ktk dunia hii ya sasa? Yaani kwa upuuzi wa huyo anayeitwa marehemu,mndi iwe sababu ya yeye kukosa haki ya babanyake?
Utakuwa mtoto wa mchepuko mbona povu linakutoka yakhe?
Kuwa na adabu we mtoto wa zinaa!
Unapewa maneno ya hekma we unaleta Nyodo.
We siku ukija mjua babako labda utakuwa na nidhamu.
Sasa huyo mdau kipi alichoandika kilichokusababisha uandike huo uharo hapo juu.!
Mfnssssssssssss. Nyambafff.
Hii nini kaka
Nyama aliyokuwa akiipenda mtume kuliko zoteee
umejitahd kuandika gazet but jifunze unajuwa mahakama ya kadh inatakiwa itambulike kitaifa na kimataifa koz ndio inakuwa chombo kikuu cha waisalam sawa na kkkt na Vatican na hio mahakama ya kawaida koz ktk uislam Allah peke yake ndo hakimu so guidelines zpo ktk Quran.... great thinker think great 😂😈
Wewe unaye towa Ushauri kuwapa Waislam wewe ni kama nani kwa Waislam? Na Mambo ya Waislam waachie wenyewe Waislam wewe hata haikuhusu kutoa Ushauri wako wa Pumba samahani kama nimekukwaza. Kwa Mfano mimi niwape Ushauri Wakristo ili iweje? Mimi ni kama nani kwa hao Wafuasi wa Dini Ya Kikristo? Jiulize swali kabla ya kuandika kitu kwenye KeyBoard yako usipende kutaka upate Umaarufu juu ya migongo ya watu wengine. Mambo yanayo wahusu Waislam waachie wenyewe Waislam watayamaliza wenyewe wewe haikuhusu kabisa.
Nyama aliyokuwa akiipenda mtume kuliko zoteee
Ndio maana mpaka leo mama yako ameshindwa kukutajia baba yako halisi.
Kwan hii nyama ya nn