CAPO DELGADO
JF-Expert Member
- Aug 31, 2020
- 7,621
- 16,700
Ili kuepuka aibu ya kufungwa goli nyingi katika mchezo wa marudiano AFL kesho (pamoja na ahadi ya bilioni moja kutoka kwa Mo endapo akishinda mchezo wa kesho) kiufundi naona mambo yafuatayo yanapaswa kufanyiwa kazi.
Simba wanapaswa wajiuekuwa wanatimu mbovu. Hawana Golikipa hata mmoja ukitoa Manula. Cha kufanya Ili kupunguza aibu ni kwenda na mifumo mitatu tu ifuatavyo;
2. Shomary Kapombe.
3. Mohamed Hussein.
4. Che amalone Fondoh.
5. Enock Inonga.
6. Muzamiru Yassin.
7 Kibu Denis.
8. Sadio Kanute Putin
9. Jean Baleke.
10. Fabrice Ngoma
11. Clotus Chama.
Nina uhakika Simba wakianza hivi ugenini kwa Al Ahly watapunguza magoli mengi mno.
Ayoub au Manula.
Shomary, Inonga na chemalone Shabalala.
Kiungo;
Kanute, Ngoma, Mzamiru, Kibu.
Ushambuliaji;
Chama na Baleke
...................................................................................
Wakikwama hapo wanaweza wakaenda kama ifuatavyo;
3 : 5 : 2
Ayoub mdaka panzi
Mabeki 3;
Kenedy Inonga, Chemalone,
Kiungo;
Kapombe, Mzamiru , Ngoma, kanute na shabalala.
Ushambuliaji;
Kibu na Baleke
Simba akienda na hiyo mifumo ninauhakika atapata sare, au kupunguza magoli ya kufungwa.
Simba wanapaswa wajiuekuwa wanatimu mbovu. Hawana Golikipa hata mmoja ukitoa Manula. Cha kufanya Ili kupunguza aibu ni kwenda na mifumo mitatu tu ifuatavyo;
- 3: 5:1: 1
- 4: 3 :3
- 5: 3: 2
2. Shomary Kapombe.
3. Mohamed Hussein.
4. Che amalone Fondoh.
5. Enock Inonga.
6. Muzamiru Yassin.
7 Kibu Denis.
8. Sadio Kanute Putin
9. Jean Baleke.
10. Fabrice Ngoma
11. Clotus Chama.
Nina uhakika Simba wakianza hivi ugenini kwa Al Ahly watapunguza magoli mengi mno.
Ayoub au Manula.
Shomary, Inonga na chemalone Shabalala.
Kiungo;
Kanute, Ngoma, Mzamiru, Kibu.
Ushambuliaji;
Chama na Baleke
...................................................................................
Wakikwama hapo wanaweza wakaenda kama ifuatavyo;
3 : 5 : 2
Ayoub mdaka panzi
Mabeki 3;
Kenedy Inonga, Chemalone,
Kiungo;
Kapombe, Mzamiru , Ngoma, kanute na shabalala.
Ushambuliaji;
Kibu na Baleke
Simba akienda na hiyo mifumo ninauhakika atapata sare, au kupunguza magoli ya kufungwa.